Dereva taxi aliyemchukua ambaye sasa ni mgonjwa wa Corona, hana corona

Dereva taxi aliyemchukua ambaye sasa ni mgonjwa wa Corona, hana corona

Wewe ndio unaumwa kabisa,
Kwa nini aliji'quarantine mwenyewe akamuacha huyo dereva teksi? Au wakati anasafiri huko kote hakupata elimu yoyote huo ugonjwa unasambaa vipi?
Kwa sababu huo ugonjwa uko kwingine duniani na sisi tuwe wazembe tu? Akili zako za wapi wewe!

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwali Corona ndo kashafika mkaribisheni muhangaike nae
 
Watu wanasema huyo mama kafanya kusudi kuuleta ugonjwa. Kama sio kusudi
  1. Kwanini alipitilizia hotelini badala ya Kwake?
  2. Kwanini hakutaka aje apokelewe na ndugu zake wakati Ana gari?
Wamfiche huko maana watu wana usongo nae mno wanasema anafaa apigwe shaba.


Inaweza kuwa kweli kama mdhaniavyo, lakini vile vile inaweza kuwa sio kweli. What if alidanganya tarehe ya kuja ili akutane na mchepuko hotelini?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waiter zungusha ,


NASUBILI VYUO VIKUU VIFUNGWE TU , MAANA NIME POSTPONE KISA KUSHINGWA KUMALIZIA ADA , THEN MWEZI WA 10 NDO VIFUNGULIWE .
Mimi nasubiria magereza yafunguliwe ndugu zetu watoke
 
Waiter zungusha ,


NASUBILI VYUO VIKUU VIFUNGWE TU , MAANA NIME POSTPONE KISA KUSHINGWA KUMALIZIA ADA , THEN MWEZI WA 10 NDO VIFUNGULIWE .

Ila vifungwe baada ya kusaini Boom


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hii mikusanyiko inayozungumziwa inaanzia watu wangapi?

Mkuu unaonaje makanisani, vyuoni ambako madarasa bado maisha kama kawaida, magerezani, kwenye misiba, harusi, nyomi za kwenye dala dala nk.

Tuanze na hizo kabla ya kwenda kwenye nitty gritty za mikusanyiko kuanzia wangapi au vipi mkuu?
 
Kumbe dereva taxi alimchukua abiria huyu tokea KIA moja kwa moja hadi Arusha hotelini.

Tokea hotelini alikwenda nyumbani kwake ambako ana mke na watoto 4. Wote hawa alishikana nao mikono.

Tokea nyumbani siku hiyo hiyo akapata abiria 2 kuwapeleka Karatu. Huko kuna shule ya watoto yatima ambako abiria hao 2 walikuwa wakienda.

Asubuhi watoto wote 4 wa dereva walielekea mashuleni kwao ambako maisha yaliendelea kama kawaida.

Kwa maelezo ya dereva taxi, wale walioenda kwenye ile shule wameshapatikana kule kwenye shule ya watoto yatima, lakini maisha yalishaendelea kama kawaida.

Hicho ndicho kipimo halisi cha mnyororo wa huu ugonjwa Corona ambao WHO imeuita kuwa ni janga la kimataifa.

Source: BBC Swahili leo.

Kwenu serikali, pasipo na kupepesa maneno hapa "inatakiwa kuwepo mkakati kamili sasa na kwa dharura kweli, si mkakati nusu nusu tena."

At this stage, "we urgently need a total strategy. A partial strategy is not an option anymore."
serikali iliyopo madarakani ni makini hata usiwe na wasiwasi kila kitu kitakuwa sawa
 
Ilitakiwa hata wale alioongozana nao kwenye ndege wafuatiliwe na kuchekiwa afya zao
 
serikali iliyopo madarakani ni makini hata usiwe na wasiwasi kila kitu kitakuwa sawa

Mkuu kila kitu kuwa sawa bila jitihada ni more of a wishful thinking.

China finally Free From Corona Virus

China mambo yamenyooka kwa jitihada za makusudi.

Hizi zetu mipaka iko wazi, wageni wanaingia kama kwao hamna quarantine wala nini. Wengine wanaji quarantine wenyewe na hata kujipeleka wenyewe hospitali.

Kweli hatuna sababu ya kuhoji Ila tuamini tu kila kitu kitakuwa sawa?

The big question is how?
 
Back
Top Bottom