Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 9,140
- 15,963
Siku uone mtoto wako anafanyiwa hivo ndo uje uandike hivoMh! Darasa la kwanza?!, si bora angemshika maziwa wa darasa la 5 au la 6 pasipo kumnajisi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku uone mtoto wako anafanyiwa hivo ndo uje uandike hivoMh! Darasa la kwanza?!, si bora angemshika maziwa wa darasa la 5 au la 6 pasipo kumnajisi?
Naua mtu, simpeleki polisi wala mahakamani. Namhasi halafu namtoa kafara.Siku uone mtoto wako anafanyiwa hivo ndo uje uandike hivo
Hiyo si sawa na kukaharibu bikra yake katoto ka miaka 5Wapo wanawake watu wazima wanaofanya ngono na vijana wadogo kwa kuwarubuni....
Kumbe haya mambo yanakupita kando === mahali kwa vile mahari ni kumnunua mkeUsawa wanaohitaji uwe kila mahari...kubaka ni kubaka no matter
Wa kike nae atanajisi wa kiume au kusaga wa kikeUjanja ni kuwa na madereva wa kike ili waendeshe mabasi ya wanafunzi
Hivi kuweka mkuyenge na kukanyonya katoto ipi ni uharibifu?Wa kike nae atanajisi wa kiume au kusaga wa kike
Sasa mbona unataka watoto wa wengine washikwe shikwe manyonyoNaua mtu, simpeleki polisi wala mahakamani. Namhasi halafu namtoa kafara.
Hata mi nashangaa wanaposema madereva wawe wanawake, tukio kama hili linaweza tokea popote.Hao watu wenye hizi tabia wapo kila mahali mnaposema madereva wawe wanawake kisa hilo tukio.kesho mkisikia askari kabaka mtasema maaskari wawe wanawake...inshort tuwe makin na kuomba mungu tuh
Hata ng'ombe siwawezi kuwaaminiKwahiyo unataka Gari ziendeshwe na ng'ombe?
Kosa la kumshika maziwa mwanafunzi wa darasa la 5 mpaka la 7 linaangalika, kuliko la kumnajisi mtoto wa darasa la kwanza.Sasa mbona unataka watoto wa wengine washikwe shikwe manyonyo
Ndiyo, hakunaHakuna waangalizi kwenye haya magari?
Tupitishe agendaUjanja ni kuwa na madereva wa kike ili waendeshe mabasi ya wanafunzi
Alafu hautawahi kuona mbwa kaenda kwa mbuzi, punda kwa ng'ombe nk. Wanadamu ndio tunatumikishwa na shetani lakini wanyama wako vzr tu.... nikusahihishe kidogo; wanyama hawajafikia level hiyo! Mwingiliano wa wanyama ni kwa madume kuwaingilia majike waliopevuka na walio katika joto lengo ni kuongeza kizazi na sio kustarehe au madhumuni mengine. Wanyama hawaingiliani kinyume na maumbile; hilo liko kwa binadamu tu!