Dereva taxi aliyemchukua ambaye sasa ni mgonjwa wa Corona, hana corona

Dereva taxi aliyemchukua ambaye sasa ni mgonjwa wa Corona, hana corona

Watu wanasema huyo mama kafanya kusudi kuuleta ugonjwa. Kama sio kusudi
  1. Kwanini alipitilizia hotelini badala ya Kwake?
  2. Kwanini hakutaka aje apokelewe na ndugu zake wakati Ana gari?
Wamfiche huko maana watu wana usongo nae mno wanasema anafaa apigwe shaba.
Kama muda wake wa kukaa huko ughaibuni uliisha na hakuwa na dalili angefanyaje zaidi ya kurudi nyumbani?
 
Sasa Mimi sijaelewa, hivi umeuliza swali au umetoa taarifa? Maaana heading na Maelezo ni vitu tofauti Kabisa maana umetoa taarifa kuwa hana corona, halafu huku unalalamika

Sent using Jamii Forums mobile app

MODs wamebadili title - wakapotosha. Soma comments zangu utaona nililalamikia hilo.
 
Yaani corona inaweza kuwa detected in 1 day. Hii Bongo vituko haiviishi...
Kumbe dereva taxi alimchukua abiria huyu tokea KIA moja kwa moja hadi Arusha hotelini.

Tokea hotelini alikwenda nyumbani kwake ambako ana mke na watoto 4. Wote hawa alishikana nao mikono.

Tokea nyumbani siku hiyo hiyo akapata abiria 2 kuwapeleka Karatu. Huko kuna shule ya watoto yatima ambako abiria hao 2 walikuwa wakienda.

Asubuhi watoto wote 4 wa dereva walielekea mashuleni kwao ambako maisha yaliendelea kama kawaida.

Kwa maelezo ya dereva taxi, wale walioenda kwenye ile shule wameshapatikana kule kwenye shule ya watoto yatima, lakini maisha yalishaendelea kama kawaida.

Hicho ndicho kipimo halisi cha mnyororo wa huu ugonjwa Corona ambao WHO imeuita kuwa ni janga la kimataifa.

Source: BBC Swahili leo.

Kwenu serikali, pasipo na kupepesa maneno hapa "inatakiwa kuwepo mkakati kamili sasa na kwa dharura kweli, si mkakati nusu nusu tena."

At this stage, "we urgently need a total strategy. A partial strategy is not an option anymore."

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshaambiwa aliji'quarantine mwenyewe

Mnaumwa kbs nyie
Mnajiona TZ keki kwamba hamuwezi ugua sio

gonjwa liko Marekani nk nyie mna nini..inahusuu?
Asisafiri alizuiwa kwani!!?
Wewe dada sijui huwa unapata muda wa kujitathimini Mambo unayoandikaga huku?

Alijiquarantine hotelini? Hiyo hoteli alikodisha yote peke yake? Gari alilotumia alikodisha alitumie peke yake?

Hiyo akili yako inakwambia ndio self quarantine eti?

Kwamba ugonjwa ungekuja tu, kizembe hivyo? Na bado unajiona umeandika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata yeye alikuwa anajua kuwa kuna ugonjwa kama ww na anajua nchi aliyotoka ina huo ugonjwa ndo maana labda akaamua kuchukua tahadhar .maana hakuwa na uhakika kama ameathirika au la .

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona mnakwepa nyie watetezi wa huyo dada asiye na akili Kama sura yake. Hotelini ndio quarantine?
Eti ataongea na waandishi wa habari kwani akiongea ndio aliowaambukiza watapona?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kaji fungia ndani baada ya Hapo alienda Hospital kwa nini asinge kwenda Nyumbani?
Watu wanasema huyo mama kafanya kusudi kuuleta ugonjwa. Kama sio kusudi
  1. Kwanini alipitilizia hotelini badala ya Kwake?
  2. Kwanini hakutaka aje apokelewe na ndugu zake wakati Ana gari?
Wamfiche huko maana watu wana usongo nae mno wanasema anafaa apigwe shaba.
 
