Dereva taxi aliyemchukua ambaye sasa ni mgonjwa wa Corona, hana corona

Dereva taxi aliyemchukua ambaye sasa ni mgonjwa wa Corona, hana corona

Sioni tatizo kwa huyo mmama..

Kwanza yeye ni mtanzania anaruhusiwa kuingia nchini muda wowote ule.. Nchi ni ya kwetu sote..

Wakulaumiwa ni hao watu wa hapo airport na wizara husika, kwa kushindwa kuwaweka watu karantini kwa izo siku 14...

Nawajua wachina kadhaa kwenye mradi mmoja hapa tz,, wamepita airport kutoka china vizuri na hawakuwekwa karantini, wamekuja kuwekwa huku na wachina wenzao..


Viongozi tuliowapa dhamana ndo wakulaumiwa kwa hili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mshaambiwa aliji'quarantine mwenyewe

Mnaumwa kbs nyie
Mnajiona TZ keki kwamba hamuwezi ugua sio

gonjwa liko Marekani nk nyie mna nini..inahusuu?
Asisafiri alizuiwa kwani!!?
Mbona kama umepaniki, furaha yako ni nini dhidi ya WaTanzania?
 
Watu wanasema huyo mama kafanya kusudi kuuleta ugonjwa. Kama sio kusudi
  1. Kwanini alipitilizia hotelini badala ya Kwake?
  2. Kwanini hakutaka aje apokelewe na ndugu zake wakati Ana gari?
Wamfiche huko maana watu wana usongo nae mno wanasema anafaa apigwe shaba.
Hata yeye alikuwa anajua kuwa kuna ugonjwa kama ww na anajua nchi aliyotoka ina huo ugonjwa ndo maana labda akaamua kuchukua tahadhar .maana hakuwa na uhakika kama ameathirika au la .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanasema huyo mama kafanya kusudi kuuleta ugonjwa. Kama sio kusudi
  1. Kwanini alipitilizia hotelini badala ya Kwake?
  2. Kwanini hakutaka aje apokelewe na ndugu zake wakati Ana gari?
Wamfiche huko maana watu wana usongo nae mno wanasema anafaa apigwe shaba.
hata mamlaka nazo zinahusika kwani bado hawajasitisha safari kutoka nje
hivyo mwingine yoyote angeweza kuleta pia ukimuacha huyo mama

nivizuri tukiwaiga wachina ambao ndiko ugonjwa ulipoanzia huko ukiingia unapimwa na unapigwa karantini wiki mbili hata kama hukuonyesha dalili yoyote tena kwa garama zako mwenyewe baada wiki mbili ndio unaruhusiwa kuingia mtaani


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Janga likiisha huyo mama ntamshtaki kwa vifungu vya sheria iwe mfano kwa wote wenye ubinafsi na wasiojari maisha ya wengine.Mwambieni ajipange na kesi ya mauaji inamngoja
 
Mshaambiwa aliji'quarantine mwenyewe

Mnaumwa kbs nyie
Mnajiona TZ keki kwamba hamuwezi ugua sio

gonjwa liko Marekani nk nyie mna nini..inahusuu?
Asisafiri alizuiwa kwani!!?
Alishindwa nini kuwaambia Uhamiaji kabla ya kuingia nchini kwamba ana wasi wasi na afya yake pale pale uwanjani mpaka akajitenge hotelini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hata mamlaka nazo zinahusika kwani bado hawajasitisha safari kutoka nje
hivyo mwingine yoyote angeweza kuleta pia ukimuacha huyo mama

nivizuri tukiwaiga wachina ambao ndiko ugonjwa ulipoanzia huko ukiingia unapimwa na unapigwa karantini wiki mbili hata kama hukuonyesha dalili yoyote tena kwa garama zako mwenyewe baada wiki mbili ndio unaruhusiwa kuingia mtaani


Sent using Jamii Forums mobile app
Huko kujihudumia mwenyewe watanzania wataweza kweli ?
 
Wewe ndio unaumwa kabisa,
Kwa nini aliji'quarantine mwenyewe akamuacha huyo dereva teksi? Au wakati anasafiri huko kote hakupata elimu yoyote huo ugonjwa unasambaa vipi?
Kwa sababu huo ugonjwa uko kwingine duniani na sisi tuwe wazembe tu? Akili zako za wapi wewe!
Mshaambiwa aliji'quarantine mwenyewe

Mnaumwa kbs nyie
Mnajiona TZ keki kwamba hamuwezi ugua sio

gonjwa liko Marekani nk nyie mna nini..inahusuu?
Asisafiri alizuiwa kwani!!?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hatupo Salama
Mpaka Sasa Nchi Zaidi Ya 150 Zina Maambukizi Ya Corona Virus Diseases 19
 
Back
Top Bottom