displayname
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 1,972
- 1,085
ati ndio huyu bi isa wa bellaWatu wanasema huyo mama kafanya kusudi kuuleta ugonjwa. Kama sio kusudi
Wamfiche huko maana watu wana usongo nae mno wanasema anafaa apigwe shaba.
- Kwanini alipitilizia hotelini badala ya Kwake?
- Kwanini hakutaka aje apokelewe na ndugu zake wakati Ana gari?
Sent using Jamii Forums mobile app