Mi sio Isabela
Ila i js feel for her cause she is js a victim..not the cause

ilikua suala la muda tu Corona ingeingia eitherways
Isabela si wa kuhukumiwa.,
Bila Shaka utakuwa mfupi na kifutu, sijawahi kuona watu wa namna hii wakiwa na akili timamu.
Kote huko alikotoka wanatoa elimu kuhusu self quarantine, jee hivi alivyofanya ndio self quarantine just because she is a victim?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angekuwa ndugu yako ungesema hivyo apigwe shaba chukua labda kuna mdogo wenu anasoma huko nchi za watu na mama alienda kumuona ungesema apingwe shaba sometimes think beyond youre imagination

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwenye familia yangu kwanza hakuna mjinga hivyo anayeweza kurisk maisha na kusafiri huku kukiwa na janga la huu ugonjwa kila mahali, just note that

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana huyu mama hajafanya kusudi na Hana kosa.

Kwanza Kama visa yake iliisha na kupaswa kurudi nchini mwake ni lazima arudi vinginevyo angeweza kupata shida na mamlaka za uhamiaji huko alipokuwa.

Pili aliporudi aliamua kujiweka self quarantine kwa lengo la kuona Kama atakuwa na shida. Kumbuka hakuwa na familia zozote alipoingia nchini.

Na hata hotelini aliminimize movement. Imagine angeenda nyumbani Kisha akaanza kuingia sokoni, daldala, saloon,kanisani ingekuwaje.

Angekuwa anafanya makusudi angekuwa mdhururaji ili kuhakikisha anafanya maambukizi lkaini sivyo.

Kwangu Mimi nampongeza Sana Tena Sana kwa hatua aliyofanya kuepusha makubwa kuanzia familia yake, jamaa na marafiki. Na alionyesha uungwana kushirikiana na mmalaka husika pale alipoona dalili.

Tumpe hongera na badala ya kumlaumu.

By the way wengi wetu watapata huu ugonjwa lakini chanzo hakutakuwa huyu mama. Tusubiri muda ndio mwalimu
Angekuwa mahututi ( mauti uti[emoji23][emoji23]) angesema visa imeisha? Aache mapepe utu uzima wake anafanya vitu vya kitoto

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya ni maneno tu ya watu; Isabela Route anasafiri sana, hata huku Ughaibuni huwa anakuja sana;
Ni dada ambaye kweli kabisa ni Mstaarabu ni jirani kule Njiro, Korona Block....(), Ana asili ya Ustaarabu sana;
Huwa anakuja Ughaibuni kwa ajili ya Machangizo na Kutafuta wadhamini kwa ajili ya Shule, ana Shule zake na huwa anaseal na mambo ya Watoto yatima etc;
Last time niliporudi, alinialika Kanisani kwao Calvary Temple Arusha; Kwa tuliomzoea amekuwa anasafiri sana Tena hii ya Juzi hakuwa na Route Nyingi Maana Hakwenda France, Switzerland and Finland sijaona kwenye route zake ;
Hivyo Kwa kadiri ya Ninavyomfahamu kidogo tu yeye ni safari zake hazikuwa intention kama watu wanavyosema Mitandaoni.

Sababu ya kutokwenda Home ilikuwa alijihisi ndivyo sivyo, na kwa sababu akienda Home posibility ya Ku-spread incase ana virusi ni kubwa; Ndio akaamua kwenda Hotel kwanza, na kisha kwenda mount meru mwenyewe?? Aliposhuka hakupanda Shuttle pale KIA, ili kupunguza maambukizi; Aliamua Kupanda Taxi; Hivyo hayoyote yanafuta dalili kwamba Hakuwa na Intention mbaya.
Alieleza wasiwasi wake Airport? Yani kwa Nini asingeeleza huo wasiwasi wake Airport Kama Nia ilikuwa kupunguza maambukizi?

Akili zako Ni Kama zake tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona mnakwepa nyie watetezi wa huyo dada asiye na akili Kama sura yake. Hotelini ndio quarantine?
Eti ataongea na waandishi wa habari kwani akiongea ndio aliowaambukiza watapona?

Sent using Jamii Forums mobile app
Angeenda kwake achague chumba kimoja ndiyo aji quarantine, si wanasema anamiliki sijui vitu gani huko si kuna vyumba kwanini asingeenda huko kakimbila hotel na itakuwa aliwataarifu kabisa ndugu zake, hajatulia huyo dada

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom