Dereva taxi aliyemchukua ambaye sasa ni mgonjwa wa Corona, hana corona

Dereva taxi aliyemchukua ambaye sasa ni mgonjwa wa Corona, hana corona

Hospital! hawawezi kumwachilia mapema hivi I think
Yaani angejua tunavyojisikia huku mtaani asingetamka hayo maneno

pana group wanamjadili wanadai ametumsa huyo si bure.

ila huenda huu ugonjwa upo muda si kuingia kupitia yeye, mbona kuna kisa kingine huko kigoma!
 
serious unaandika hivi?
Watu wanasema huyo mama kafanya kusudi kuuleta ugonjwa. Kama sio kusudi
  1. Kwanini alipitilizia hotelini badala ya Kwake?
  2. Kwanini hakutaka aje apokelewe na ndugu zake wakati Ana gari?
Wamfiche huko maana watu wana usongo nae mno wanasema anafaa apigwe shaba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kweli bado una kazi kaka na kama kila mtanzania ana waza kama wewe inahitajika nguvu ya ziada
Watu wanasema huyo mama kafanya kusudi kuuleta ugonjwa. Kama sio kusudi
  1. Kwanini alipitilizia hotelini badala ya Kwake?
  2. Kwanini hakutaka aje apokelewe na ndugu zake wakati Ana gari?
Wamfiche huko maana watu wana usongo nae mno wanasema anafaa apigwe shaba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angekuwa ndugu yako ungesema hivyo apigwe shaba chukua labda kuna mdogo wenu anasoma huko nchi za watu na mama alienda kumuona ungesema apingwe shaba sometimes think beyond youre imagination
Watu wanasema huyo mama kafanya kusudi kuuleta ugonjwa. Kama sio kusudi
  1. Kwanini alipitilizia hotelini badala ya Kwake?
  2. Kwanini hakutaka aje apokelewe na ndugu zake wakati Ana gari?
Wamfiche huko maana watu wana usongo nae mno wanasema anafaa apigwe shaba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angekuwa ndugu yako ungesema hivyo apigwe shaba chukua labda kuna mdogo wenu anasoma huko nchi za watu na mama alienda kumuona ungesema apingwe shaba sometimes think beyond youre imagination

Sent using Jamii Forums mobile app
Thank you
Isabela is js a victim
Ukiwaambia wanauliza km mi ndugu yake!.
 
Jsmani msitishike sana impact ya corona africa bado ipo chini sana..huu ugonjwa si wetu hebu msiwe wavivu angalieni takwimu gooogle tena updates kwenye african countries
Nigeria Lagos ilikua na wagonjwa 3 tu wawili washapona kabakia mmoja aliyesafiri toka uk sasa hivi anaendelea vizuri
Tumepaniki mno!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unaonaje makanisani, vyuoni ambako madarasa bado maisha kama kawaida, magerezani, kwenye misiba, harusi, nyomi za kwenye dala dala nk.

Tuanze na hizo kabla ya kwenda kwenye nitty gritty za mikusanyiko kuanzia wangapi au vipi mkuu?
Sawa, ila nimeuliza hivyo kutokana na nature ya kazi yangu inahitaji morning meeting kila siku na tupo saba sasa tukiendelea kukutana hatutakuwa tunakiuka agizo la Mh PM?
 
Hakuna duh jamani.Waliambiwa wapambane kutoa tahadhari huko bungeni wao wakaamua kupambana na Zitto ambaye amewalaza chali.Wakaambiwa tena jamani tahadhari hawakujali wakakimbilia kupigana na wanawake wasiokuwa na hatia na kuwavunja mikono.Fikiria leo hii andengenye yu wapi....

Bado muda kidogo tu hao mnaowachunga huko Segerea mtawaachia tena bila kupenda, ngoja tu naniiiiii aingie huko mtawaomba wenyewe waondoke halafu tuone haya manyamyaso yenu mtapeleka wapi.
 
Sawa, ila nimeuliza hivyo kutokana na nature ya kazi yangu inahitaji morning meeting kila siku na tupo saba sasa tukiendelea kukutana hatutakuwa tunakiuka agizo la Mh PM?

Tuanze na hizo nyomi tutaenda kwenye nitty gritty baada ya kusoma upepo.
 
Kamuua nani!?
Umeshaambiwa njia za kujikinga, usipozifata utakufa kweli! Kaa ukilalamikia huyo Mama wakati mwenzio anaelekea kupona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
IMG-20200318-WA0000.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe dereva taxi alimchukua abiria huyu tokea KIA moja kwa moja hadi Arusha hotelini.

Tokea hotelini alikwenda nyumbani kwake ambako ana mke na watoto 4. Wote hawa alishikana nao mikono.

Tokea nyumbani siku hiyo hiyo akapata abiria 2 kuwapeleka Karatu. Huko kuna shule ya watoto yatima ambako abiria hao 2 walikuwa wakienda.

Asubuhi watoto wote 4 wa dereva walielekea mashuleni kwao ambako maisha yaliendelea kama kawaida.

Kwa maelezo ya dereva taxi, wale walioenda kwenye ile shule wameshapatikana kule kwenye shule ya watoto yatima, lakini maisha yalishaendelea kama kawaida.

Hicho ndicho kipimo halisi cha mnyororo wa huu ugonjwa Corona ambao WHO imeuita kuwa ni janga la kimataifa.

Source: BBC Swahili leo.

Kwenu serikali, pasipo na kupepesa maneno hapa "inatakiwa kuwepo mkakati kamili sasa na kwa dharura kweli, si mkakati nusu nusu tena."

At this stage, "we urgently need a total strategy. A partial strategy is not an option anymore."
Kwa sababu ya mafua tunayouguaga miaka yote na kila wakati au kwasababu yamepewa jina jipya???
#corona is overrated.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mama ashitakiwe kwa kesi za mauaji, hyo ilikuwa makusudi kuua familia za watu wengine, alijua kabisa ni mgonjwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli Mkuu huyu mama amedhamiria kuangamiza wengine kwa kuwaambukiza virusi vya corona, kwa sababu vyanzo vinasema huko Ulaya alikotoka alikaa kwenye family iliyokwishapata maambukizi ya virusi vya Corona.

Sasa iweje aje Tanzania ilhali naye anajijua ni victim? Huyu si amedhamiria kuwaambukiza wengi wasiokuwa na hatia.Hakika huyu adhabu yake ni kuchomwa sindano ya sumu kwani muuaji kama wauaji wengine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom