Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Ujumbe ukufikie popote ulipo, waliolala makaburini hawakujitakia, ni mapenzi ya Mungu, kitendo ulichofanya Kola makaburini leo tarehe 19.4.2022 saa 12:26 jioni siyo cha uungwana.
Umesimamisha gari lenye namba tajwa na kuchepuka kukojoa kwenye eneo la makaburi bila hata haya, tumekupiga picha kwa kila ulilofanya pale, wengi tumeshindwa kukuelewa kama una akili timamu au ulikwenda kufanya ushirikina.
Mtu mwenye akili timamu hawezi kuthubutu hata kutema mate katika eneo kama lile, lakini huenda kwasababu ya kibri, dharau, majivuno ya uhai ulio nao ukaona waliolala makaburini ni wa kuwakojolea, mbaya sana, mbaya sana, mbaya saaaana!!!
Umesimamisha gari lenye namba tajwa na kuchepuka kukojoa kwenye eneo la makaburi bila hata haya, tumekupiga picha kwa kila ulilofanya pale, wengi tumeshindwa kukuelewa kama una akili timamu au ulikwenda kufanya ushirikina.
Mtu mwenye akili timamu hawezi kuthubutu hata kutema mate katika eneo kama lile, lakini huenda kwasababu ya kibri, dharau, majivuno ya uhai ulio nao ukaona waliolala makaburini ni wa kuwakojolea, mbaya sana, mbaya sana, mbaya saaaana!!!