Dereva Mzembe asababisha vifo vya watu 10 baada ya lori kusombwa na maji kwenye mto uliofurika

Wakenya wanavyojifanya wajanja Huwezi amini kama mtu mwenye akili anaweza kufanya this stupidity Driving
 
Maji sijui yana siri gani, lorry pekee ni zito, ukiongeza na mchanga uliopakiwa maana yake uzito wa lorry unaongezeka, lakini ajabu maji yamelisomba...

Ukitambua meli na ma container 1000+ inaelea lakini coin ya 100/- inazama, ushangae vipi Lori kuzama? Ilmu ni uhuru, ufia dini na umbumbumbu ni laana!
 
Poti Akili zako za Kufikiri umeziacha Chumbani kwa Mkeo au? Serikali katika huu Upuuzi wa Dereva wa Lori na hao Waliokufa inaingiaje? Sehemu zingine Hatarishi za Kijamii huwa pia tunasubiri Maelekezo ya Serikali / Mamlaka kutuongoza na kutusimamia? Unaniaibisha mno mwana Mkoa wa Mara ( Poti ) Mwenzako sawa Mkuu? Acheni wafe tu hakuna namna na GENTAMYCINE huwa sina Huruma kwa Wapumbavu wa Mfano wao na huyo Dereva wao pia.
 
Wakenya wanavyojifanya wajanja Huwezi amino kama mtu mwenye akili anaweza kufanya this stupidity Driving
Absolutely Mkuu. Wakenya niliwaheshimu sana nikijua wana Akili na wanajua Kufikiri ila kwa hili kumbe nao ni Mapopoma tu.
 
Ukitambua meli na ma container 1000+ inaelea lakini coin ya 100/- inazama, ushangae vipi Lori kuzama? Ilmu ni uhuru, ufia dini na umbumbu ni laana!
Upthrust Theory si ndiyo Mkuu au? Sikuwa vibaya sana katika Physics japo nilichukua Masomo ya wenye Akili kubwa ya Arts.
 
Ukitambua meli na ma container 1000+ inaelea lakini coin ya 100/- inazama, ushangae vipi Lori kuzama? Ilmu ni uhuru, ufia dini na umbumbu ni laana!
Kumbe lile lorry lilikuwa juu ya bahari! au meli za kijijini kwenu ndio zina matairi!. Hujui hata ku relate situation.

Unazidi kujivua nguo kila dakika, nazidi kukudharau sana. Hujui nimeshaona lorry likivuka kwenye maji mengi kwenye barabara ya lami ndio maana nikajenga hoja yangu.

Umekalia kufia dini tu wewe mpuuzi, nani anayetangaza dini hapa, nikutupe kwenye dustbin kabisa.
 
Maji sijui yana siri gani, lorry pekee ni zito, ukiongeza na mchanga uliopakiwa maana yake uzito wa lorry unaongezeka, lakini ajabu maji yamelisomba...
Jiulize meli Ina uzito gani na bado inaelea kwenye maji
 
Wakenya wanavyojifanya wajanja Huwezi amini kama mtu mwenye akili anaweza kufanya this stupidity Driving
Ni mara ya pili naona video ya namna hii kutoka Kenya. Sijawahi kujua why huwa hawajifunzi.
 
Ni mara ya pili naona video ya namna hii kutoka Kenya. Sijawahi kujua why huwa hawajifunzi.
Wapumbavu na Washamba huwa na muda wa Kujifunza Kitu au Lolote lile Mkuu?
 

1. Unaendelea kujivua nguo ndugu.

2. Kumbe wapi unasoma nimeandika lilikuwa juu ya bahar, au hata kutamka tu, neno "bahari?" Usiniwekee maneno mdomoni tafadhali.



3. Ungekuwa umeelewa nilichoandika, ungekuwa uneona umuhimu wa kujua kulikoni meli yaelea, lakini si shilingi!

"Heri kukosa nguo maungoni lakini si za kisetiri ubongo "
-- Nyerere.

4. Hapo #3, bila hivyo wewe ni kama boda boda kijiweni tu.

5. Hapo #3, Kwa maana yake kamili ya "elimu, elimu, elimu! -- akijinadi mzee Lowassa."

Elimu hiyo si ya kayumba, DUCE, MUHAS, SUA, CBE, wala jangwani, forodhani au mzizima!

6. Ninakazia: kama zile kazi zenu pendwa "u mbumbumbu ujuaji", (kada moja hiyo) nao ni laana ndugu!

7. Ulivyokuwa mpuuzi zaidi angalia tena hapa: "wapi nimeandika lolote popote kuhusu dini, au hata kujinasibu tu mimi ni dini gani?"

8. Kwamba ghafla umetokea ulikotoka na ndoto za mchana umepagawa! Labda kwa kunywa bange na kuvuta pombe; unaongelea udini wangu usiokuwapo popote jf, duniani, au akhera? Huo si ndiyo wazimu wenyewe sasa?

9. Hapo #8, weka hapa andiko langu lolote, japo moja tu (comment au thread yoyote) yenye japo mwelekeo wa udini kuthibitisha tuhuma zako. Vinginevyo ulichoandika hapo ni ushuzi mtupu ambao haswa, ndiyo ulio utambulisho wenu rasmi mbumbumbu nyie muachiao nyuma kila mpitapo!

10. Inafahamika kuwa mbwa ukimchekea atakufuata hadi madhabahuni. Hapa ninakutolea uvivu sasa! Bila shaka chuki na makasiriko yako kwangu ni kutokana na kuumulika uchawa uwapao kipato mjini?

11 Kwamba hapo #11 tatizo lako ni uzi wangu huu uliokupiga sawia kwenye mshono?

Makundi saba ya chawa kindaki ndaki yanayotatiza mabadiliko

12. Hapo #12, si bure, kwa makasiriko yako haya, bila shaka makundi 7 tajwa pale yanakuhusu na ndimo riziki mkono kwenda kwenda kinywani inakopatikania?

13 Wengine tunaandika mitandaoni humu si Kwa hisani ya mtu au chama. Mashambani ajira zipo. Mjini kwa uchawa mtaolewa!
 
Maji sijui yana siri gani, lorry pekee ni zito, ukiongeza na mchanga uliopakiwa maana yake uzito wa lorry unaongezeka, lakini ajabu maji yamelisomba...
Ingeweza kupita kama barabara ingekuwa ni ya lami,lakini ikiwa ni ya mchanga kila tairi linapokanyaga maji yanafukua chini yake,kwahiyo kinachofuata ni gari kupoteza muelekeo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…