Dereva wa STL 9898 Landcruiser Uwe Muungwana

Dereva wa STL 9898 Landcruiser Uwe Muungwana

Mods napendekeza kuwe na uzi sticky kwa ajili ya watu kama hawa na uitwe "tuwaumbue" au "aibu yako" maana huko mitaani tunakuta na watu waio na ustaarabu kabisa.
Mimi viusafiri vyangu viwili vina camera mbele na nyuma,zinarekodi muda wote gari ikiwa imewashwa,hivyo matukio yote yanayotukia barabarani huwa yanarekodiwa,na ni mengi ya hovyo sana nakutana nayo na naamini ni wengi pia wanakutana nayo,hivyo tukiwa na uzi unaozungumzia hilo naamini utasaidia kuwawajibisha watu na kubadili tabia za hovyo.
Wazo zuri sana najazia uzi uitwe caught on camera
 
Ujumbe ukufikie popote ulipo, waliolala makaburini hawakujitakia, ni mapenzi ya Mungu, kitendo ulichofanya Kola makaburini leo tarehe 19.4.2022 saa 12:26 jioni siyo cha uungwana.

Umesimamisha gari lenye namba tajwa na kuchepuka kukojoa kwenye eneo la makaburi bila hata haya, tumekupiga picha kwa kila ulilofanya pale, wengi tumeshindwa kukuelewa kama una akili timamu au ulikwenda kufanya ushirikina.

Mtu mwenye akili timamu hawezi kuthubutu hata kutema mate katika eneo kama lile, lakini huenda kwasababu ya kibri, dharau, majivuno ya uhai ulio nao ukaona waliolala makaburini ni wa kuwakojolea, mbaya sana, mbaya sana, mbaya saaaana!!!
Picha
 
Inawezekana unachuki binafsi na hiyo dereva,kuna je mwiliwako ni automatic kwamba unaweza ku u tune unavyotaka?hujaona watu wakidondoka,kujisaidia bila kupenda?je amebanwa eneo hisika angefanyaje?
Huwenda ana maradhi ya Sukari,ukiwa na maradhi ya usukari,kuzuia mkojo ni tabu sana.Ukichelewa kidogo,unaweza kujikojolea,na huwa mkojo una una sana.Na ni hivyo hivyo kwa mwenye U.T.I,hushindwa kujizuia kwa mkojo.Na wazee wenye umri mkubwa,hasa wanaume.
 
Yaani mtu kukojoa makaburini ndio umeanzisha mpaka uzi we jamaaa vipi itakua huna kazi ya kufanya, ulitaka ajikojolee kisa marehemu. mbona wengine wanaenda kufanya starehe juu ya makaburi
 
Sasa mtu afe na kojo lake eti kisa makaburini mbona watu wananyanduana makaburini kwa sana Kwanza siogopi ata boss akijua Haina shida
Mleta uzi ni fala sana nilijua jamaa kafaya kosa la ajabu kumbe kakojoa tuu tumbafu
 
Kosa ni kukojoa kojoa hovyo. Uchafuzi wa mazingira. Mtumishi wa uma hatakiwi kufanya hivi.

Nadhani kwa hili na muda wa kazi ulioweka na namba ya gari unategemea rejista ikiangaliwa inawezekana ukafanikisha kumuondoa kazini. HONGERA SANA KWA KUPAMBANA.
 
Tunakojoa tu mbona! mkojo umenibana nikakojoe wapi mazishi yenyewe masaa mawili.
 
Ujumbe ukufikie popote ulipo, waliolala makaburini hawakujitakia, ni mapenzi ya Mungu, kitendo ulichofanya Kola makaburini leo tarehe 19.4.2022 saa 12:26 jioni siyo cha uungwana.

Umesimamisha gari lenye namba tajwa na kuchepuka kukojoa kwenye eneo la makaburi bila hata haya, tumekupiga picha kwa kila ulilofanya pale, wengi tumeshindwa kukuelewa kama una akili timamu au ulikwenda kufanya ushirikina.

Mtu mwenye akili timamu hawezi kuthubutu hata kutema mate katika eneo kama lile, lakini huenda kwasababu ya kibri, dharau, majivuno ya uhai ulio nao ukaona waliolala makaburini ni wa kuwakojolea, mbaya sana, mbaya sana, mbaya saaaana!!!
Yani mtu akukazie demu wako mtaani halafu chuki uje kutuletea JF?

Huu ni ujinga sawa na ujinga mwingine.
 
Ujumbe ukufikie popote ulipo, waliolala makaburini hawakujitakia, ni mapenzi ya Mungu, kitendo ulichofanya Kola makaburini leo tarehe 19.4.2022 saa 12:26 jioni siyo cha uungwana.

Umesimamisha gari lenye namba tajwa na kuchepuka kukojoa kwenye eneo la makaburi bila hata haya, tumekupiga picha kwa kila ulilofanya pale, wengi tumeshindwa kukuelewa kama una akili timamu au ulikwenda kufanya ushirikina.

Mtu mwenye akili timamu hawezi kuthubutu hata kutema mate katika eneo kama lile, lakini huenda kwasababu ya kibri, dharau, majivuno ya uhai ulio nao ukaona waliolala makaburini ni wa kuwakojolea, mbaya sana, mbaya sana, mbaya saaaana!!!
Agrrrr, mi nikajua kuna kitu cha maana kumbe, mwee.
 
Huwenda ana maradhi ya Sukari,ukiwa na maradhi ya usukari,kuzuia mkojo ni tabu sana.Ukichelewa kidogo,unaweza kujikojolea,na huwa mkojo una una sana.Na ni hivyo hivyo kwa mwenye U.T.I,hushindwa kujizuia kwa mkojo.Na wazee wenye umri mkubwa,hasa wanaume.
Hata kama huumwi chochote ukibana mkojo muda mrefu unaharibu figo.

Inatakiwa ukojowe kila unapojihisi mkojo umejaa kwenye bladder wewe kojowa tu ni kwa afya yako.

Ndio sababu hospital mgonjwa wako asipopata mkojo wanampa rufaa kwenda hospitali kubwa, ni hatari sana.
 
Back
Top Bottom