Dereva Mzembe asababisha vifo vya watu 10 baada ya lori kusombwa na maji kwenye mto uliofurika

Mbona nasikia kama lugha ya kiswahili hapo. Hayo maji mbona ya kawaida sana. Kama kalitumbukiza kwa makusudi !!!!
 
Unaeleweshwa lakini bado unang'ang'ana
 
Mbona nasikia kama lugha ya kiswahili hapo. Hayo maji mbona ya kawaida sana. Kama kalitumbukiza kwa makusudi !!!!
Acha / Acheni wafe tu kwani ni Kifo cha Kujitakia kutokana na Upumbavu wetu wa Asili Sisi Miafrika. Sijui nani Aliyeturoga.
 
Maji sijui yana siri gani, lorry pekee ni zito, ukiongeza na mchanga uliopakiwa maana yake uzito wa lorry unaongezeka, lakini ajabu maji yamelisomba...
Tyre zinaupepo so huwa zinanyanyuliwa ili gari lielee bahati mbaya mlunakuta mzigo haujabalance linayumbishwaa..
 
Africa kila kitu tunapenda kujaribu hata vile vitu vya hatari likishatokea ndiyo tunajilaumu (sisi wenyewe watendaji).

Kama hao hapo kitu ni hatari na wanajua ni hatari,lakini ngoja tujaribu,katikati ya kujaribu yanatokea majaribu wanaanza kujilaumu ”ningejua ningeacha niende kesho,kwanini sikwenda kulala kwa fulani na aliniambia nikakataa,ningejua ningesubiri yapungue” na mengineyo wakati huo roho zikiacha miili.
 
Tyre zinaupepo so huwa zinanyanyuliwa ili gari lielee bahati mbaya mlunakuta mzigo haujabalance linayumbishwaa..
Kwa hiyo mzigo uki balance licha ya tairi kuwa na upepo gari halitaanguka na kuzama, au sio?
 
Maji sijui yana siri gani, lorry pekee ni zito, ukiongeza na mchanga uliopakiwa maana yake uzito wa lorry unaongezeka, lakini ajabu maji yamelisomba...
Gari linaelea kwasababu ya upepo wa kwenye tairi. Hio ndo sababu kuu ya gari kusombwa na maji.
 
Acha wafe / tufe tu Mkuu kwani Waafrika hatujawahi Kumiliki Akili katika Mibichwa yetu na tunachojua ni Kurogana tu basi.
 
Marehemu asemwi vibaya kaka.
Mimi nawasema vibaya Mkuu na hata siwaonei Huruma. Unachokifanya Wewe hapa ni Unafiki na hii ndiyo imekuwa Dhambi kuu kwa Sisi Miafrika kiasi kwamba ndiyo maana hadi leo hii tuko tuko hata baadhi ya Wanyama wanatuzidi Akili. Yaani unaona kabisa mnaenda Kufa Kizembe halafu unataka Wakifa tuwe na Ustaarabu katika Kuwasemea? Siyo Kwangu Mimi GENTAMYCINE. Wote waliozama, kufa na kupona ni FOOLS nimemaliza.
 
by the way waliopanda gari ni wapumbavu sana bhana tena kuliko hata dereva😀
 
sasa na raia kwa nini waliamua kuendelea na safari ijapokuwa wamesikia wenzao wakiwaonya? Na sisi pia tutumie akili kidogo, mtu asiwaze tu kuwa anataka kuwahi safari.
 
Demu hahusiki na mambo haya ya corporate constructive manslaughter Poti... nachojiuliza, hapo kwenye mafuriko, ni nani kiongozi wao aliyeruhusu barabara kutumika kwa hali ilivyokuwa? siilau serikali kuu kwa sababu moja tu- tuna devolved admistration Tanzania nzima hata na visiwani, yaani serikali kuu na serikali za mitaa.sasa huyo mkuu wa serikali za mtaa huo analo la kujibu na ikiwezekana awajibike kwa vifo vilivyo tokea hapo kama kweli vipo. Bado sijachemsha labda kama utaeleza uelewa wako kuhusu hiloneno la constructive manslaughter/ liability na au devolved admistration. Haya sio mambo ya jumla jumla Poti.
msome huyu poti mwenzako ujue: CORPORATE CRIMINAL LIABILITY IN TANZANIA
 
sasa na raia kwa nini waliamua kuendelea na safari ijapokuwa wamesikia wenzao wakiwaonya? Na sisi pia tutumie akili kidogo, mtu asiwaze tu kuwa anataka kuwahi safari.
Acheni Wafe hakuna namna. Huna sina Huruma hata Kidogo kwa Watu Wapumbavu na nashangaa kuona wapo Wanaohuzunika nao.
 
Yaani anaona kabisa mto umefurika na watu wa pande zote mbili wanamuonya asilipitishe lori lake ambalo pia lilikuwa limebeba nadhani mchanga na matofali ila kwa ujeuri wake akaendelea kutaka Kuvuka na hatimaye lori Kusombwa.
Umepofushwa na matokeo tu

Maana angewavusha hapa uzi ungekuwa DEREVA JASIRI AFANIKIWA KUWAVUSHA WATU WAENDELEE NA MAJUKUMU YAO.

Na kiukweli huyo dereva ni jasiri sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…