Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Dar es Salaam.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni, linamchunguza dereva wa basi la wanafunzi, Yohana Mwambene, kwa tuhuma za kumnajisi mtoto wa miaka mitano.
Dereva huyo anatuhumiwa kufanya kitendo hicho kwa mwanafunzi wa darasa la kwanza wa Shule ya St. Anne Marie Academy iliyopo Mbezi kwa Msuguri
Dereva huyo amekuwa akiwabeba wanafunzi wanaosoma shule hiyo.
Chanzo: Mwananchi