shanature
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 1,693
- 1,432
haha tatizo unalo ewe awekewe au anyonywe vyote havitakiwi na ni uharibifu.Hivi kuweka mkuyenge na kukanyonya katoto ipi ni uharibifu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haha tatizo unalo ewe awekewe au anyonywe vyote havitakiwi na ni uharibifu.Hivi kuweka mkuyenge na kukanyonya katoto ipi ni uharibifu?
Hii shule tatizo ni mmiliki tu unampa mtu aliyefeli shule kusimamia taasisi kubwa kama hiiView attachment 1722734
Dar es Salaam.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni, linamchunguza dereva wa basi la wanafunzi, Yohana Mwambene, kwa tuhuma za kumnajisi mtoto wa miaka mitano.
Dereva huyo anatuhumiwa kufanya kitendo hicho kwa mwanafunzi wa darasa la kwanza wa Shule ya St. Anne Marie Academy iliyopo Mbezi kwa Msuguri
Dereva huyo amekuwa akiwabeba wanafunzi wanaosoma shule hiyo.
Chanzo: Mwananchi
Ushauri mzuri sana huu mkuu. Big uptraffic wakamate gari la shule lisilokuwa na matron ndani.
Watu wema wanaitwa malofa, wamezubaa, wazembe, madomo zege na kila aina ya jina baya.watu wema wanaonekana wajinga na jamii inawashangaa.
Umeandika kwa hisia na logic sana mkuuTunaishi kwenye nyakati ngumu sana. Ni nyakati ambazo wanadamu wameshaachana na matumizi ya fahamu badala yake waanaenenda kama wanyama.
Ni nyakati ambazo zimejaa mashaka, hofu ,wasi wasi na majuto kuliko furaha. Ni nyakati ambazo uaminifu na utu vimekuwa vitu adimu sana kiasi kwamba watu wema wanaonekana wajinga na jamii inawashangaa.
Kuishi nyakati hizi na kubaki salama kunahitaji bahati pamoja na kudra za muumba pekee maana mioyo ya watu imejaa chuki na visasi ili hali nyuso zao zinatabasamu na kucheka.
Dereva wa kike akiendesha mabinti wadogo wa kike hamna ngono apoWapo wanawake watu wazima wanaofanya ngono na vijana wadogo kwa kuwarubuni.