Dereva wa basi la Mtei Express auawa na madereva wa malori kutoka Rwanda

Hapa ni kuwa makini na kujifanya mjinga kuepusha shari ....binadamu tunatofautiana sana,kabla ya kumface mtu msome kwanza, kuta watu ni wamevurugwa Ile mbaya asee ,Sasa mtu humjui unaenda kuanzisha conflict nae ...Epuka conflict zisizo na maana kabisa
Ukiangalia hapo dereva ye angeendelea na safari yake au angereport kwa usalama wa barabarani kwa sababu Kuna vitu huezi solve mwenyewe pasipo kuleta madhara kama haya.
RIP
 
😁na emoji za masikitiko

Yaani fisi atarekodiwa mpaka anapoburuta na kutoweka.

Watanzania ni mazezeta kweli.
 
Ntakujibu kwa scenario moja.

Kuna jamaa walisikia mwizi mwizii wakaliunga mpaka eneo la tukio, walipofika wakachukua simu zao na kurikodi tukio zima la mwizi kuchomwa moto mpaka mwizi anakata roho, baadae wakarusha kwenye mitandao ikajulikana ni kijana mwanafunzi aliyeitiwa mwizi na mpenzi wake waliyegombana, mbaya zaidi ni ndugu wa karibu wa mmoja wa aliyekuwa anarekodi.

Hivi mpaka hapa umeelewa namaanisha nini?
 
Siku hizi ishi kama uko peke yako, jiepushe na sintofahamu yoyote ili roho yako iwe salama, Kuna watu wana stress sana kukuua ni mara moja halafu Kuna zile chuki za makundi Fulani, dereva wa Lori vs dereva basi au utakuta dereva gari binafsi vs dereva pikipiki... Maisha yahitaji uangalifu sana kipindi hiki, hivyo lazima uwe makini.
 
Obvious jamaa alipewa pigo moja tu, kitendo cha haraka. Basi limesimama dereva kashuka hamjui anaenda kufanya nini. Somo kuu hapa watu watumie busara kuhimili hasira zao, ukishindwa kuji control matokeo yake ndio haya.
 
Wewe umeendeleza scenario kwa mtazamo wako
 
Sijawahi kuendesha gari wala kupanda. Unapaniki nini? Wewe ndio unajionesha ulivyo zuzu hata civilized conversation inakushinda.
 
Wewe umeendeleza scenario kwa mtazamo wako
Hata wewe Scenario yako imetokana na mtazamo wako.

Mitazamo ndo hudefine mtu ni wa aina gani. Mwoga, jasiri, hodari, dhaifu, anayejali, asiyejali n.k

Mfano, tukiwa jamii yenye mtazamo wa kuogopa kusaidia watu ili tusiingie kwenye matatizo tunakuwa jamii yenye watu aina ya .............. malizia mwenyewe boss.
 
Wewe ni bwege sana Mimi ningekua pale kwanza yule Jamaa alieua angekua marehemu Muda huu na lile Lori lingekua mkaa screpa Muda huu na wakati huo nyinyi makameraman wa kujitegemea mmesharusha Video zangu Dunia nzima
 
Obvious jamaa alipewa pigo moja tu, kitendo cha haraka. Basi limesimama dereva kashuka hamjui anaenda kufanya nini. Somo kuu hapa watu watumie busara kuhimili hasira zao, ukishindwa kuji control matokeo yake ndio haya.
Yote mawili yalishindikana, kuzuia mauaji na kuzuia wauaji kuondoka?
 
Wewe ni bwege sana Mimi ningekua pale kwanza yule Jamaa alieua angekua marehemu Muda huu na lile Lori lingekua mkaa screpa Muda huu na wakati huo nyinyi makameraman wa kujitegemea mmesharusha Video zangu Dunia nzima
OK boss. Una nguvu mno, ila binafsi hata kutafuta camera tu kwenye smart phone yangu wakati mwingine napata tabu.
 
Yote mawili yalishindikana, kuzuia mauaji na kuzuia wauaji kuondoka?
Babu Sisi ndio wale Gari ukifanya fyoko dereva akishuka na Sisi tunashuka kwenye Bus na Wewe kuangalia lolote likitokea kikinuka tunapambana pamoja maana barabarani mambo ni mengi hio ilikua Bahati mbaya tu kwake marehemu labda dereva alibeba Wanawake tupu kwenye Bus huwezi jua
 
Inawezekana.
 
Hakuna aliyekuwa anajua dereva anaenda kufanya nini, pili hakuna aliyejua derevawingine atafanya nini. Tatizo utakuta aliye chukua video alikuwa mbali na mlango na alikuwa upande wa dirishani. Mpaka aombe kutoka Kwa abiria mwenzie, apite kwenye uwanda WA wazi, stoke nje , tukio lingekuwa lina msubiria kama vile yeye ni mwamuzi wa Hilo pambano
 
OK boss. Una nguvu mno, ila binafsi hata kutafuta camera tu kwenye smart phone yangu wakati mwingine napata tabu.
Sio nguvu sipendi kuona mtu anaonewa kibwege na wakati Mimi nipo hapo hapo alieonea lazima nimwadabishe km hajaja kubebwa akiwa kilema basi na yeye amfuate alipoenda marehemu na ule mlori ungekua ushawaka moto zamani sana shenzi na hivi natembeaga na Bunda la kiberiti tukichimba Dawa nishtue kimoja halafu Safari iendelee wala nisingehangaika kutafuta duka ninunue kiberiti
 
Aliechukua Video ni dereva mwingine wa Lori au Bus aliekua anapita pembeni na yeye tukio kalikutia katikati au hujaona hio clip?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…