Dereva wa STL 9898 Landcruiser Uwe Muungwana

Dereva wa STL 9898 Landcruiser Uwe Muungwana

Faana

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2011
Posts
38,657
Reaction score
44,759
Ujumbe ukufikie popote ulipo, waliolala makaburini hawakujitakia, ni mapenzi ya Mungu, kitendo ulichofanya Kola makaburini leo tarehe 19.4.2022 saa 12:26 jioni siyo cha uungwana.

Umesimamisha gari lenye namba tajwa na kuchepuka kukojoa kwenye eneo la makaburi bila hata haya, tumekupiga picha kwa kila ulilofanya pale, wengi tumeshindwa kukuelewa kama una akili timamu au ulikwenda kufanya ushirikina.

Mtu mwenye akili timamu hawezi kuthubutu hata kutema mate katika eneo kama lile, lakini huenda kwasababu ya kibri, dharau, majivuno ya uhai ulio nao ukaona waliolala makaburini ni wa kuwakojolea, mbaya sana, mbaya sana, mbaya saaaana!!!
 
Ujumbe ukufikie popote ulipo, waliolala makaburini hawakujitakia, ni mapenzi ya Mungu, kitendo ulichofanya Kola makaburini leo tarehe 19.4.2022 saa 12:26 jioni siyo cha uungwana.

Umesimamisha gari lenye namba tajwa na kuchepuka kukojoa kwenye eneo la makaburi bila hata haya, tumekupiga picha kwa kila ulilofanya pale, wengi tumeshindwa kukuelewa kama una akili timamu au ulikwenda kufanya ushirikina.
Weka picha kabla hujaitwa mnaa au mleta majungu
 
Ujumbe ukufikie popote ulipo, waliolala makaburini hawakujitakia, ni mapenzi ya Mungu, kitendo ulichofanya Kola makaburini leo tarehe 19.4.2022 saa 12:26 jioni siyo cha uungwana.

Umesimamisha gari lenye namba tajwa na kuchepuka kukojoa kwenye eneo la makaburi bila hata haya, tumekupiga picha kwa kila ulilofanya pale, wengi tumeshindwa kukuelewa kama una akili timamu au ulikwenda kufanya ushirikina.

Mtu mwenye akili timamu hawezi kuthubutu hata kutema mate katika eneo kama lile, lakini huenda kwasababu ya kibri, dharau, majivuno ya uhai ulio nao ukaona waliolala makaburini ni wa kuwakojolea, mbaya sana, mbaya sana, mbaya saaaana!!!
picha ili kujazia nyama
 
Ujumbe ukufikie popote ulipo, waliolala makaburini hawakujitakia, ni mapenzi ya Mungu, kitendo ulichofanya Kola makaburini leo tarehe 19.4.2022 saa 12:26 jioni siyo cha uungwana.

Umesimamisha gari lenye namba tajwa na kuchepuka kukojoa kwenye eneo la makaburi bila hata haya, tumekupiga picha kwa kila ulilofanya pale, wengi tumeshindwa kukuelewa kama una akili timamu au ulikwenda kufanya ushirikina.

Mtu mwenye akili timamu hawezi kuthubutu hata kutema mate katika eneo kama lile, lakini huenda kwasababu ya kibri, dharau, majivuno ya uhai ulio nao ukaona waliolala makaburini ni wa kuwakojolea, mbaya sana, mbaya sana, mbaya saaaana!!!
Kwakuwa nawajua Madereva wa Serikalini ( hasa wa Manispaa na Halmashauri ) wanavyopenda Kuroga na Kurogana hasa Macho, Miguu, Ajali za Barabarani na Migongo hata huyu nae naamini alienda Makaburini hapo Kuroga na Madereva wa Ofisini Kwake wajiandae Kurogeka na hata Kufa kwa Ajali za Barabarani.
 
Ujumbe ukufikie popote ulipo, waliolala makaburini hawakujitakia, ni mapenzi ya Mungu, kitendo ulichofanya Kola makaburini leo tarehe 19.4.2022 saa 12:26 jioni siyo cha uungwana.

Umesimamisha gari lenye namba tajwa na kuchepuka kukojoa kwenye eneo la makaburi bila hata haya, tumekupiga picha kwa kila ulilofanya pale, wengi tumeshindwa kukuelewa kama una akili timamu au ulikwenda kufanya ushirikina.

Mtu mwenye akili timamu hawezi kuthubutu hata kutema mate katika eneo kama lile, lakini huenda kwasababu ya kibri, dharau, majivuno ya uhai ulio nao ukaona waliolala makaburini ni wa kuwakojolea, mbaya sana, mbaya sana, mbaya saaaana!!!

mnashindwaje kumpiga mpaka anye mnaogopa namba za gari
 
Back
Top Bottom