Binadamu Mtakatifu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2021
- 4,226
- 8,879
Dereva kazidiwa aisee😏😏
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... Shetani anamwonea wivu mwanadamu kwani, kwanza ndiye kiumbe pekee aliyeumbwa kwa sura na mfano wa Mungu; hata malaika hawakupewa heshima hii ya ajabu; pili, Mungu mwenyewe (Yesu Kristo) kashuka kumkomboa wakati Shetani hata nafasi ya kusema "samahani" hakupewa; tatu baada ya maisha haya, makao yake ni Mbinguni (kwa watakatifu).Alafu hautawahi kuona mbwa kaenda kwa mbuzi, punda kwa ng'ombe nk. Wanadamu ndio tunatumikishwa na shetani lakini wanyama wako vzr tu.
Tena ukute huo mkunyenge ni mguu wa mtoto balaa tupu.Hivi kuweka mkuyenge na kukanyonya katoto ipi ni uharibifu?
Naunga mkono hoja wametuchosha.nasema kila siku ,,,,hawa wapuuzi wahasiwe...then waachiwe huru...
Atakuwa mwandishi wa habari huyu,habari zake nyingi huwa naziona pia Mwananchi......imeripotiwa Mwananchi leo nadhaniHatari sana hii, wazazi hatuna budi kuwa makini,
Hizi habari hua unazitoa wapi Miss Zomboko, wewe na Beth habari zenu ni huzuni tuu.
Utaratibu ufanywe na iwe sheriaNdiyo, hakuna
ni ngumu but itawafundisha adabu........kuwafunga ni kuibebesha serikali gharama za kuwahudumia.....Naunga mkono hoja wametuchosha.
Wakibaka watoto wetu wa kiume je?!Ujanja ni kuwa na madereva wa kike ili waendeshe mabasi ya wanafunzi
Wanawakaba au wanawapa utamu? Usiwe na mawazo mgando please refer to your colleague Jinsi safari yangu ya mapenzi ilivyoanza na "jimama"
Nakazia Mkuu, Mkoa wa KinondoniMKOA WA KINONDONI
Mkuu hii haina shida sana. Ukisikia mtoto wako wa kiume kabakwa na mdada wa shule. Mimi kama mzazi ntatembea kifua mbele mabega juu kwamba nimezaa kidume kweli kweliWapo wanawake watu wazima wanaofanya ngono na vijana wadogo kwa kuwarubuni....
MKOA WA KINONDONI
So unahisi huyo mtoto anaepewa utamu anakuwa salama.Wanawakaba au wanawapa utamu? Usiwe na mawazo mgando please refer to your colleague Jinsi safari yangu ya mapenzi ilivyoanza na "jimama"
Tunaishi kwenye nyakati ngumu sana.....
Ni nyakati ambazo wanadamu wameshaachana na matumizi ya fahamu badala yake waanaenenda kama wanyama.....
Ni nyakati ambazo zimejaa mashaka, hofu ,wasi wasi na majuto kuliko furaha.....
Ni nyakati ambazo uaminifu na utu vimekuwa vitu adimu sana kiasi kwamba watu wema wanaonekana wajinga na jamii inawashangaa....
Kuishi nyakati hizi na kubaki salama kunahitaji bahati pamoja na kudra za muumba pekee maana mioyo ya watu imejaa chuki na visasi ili hali nyuso zao zinatabasamu na kucheka......
we acha tu, wadada wa kazi usiseme wana wagegeda kanini, yaani uncle akifika utashangaa dada anavyokurupuka ndani,Huu mchezo wa madereva kukaa peke yao na watoto kwenye gari bila kua na mdada (awe kama matron) kwenye gari sio wa kuvumilika. Kila bus liwe na dereva Ila na mdada wa kuwaongoza watoto.
Mimi shule wanangu wanasoma kila gari linakua na mwalimu,sinaga ujinga wa kusomesha shule za bora liendeHuu mchezo wa madereva kukaa peke yao na watoto kwenye gari bila kua na mdada (awe kama matron) kwenye gari sio wa kuvumilika. Kila bus liwe na dereva Ila na mdada wa kuwaongoza watoto.
Hata kama basi litaendeshwa na mwanamke bado kuna umuhimu wa kuwa na mtu wa kuwaangalia hao watoto. Dereva hawezi kuendesha gari huku akiangalia watoto. Huyo mwenye mtoto aliyebakwa aishtaki shule au serikali iunganishe shule kwenye mashtaka. Mtoto wa miaka mitano hawezi kuwa kwenye gari bila uangalizi. Muda wote mtoto anapokuwa kwenye basi yuko chini ya uangalizi wa shule. Chochote kinachotokea shule inawajibika.Nadhani hii Ni fursa mwa mabinti kusomea udereva wa hizi school bus.
Bora kumpa Binti aendeshe school bus kuliko mwanaume. Na ninaiona ni fursa ya wazi sidhani Kama Kuna mdada akiomba kazi atakosa.