Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kunajisi ndo kufanyeje kwanza?Hizo sawa kusomesha mtoto,sio zile shule watoto wanapelekwa na bazazi tu,ambalo wanawake wakubwa haliwaoni linataka watoto
Alimbaka au ? Maana kunajisi sielewi ndo Nini?Jamani saa ngapi tena?? Nilifikiri school bus zimeweka utaratibu wa kutembea na walimu mmoja kwa zamu??
Hii mbaya jamani!
Huyu mtoto POLE kwa wazazi!
Everyday is Saturday............................... 😎
Nimeshuhudia sana hivyo vitendo pale machinjioni vingunguti. Labda kwa upande wako yawezekana hujawahi ona.... labda buzi wa kwenu mkuu.
Kunajisi ni kulawitiAlimbaka au ? Maana kunajisi sielewi ndo Nini?
Du watoto wa jinsia gani wa kike kwa wa kiume au?Wale watoto wa mwanzo (alfajiri) wanaopitiwa na gari mapema kigiza kikiwepo huwa ni victim wa madereva na wale wadogo wanateswa na wale wakubwa. Wazazi waangalie hilo.
Kuna member humu alisema aliwaona wanafunzi kwenye school bus wakinyonyana ndimi siti ya nyuma kabisa. Kaa chini na mwanao atakueleza mengi kama sio yake basi ya wanafunzi wenzake.
We jamaa hapa hamna cha bora vyote ni vitendo viovuMh! Darasa la kwanza?!, si bora angemshika maziwa wa darasa la 5 au la 6 pasipo kumnajisi?
Molestation, sasa inaweza kuwa kumbaka kinyume na maumbile!Alimbaka au ? Maana kunajisi sielewi ndo Nini?
Hii shule nadhani ina uzembe fulani ambao hauvumiliki, last year kama sikosei kuna mtoto aliungua kafariki baada ya kudondoka kwenye sufuria la chai, nilijiuliza maswali mengi ikiwa ni pamoja utaratibu unaotumika kuwapatia watoto breakfast na usimamizi waoView attachment 1722734
Dar es Salaam.
Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni, linamchunguza dereva wa basi la wanafunzi, Yohana Mwambene, kwa tuhuma za kumnajisi mtoto wa miaka mitano.
Dereva huyo anatuhumiwa kufanya kitendo hicho kwa mwanafunzi wa darasa la kwanza wa Shule ya St. Anne Marie Academy iliyopo Mbezi kwa Msuguri
Dereva huyo amekuwa akiwabeba wanafunzi wanaosoma shule hiyo.
Chanzo: Mwananchi
Daaaah .ningemuua liveKunajisi ni kulawiti
Evil evil .Ni ukichaa mtoto wa miaka 5??Molestation, sasa inaweza kuwa kumbaka kinyume na maumbile!
Kumtia vidole, BlowJ, hawajafafanua lakini hayo ndiyo yaweza kuwa yametokea.
Wanaume tunafeli!
Everyday is Saturday............................... 😎
Sawa.Ungekaa kimya tusingegundua ubovu wa akili yako