Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anam-blackmail kwanza ateme fungu au la anamwaga picha.....Picha hujaattach mkuu
NakanushaNasubiri akanushe
Weka nyama mkuu 🤣 tuelewe vizuriRed stone Moshi pale jirani ndo sehemu ya kugidana....
Bila Shaka wewe ulikuwa hayo maeneo ya hiyo Dispensary au hapo night club barabara ya Bigwa. Mungu anamuona huyo dereva.Ujumbe ukufikie popote ulipo, waliolala makaburini hawakujitakia, ni mapenzi ya Mungu, kitendo ulichofanya Kola makaburini leo tarehe 19.4.2022 saa 12:26 jioni siyo cha uungwana.
Umesimamisha gari lenye namba tajwa na kuchepuka kukojoa kwenye eneo la makaburi bila hata haya, tumekupiga picha kwa kila ulilofanya pale, wengi tumeshindwa kukuelewa kama una akili timamu au ulikwenda kufanya ushirikina.
Mtu mwenye akili timamu hawezi kuthubutu hata kutema mate katika eneo kama lile, lakini huenda kwasababu ya kibri, dharau, majivuno ya uhai ulio nao ukaona waliolala makaburini ni wa kuwakojolea, mbaya sana, mbaya sana, mbaya saaaana!!!
Lazima salamu zitamfikia hata kupitia wenzake... [emoji23] [emoji23]Una uhakika yupo humu jamvini?
Miji yetu, hata hapo alipotaja mleta mada pamejaa mabaa kila hatua 50, si angeenda huko?Makaburini hakuna chochote kilichomo zaidi ya mifupa ya wafu. Mtu hawezi kujikojolea kisa kuogopa kukojoa juu ya ardhi,. Unashauri angekojoa wapi????
JESUS IS LORD
Binafsi huwa nakojoa kwenye tairi, nafungua mlango wa gari nakojolea tairi. Hii kukojolea kaburi sio poa.Inawezekana unachuki binafsi na hiyo dereva,kuna je mwiliwako ni automatic kwamba unaweza ku u tune unavyotaka?hujaona watu wakidondoka,kujisaidia bila kupenda?je amebanwa eneo hisika angefanyaje?
Yeye ndiyo aliyezikwa Apo naskiaKama kweli alikojoa kwenye Kaburi Aisee Alichofanya Ni kitu Cha ovyo Binafsi Naheshimu Sana Makaburi ya Wafu Nashangaaga Sana Watu Huwa Wanayakalia na Kukanyaga Wakienda Kuzika
pichaUjumbe ukufikie popote ulipo, waliolala makaburini hawakujitakia, ni mapenzi ya Mungu, kitendo ulichofanya Kola makaburini leo tarehe 19.4.2022 saa 12:26 jioni siyo cha uungwana.
Umesimamisha gari lenye namba tajwa na kuchepuka kukojoa kwenye eneo la makaburi bila hata haya, tumekupiga picha kwa kila ulilofanya pale, wengi tumeshindwa kukuelewa kama una akili timamu au ulikwenda kufanya ushirikina.
Mtu mwenye akili timamu hawezi kuthubutu hata kutema mate katika eneo kama lile, lakini huenda kwasababu ya kibri, dharau, majivuno ya uhai ulio nao ukaona waliolala makaburini ni wa kuwakojolea, mbaya sana, mbaya sana, mbaya saaaana!!!
ukiona udi unachomwa ujue wanavuta bangi kupoteza harufu ya bangi