Dereva wa basi la Mtei Express auawa na madereva wa malori kutoka Rwanda

Dereva wa basi la Mtei Express auawa na madereva wa malori kutoka Rwanda

Mkwere Sumbawanga

JF-Expert Member
Joined
Sep 28, 2015
Posts
744
Reaction score
660
Kuna habari inazunguka pale mtandao wa "X" ikisema dereva wa mtei kauawa na dereva wa Lori za Rwanda je kuna ukweli?

Inadaiwa Dereva huyo wakati anaendesha Bus, njiani alikutana na na Malori mawili kutoka Rwanda...

Malori hayo yalikuwa yanaendesha vibaya hivyo derva akasimamisha gari kwa kutaka kuongea nao, ambapo walimpiga na kumuua..

20240904_221158.jpg



=====

UPDATES KUTOKA JESHI LA POLISI


Kamanda wa polisi mkoani Manyara, Makarani Ahmed ametoa taarifa juu ya dereva wa basi la Mtei aliyeuwawa kikatili na dereva wa gari la mizigo na kwamba jeshi hilo linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za mauaji kuhusiana na tukio hilo.

Ikumbukwe kuwa kupitia video clip iliyosambaa katika mitandao ya kijamii ilikuwa ikimuonyesha dereva wa gari la abiria akiwa chini mara baada ya kupigwa na kitu kizito na muda mchache baadaye kupoteza maisha.

#CloudsDigitalUpdates
@marcellazaro77
 
Mtei yupi na kwa nini wampige?
Huko barabarani kuna mambo mengi sana wakati mwengine kwenye shari na hao jamaa wa malori kama ukiweza hata kama amekugusa muache tu aende ukafanye namna nyingine.

Jamaa ni nusu vichaa zamani tulizoea kuona madereva wa malori wazee siku hizi ni vijana wadogo hekima ya kuamua ni zero.
 
hiki ulichoongea hakitakusaidia maisha yako yote and you haven't gained anything, zaidi sana umechuma dhambi tu. Mungu akusaidie.
Maisha yanatuchanganya sana,huyu ni mfano mzuri wa driver aliyempiga mwenzake mpaka kumuuwa unaweza kuona namna alivyoandika hapa seems yupo very frustrated sasa ndiyo mkorofishane barabarani huyu ataacha kukupiga nondo akuuwe?

Hatari sana
 
Back
Top Bottom