kama ana uwezo wa kusafiri mpka huko na kurudi kufikizia hoteli badala ya nyumbani anakosaje uwezo wa kujihumia kwa wiki 2Huko kujihudumia mwenyewe watanzania wataweza kweli ?
Kama muda wake wa kukaa huko ughaibuni uliisha na hakuwa na dalili angefanyaje zaidi ya kurudi nyumbani?Watu wanasema huyo mama kafanya kusudi kuuleta ugonjwa. Kama sio kusudi
Wamfiche huko maana watu wana usongo nae mno wanasema anafaa apigwe shaba.
- Kwanini alipitilizia hotelini badala ya Kwake?
- Kwanini hakutaka aje apokelewe na ndugu zake wakati Ana gari?
Sasa Mimi sijaelewa, hivi umeuliza swali au umetoa taarifa? Maaana heading na Maelezo ni vitu tofauti Kabisa maana umetoa taarifa kuwa hana corona, halafu huku unalalamika
Sent using Jamii Forums mobile app
nipe Mkono bwashee
Kumbe dereva taxi alimchukua abiria huyu tokea KIA moja kwa moja hadi Arusha hotelini.
Tokea hotelini alikwenda nyumbani kwake ambako ana mke na watoto 4. Wote hawa alishikana nao mikono.
Tokea nyumbani siku hiyo hiyo akapata abiria 2 kuwapeleka Karatu. Huko kuna shule ya watoto yatima ambako abiria hao 2 walikuwa wakienda.
Asubuhi watoto wote 4 wa dereva walielekea mashuleni kwao ambako maisha yaliendelea kama kawaida.
Kwa maelezo ya dereva taxi, wale walioenda kwenye ile shule wameshapatikana kule kwenye shule ya watoto yatima, lakini maisha yalishaendelea kama kawaida.
Hicho ndicho kipimo halisi cha mnyororo wa huu ugonjwa Corona ambao WHO imeuita kuwa ni janga la kimataifa.
Source: BBC Swahili leo.
Kwenu serikali, pasipo na kupepesa maneno hapa "inatakiwa kuwepo mkakati kamili sasa na kwa dharura kweli, si mkakati nusu nusu tena."
At this stage, "we urgently need a total strategy. A partial strategy is not an option anymore."
Wewe dada sijui huwa unapata muda wa kujitathimini Mambo unayoandikaga huku?Mshaambiwa aliji'quarantine mwenyewe
Mnaumwa kbs nyie
Mnajiona TZ keki kwamba hamuwezi ugua sio
gonjwa liko Marekani nk nyie mna nini..inahusuu?
Asisafiri alizuiwa kwani!!?
Mbona mnakwepa nyie watetezi wa huyo dada asiye na akili Kama sura yake. Hotelini ndio quarantine?Hata yeye alikuwa anajua kuwa kuna ugonjwa kama ww na anajua nchi aliyotoka ina huo ugonjwa ndo maana labda akaamua kuchukua tahadhar .maana hakuwa na uhakika kama ameathirika au la .
Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanasema huyo mama kafanya kusudi kuuleta ugonjwa. Kama sio kusudi
Wamfiche huko maana watu wana usongo nae mno wanasema anafaa apigwe shaba.
- Kwanini alipitilizia hotelini badala ya Kwake?
- Kwanini hakutaka aje apokelewe na ndugu zake wakati Ana gari?
Bila Shaka utakuwa mfupi na kifutu, sijawahi kuona watu wa namna hii wakiwa na akili timamu.Mi sio Isabela
Ila i js feel for her cause she is js a victim..not the cause
ilikua suala la muda tu Corona ingeingia eitherways
Isabela si wa kuhukumiwa.,
30 DaysWaiter zungusha ,
NASUBILI VYUO VIKUU VIFUNGWE TU , MAANA NIME POSTPONE KISA KUSHINGWA KUMALIZIA ADA , THEN MWEZI WA 10 NDO VIFUNGULIWE .
