Dereva wa STL 9898 Landcruiser Uwe Muungwana

Dereva wa STL 9898 Landcruiser Uwe Muungwana

Kosa ni kukojoa kojoa hovyo. Uchafuzi wa mazingira. Mtumishi wa uma hatakiwi kufanya hivi.

Nadhani kwa hili na muda wa kazi ulioweka na namba ya gari unategemea rejista ikiangaliwa inawezekana ukafanikisha kumuondoa kazini. HONGERA SANA KWA KUPAMBANA.
Akifukuzwa kazi mshahara wake utahamishiwa kwako mkuu, issue ya usafi wa mazingira ni pana sana inahitaji elimu, facilities na mda... by the way hamna mtu anapenda kutoa haja yake hadharani hovyo ukimuona mwenzio kajisitiri hovyo ujue kazidiwa.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Akifukuzwa kazi mshahara wake utahamishiwa kwako mkuu, issue ya usafi wa mazingira ni pana sana inahitaji elimu, facilities na mda... by the way hamna mtu anapenda kutoa haja yake hadharani hovyo ukimuona mwenzio kajisitiri hovyo ujue kazidiwa.


Embu soma tena nilichomwambia mleta mada kabla hujanihukumu kuhusu kutaka afukuzwe kazi. Ushaona wapi mtu anapongezwa kwa kuchongea wenzake wafukuzwe kazi?ila mm nimempongeza kwa kupambana kwake.

Kuhusu kujisaidia barabarani sheria ipo wazi, hutakiwi kujisaidia hovyo barabarani ila alichofanya huyo mleta mada ni kutaka jamaa yamkute mabaya kwa kuweka namba ya gari na muda wa kosa.
 
kwani makaburini kuna tatizo gani mtu kukojoa hapo,,, wafu hawajui lolote na kilichopo kule ni mifupa tu Mkuu Roho yake wala utu wake haupo kaburini. tuache ushamba kidogo
 
Ujumbe ukufikie popote ulipo, waliolala makaburini hawakujitakia, ni mapenzi ya Mungu, kitendo ulichofanya Kola makaburini leo tarehe 19.4.2022 saa 12:26 jioni siyo cha uungwana.

Umesimamisha gari lenye namba tajwa na kuchepuka kukojoa kwenye eneo la makaburi bila hata haya, tumekupiga picha kwa kila ulilofanya pale, wengi tumeshindwa kukuelewa kama una akili timamu au ulikwenda kufanya ushirikina.

Mtu mwenye akili timamu hawezi kuthubutu hata kutema mate katika eneo kama lile, lakini huenda kwasababu ya kibri, dharau, majivuno ya uhai ulio nao ukaona waliolala makaburini ni wa kuwakojolea, mbaya sana, mbaya sana, mbaya saaaana!!!
Tulitazame hili kwa jicho la pili, huyu dereva alikojolea kaburi au karibu na makaburi, je drive huyu haiwezekani anamatatizo ta kuzuia mkojo au alikwisha jibana kwa muda mrefu? Tusikuze hili jambo kwani ni la kwaida, roho ilishawatoka watu waliolala katika kifo ndio maana maeneo haya yana muda wa kuyatunza kisheria. Kuna watu wanachomwa au wanaungua na hata hayo makaburi hayapo. Kuna watu wanazikwa baharini. Tusipote muda kuwajadili hao waliolala katika umauti kwani muda wao umepita haya ni maandiko matakatifu. Hakuna atakaefufuka na mwili ule wa awali kwani roho ndio itakayohukumiwa sio mwili.
 
Ujumbe ukufikie popote ulipo, waliolala makaburini hawakujitakia, ni mapenzi ya Mungu, kitendo ulichofanya Kola makaburini leo tarehe 19.4.2022 saa 12:26 jioni siyo cha uungwana.

Umesimamisha gari lenye namba tajwa na kuchepuka kukojoa kwenye eneo la makaburi bila hata haya, tumekupiga picha kwa kila ulilofanya pale, wengi tumeshindwa kukuelewa kama una akili timamu au ulikwenda kufanya ushirikina.

Mtu mwenye akili timamu hawezi kuthubutu hata kutema mate katika eneo kama lile, lakini huenda kwasababu ya kibri, dharau, majivuno ya uhai ulio nao ukaona waliolala makaburini ni wa kuwakojolea, mbaya sana, mbaya sana, mbaya saaaana!!!
Nisamehe mkuu nilikuwa nimebanwa mbaya sana.
 
Nisamehe mkuu nilikuwa nimebanwa mbaya sana.
1650440882611.png
 
Nimejaribu kuvaa viatu vya huyo Dereva aliyebanwa na Mkojo mpaka kibofu kimeanza kuuma, kisha nikajiuliza ingelikuwa ni Mimi je ningeweza kuendelea kuendesha gari kweli?
 
Kukojoa dhambi? Basi mi naenda moton
Tuache kupangiana sana maisha

Wewe mzinzi sana
Mwingine mwizi sana
Wengine wazushi sana


Kila mtu akianza kumyoshea mwenzake kidole hakuna atakayebaki salama



Wanaume sisi popote kambi
Na mkojo unatoka
 
ukiona udi unachomwa ujue wanavuta bangi kupoteza harufu ya bangi
Sema kwa sababu sijataja sehemu husika.
Bila utani, ungepigwa albadili. Ni ustaadh ile mbaya. Hapendi mashal hata kidogo!
Kama una harufu ya pombe Secretary hakuruhusu hata iweje!
 
Kule dar naskia watu wanaenda kutiana juu ya makaburi halafu fresh tu yani
 
Back
Top Bottom