displayname
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 1,972
- 1,085
ati ndio huyu bi isa wa bellaWatu wanasema huyo mama kafanya kusudi kuuleta ugonjwa. Kama sio kusudi
Wamfiche huko maana watu wana usongo nae mno wanasema anafaa apigwe shaba.
- Kwanini alipitilizia hotelini badala ya Kwake?
- Kwanini hakutaka aje apokelewe na ndugu zake wakati Ana gari?
Sidhani kama wakimpima leo watakuta kitu, itasoma negative tu
Huyo mama ashitakiwe kwa kesi za mauaji, hyo ilikuwa makusudi kuua familia za watu wengine, alijua kabisa ni mgonjwa
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23]Mtiririko sawa na nuclear chain reaction-hapa critical mass ikifikiwa ni mlipuko tu.
Hapana si mimi nimeikuta twitter jana.Duuu watu mko fasta 😂😂.... Mkuu Hii umeisketch wewe?
3. Sitisha miradi mikubwa ya maendeleo kwanza.
4. Ahirisha deadlines za kodi
Atakuwa Katumwa na mabeberu huyu... Kukwamisha Juhudi za Awamu ya Tano
Tehteh
Sent using Jamii Forums mobile app
Mshaambiwa aliji'quarantine mwenyewe
Mnaumwa kbs nyie
Mnajiona TZ keki kwamba hamuwezi ugua sio
gonjwa liko Marekani nk nyie mna nini..inahusuu?
Asisafiri alizuiwa kwani!!?
Mbona kama unachekelea!Mshaambiwa aliji'quarantine mwenyewe
Mnaumwa kbs nyie
Mnajiona TZ keki kwamba hamuwezi ugua sio
gonjwa liko Marekani nk nyie mna nini..inahusuu?
Asisafiri alizuiwa kwani!!?
Uwiiii mwenzetu anaongelea kujipodoa watu matumbo ya kuhara yanatushika huku!🤦🏼♀️