King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Mkuu angalia athari kubwa ni ipi? Matron kumbaka mtoto wa kiume na Dereva kumlawiti mtoto wa kiume.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazazi kuwa makini kivipi, kuwabeba ndani ya kibasi?Hatari sana hii, wazazi hatuna budi kuwa makini,
Afadhali mwanamke anayefanya mapenzi na mtoto wa kiume, kuliko mwanaume anayefanya na watoto wote wawili yaani wa kike na kiumeWapo wanawake watu wazima wanaofanya ngono na vijana wadogo kwa kuwarubuni....
Usawa wanaohitaji uwe kila mahari. Kubaka ni kubaka no matter what.Ili muingiliano ukamilike ni lazima mwanaume awe "ready"; mdada hawezi kumchukua tu mtoto wa kiume out of his consent na ikawezekana kirahisi.
Haiwi funzo kamwe ndio maana yanajirudia.Warekebishe sheria tu kifungo kiwe miaka 60 atatumikia 2/3 * 60(Miaka 40) ,akitoka jela kama aliingia na miaka 25 anatoka na 65...Ndio funzo.
Wanyama wanangilia kwa ajiri ya starehe kuzaa ni matokeo.Nikusahihishe kidogo; wanyama hawajafikia level hiyo! Mwingiliano wa wanyama ni kwa madume kuwaingilia majike waliopevuka na walio katika joto lengo ni kuongeza kizazi na sio kustarehe au madhumuni mengine. Wanyama hawaingiliani kinyume na maumbile; hilo liko kwa binadamu tu!
Dr. Wansegamila Naomba uweke sawa hapa tutaumizana kichwaYou are wrong.
Mihemuko gani ya mtoto wa umri wa miaka 5? Yan sijui kwa kweli
Acha tu kulea na kumlinda mtoto na mabalaa ya dunia ni kazi sana , ni kuomba mungu tu.Yan Sahiv mbali na ugumu wa kutafuta pesa, ugumu mwingine ni kulea watoto wetu maana sio kwa mabalaa haya
Kabisa.Pia kuna shule zinatimia noah.. Watoto wanashindiliwa humo kama mizigo, hili pia nalo liangaliwe