macho_mdiliko
Platinum Member
- Mar 10, 2008
- 25,191
- 48,765
Unafanya vizuri sana. Lakini wakati mwingine sisi watanzania ni watu sijui nisema waoga au tu wazembe, yaani mzazi anakubali mtoto wa miaka mitano apande kwenye basi bila uangalizi wa mtu? Vitu vingine ni kutumia common sense tu.Mimi shule wanangu wanasoma kila gari linakua na mwalimu,sinaga ujinga wa kusomesha shule za bora liende