Dereva wa basi la shule adaiwa kumnajisi Mtoto wa miaka 5

Dereva wa basi la shule adaiwa kumnajisi Mtoto wa miaka 5

Hao watu wenye hizi tabia wapo kila mahali mnaposema madereva wawe wanawake kisa hilo tukio.kesho mkisikia askari kabaka mtasema maaskari wawe wanawake...inshort tuwe makin na kuomba mungu tuh
 
Mtoto wa kiume kupewa k si sawa na mtoto wa kike kuingizwa dushe bwashee na kukaharibia bikra yake
 
Mtoto wa miaka 5 jamani jamani!inahuzunisha [emoji19]. Hizi school bus inabidi kuwe na ulazima wa kuwa na matrons wa kuwasindikiza watoto.
 
Hao watu wenye hizi tabia wapo kila mahali mnaposema madereva wawe wanawake kisa hilo tukio.kesho mkisikia askari kabaka mtasema maaskari wawe wanawake...inshort tuwe makin na kuomba mungu tuh
Hata mi nashangaa wanaposema madereva wawe wanawake, tukio kama hili linaweza tokea popote.
 
Ila pia natoa nasaha kwa watu wazima (Wanaume) epukeni kukaa,kuzoeana,kutaniana na watoto wa kike kama sio WA KWAKO/NDUGU YAKO.

Nimeishawahi kushuhudia mtu aliponea nyundo ya miaka mingi jela kisa hao watoto.
 
Kwahiyo unataka Gari ziendeshwe na ng'ombe?
Hata ng'ombe siwawezi kuwaamini
IMG_20210311_074536_686.jpg
 
Sasa mbona unataka watoto wa wengine washikwe shikwe manyonyo
Kosa la kumshika maziwa mwanafunzi wa darasa la 5 mpaka la 7 linaangalika, kuliko la kumnajisi mtoto wa darasa la kwanza.
 
... nikusahihishe kidogo; wanyama hawajafikia level hiyo! Mwingiliano wa wanyama ni kwa madume kuwaingilia majike waliopevuka na walio katika joto lengo ni kuongeza kizazi na sio kustarehe au madhumuni mengine. Wanyama hawaingiliani kinyume na maumbile; hilo liko kwa binadamu tu!
Alafu hautawahi kuona mbwa kaenda kwa mbuzi, punda kwa ng'ombe nk. Wanadamu ndio tunatumikishwa na shetani lakini wanyama wako vzr tu.
 
Back
Top Bottom