Toa uthibitisho kuwa kila dereva wa basi hufanya hiviSihalalishi alichofanyiwa dreva Basi
Ila Madreva mabasi sometimes wanakera Sana, wanajifanya wana haraka sn kuliko watumiaji wengn wote wa barabara.
Sometimes Wanachomekea kwa fujo na overtaking zao za kipuuzi sn zisizochukua tahadhali za usalama barabarani.
Ukikaa kizembe kwny usukani, ukawakadiria kwa macho, unastuka mtu huyu Hapa, wanachezesha Basi ghafla, unamkwepa unahama Njia, wanakusababishia ajali afu wao wanalala zao mbele na matusi juu wanatukana.
Sent using JamiiForums mobile app
Ndo maana nikasema "baadhi Yao"Toa uthibitisho kuwa kila dereva wa basi hufanya hivi
Acha upumbavu huu,ni hawa so called wanajeshi,magari ya serikali, umma ndio vurugu kubwa kwenye mabarabara yetu, Doctor naye ni mshenzi hailezi ukweli kuwa majeruhi hayo ya mpigwa yalitokana na nini, police nayo ni ovyo why they can't arrrest a suspect, hapo ingekua raia kapiga mwanajeshi ingekuaje?,mwanausalama haruhusiwi kupiga raiaMadereva wa mabasi makubwa baadhi ni washenzi Sana,wanaendesha Kama vile Barabara ni ya kwao peke yao,tungesikia na upande wa pili ilikuaje
hawa jamaa banaa.. leo kuna mwingine alikuwa na BMW DVB kama sikosei maeneo ya makongo nilimkuta kawekwa kati na wajeda.. jamaa anatetemeka tu hadi huruma 😅😅Dereva wa basi la Saratoga linalofanya safari kutoka Dar es Salaam kwenda Kigoma, Yasini Shabani (45), ameshambuliwa kwa kupigwa maeneo mbalimbali ya mwilini na Askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), anayejulikana kwa jina la Emmanuel Peleka baada ya basi hilo kulipita gari la JWTZ katika eneo la Picha ya Ndege Kibaha mkoani Pwani.
Huko ni kujichukulia sheria mkononi na ni makosa.Kwahiyo hata kama sio Ku over take basi ni ruhusa kwa binadamu kumshambulia mkosaji wake!?
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hawa jamaa banaa.. leo kuna mwingine alikuwa na BMW DVB kama sikosei maeneo ya makongo nilimkuta kawekwa kati na wajeda.. jamaa anatetemeka tu hadi huruma [emoji28][emoji28]
Sawa, ndio upige mtu? Sheria hiyo ameitoa wapi?Madereva wa mabasi makubwa baadhi ni washenzi Sana,wanaendesha Kama vile Barabara ni ya kwao peke yao,tungesikia na upande wa pili ilikuaje
nilimuonea huruma sana, wajeda wakamuambia haya kabizi simu ili asije record.. wazee wakaichukua wakamshusha.. iliyobaki pole yake 😅😅[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo dereva boyo tu kwani mawe yanauzwa kwenye gali humo kuna viumba kibaoDereva wa basi la Saratoga linalofanya safari kutoka Dar es Salaam kwenda Kigoma, Yasini Shabani (45), ameshambuliwa kwa kupigwa maeneo mbalimbali ya mwilini na Askari wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ), anayejulikana kwa jina la Emmanuel Peleka baada ya basi hilo kulipita gari la JWTZ katika eneo la Picha ya Ndege Kibaha mkoani Pwani.
Miaka yote nchi hii hawa jamaa upenda kuwaonea raiya 1 pale kawe ulikutana na kisiki akan,golewa meno tatizo za hawa jamaa ushambaWameanza tena kupiga raia eeh, ingekuwa enzi za CDF flani hivi kijana hana kazi ni hivi tu sasahivi jeshi limekuwa kama shamba la bibi hakuna nidhamu hakuna nini kila mtu anajiendea tu anavyotaka, mimi ningezaa naye hata kama mwanajeshi maaneener zake
wameanza wangapi?Wameanza tena kupiga raia eeh, ingekuwa enzi za CDF flani hivi kijana hana kazi ni hivi tu sasahivi jeshi limekuwa kama shamba la bibi hakuna nidhamu hakuna nini kila mtu anajiendea tu anavyotaka, mimi ningezaa naye hata kama mwanajeshi maaneener zake