Kwenye familia yangu kwanza hakuna mjinga hivyo anayeweza kurisk maisha na kusafiri huku kukiwa na janga la huu ugonjwa kila mahali, just note thatAngekuwa ndugu yako ungesema hivyo apigwe shaba chukua labda kuna mdogo wenu anasoma huko nchi za watu na mama alienda kumuona ungesema apingwe shaba sometimes think beyond youre imagination
Sent using Jamii Forums mobile app
Acheni ujinga kamuua nani?Huyo mama ashitakiwe kwa kesi za mauaji, hyo ilikuwa makusudi kuua familia za watu wengine, alijua kabisa ni mgonjwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Angekuwa mahututi ( mauti uti[emoji23][emoji23]) angesema visa imeisha? Aache mapepe utu uzima wake anafanya vitu vya kitotoHapana huyu mama hajafanya kusudi na Hana kosa.
Kwanza Kama visa yake iliisha na kupaswa kurudi nchini mwake ni lazima arudi vinginevyo angeweza kupata shida na mamlaka za uhamiaji huko alipokuwa.
Pili aliporudi aliamua kujiweka self quarantine kwa lengo la kuona Kama atakuwa na shida. Kumbuka hakuwa na familia zozote alipoingia nchini.
Na hata hotelini aliminimize movement. Imagine angeenda nyumbani Kisha akaanza kuingia sokoni, daldala, saloon,kanisani ingekuwaje.
Angekuwa anafanya makusudi angekuwa mdhururaji ili kuhakikisha anafanya maambukizi lkaini sivyo.
Kwangu Mimi nampongeza Sana Tena Sana kwa hatua aliyofanya kuepusha makubwa kuanzia familia yake, jamaa na marafiki. Na alionyesha uungwana kushirikiana na mmalaka husika pale alipoona dalili.
Tumpe hongera na badala ya kumlaumu.
By the way wengi wetu watapata huu ugonjwa lakini chanzo hakutakuwa huyu mama. Tusubiri muda ndio mwalimu
Alieleza wasiwasi wake Airport? Yani kwa Nini asingeeleza huo wasiwasi wake Airport Kama Nia ilikuwa kupunguza maambukizi?Haya ni maneno tu ya watu; Isabela Route anasafiri sana, hata huku Ughaibuni huwa anakuja sana;
Ni dada ambaye kweli kabisa ni Mstaarabu ni jirani kule Njiro, Korona Block....(), Ana asili ya Ustaarabu sana;
Huwa anakuja Ughaibuni kwa ajili ya Machangizo na Kutafuta wadhamini kwa ajili ya Shule, ana Shule zake na huwa anaseal na mambo ya Watoto yatima etc;
Last time niliporudi, alinialika Kanisani kwao Calvary Temple Arusha; Kwa tuliomzoea amekuwa anasafiri sana Tena hii ya Juzi hakuwa na Route Nyingi Maana Hakwenda France, Switzerland and Finland sijaona kwenye route zake ;
Hivyo Kwa kadiri ya Ninavyomfahamu kidogo tu yeye ni safari zake hazikuwa intention kama watu wanavyosema Mitandaoni.
Sababu ya kutokwenda Home ilikuwa alijihisi ndivyo sivyo, na kwa sababu akienda Home posibility ya Ku-spread incase ana virusi ni kubwa; Ndio akaamua kwenda Hotel kwanza, na kisha kwenda mount meru mwenyewe?? Aliposhuka hakupanda Shuttle pale KIA, ili kupunguza maambukizi; Aliamua Kupanda Taxi; Hivyo hayoyote yanafuta dalili kwamba Hakuwa na Intention mbaya.
Angeenda kwake achague chumba kimoja ndiyo aji quarantine, si wanasema anamiliki sijui vitu gani huko si kuna vyumba kwanini asingeenda huko kakimbila hotel na itakuwa aliwataarifu kabisa ndugu zake, hajatulia huyo dadaMbona mnakwepa nyie watetezi wa huyo dada asiye na akili Kama sura yake. Hotelini ndio quarantine?
Eti ataongea na waandishi wa habari kwani akiongea ndio aliowaambukiza watapona?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa ilikuwa pamoja na kuwapima - quarantine siku 14.
Sio watanzania wale kwa lugha ya ccm Ni mabeberuAngefanyaje
mbona wazungu walokutwa Zanzibar na Dar hamuwalaumu na hawajaji'quarantine?.!