chazachaza
JF-Expert Member
- Feb 21, 2018
- 2,829
- 3,835
acha ukuda,nilikuwa napokea sm ya boss,ulijuaje mm nakojoa,watu tusiwe huru ebooo!!! Weka ushahidi Kama sio ukuda!!Nasubiri akanushe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
acha ukuda,nilikuwa napokea sm ya boss,ulijuaje mm nakojoa,watu tusiwe huru ebooo!!! Weka ushahidi Kama sio ukuda!!Nasubiri akanushe
acha ukuda,nilikuwa napokea sm ya boss,ulijuaje mm nakojoa,watu tusiwe huru ebooo!!! Weka ushahidi Kama sio ukuda!!Nasubiri akanushe
Wengi wao huwa wana Mikanda Myeusi ya Combat Kung Fu na Karate na huenda wangethubutu kumfuata basi nao hivi sasa Majina yao yangekuwa yanaanza na Title ya Marehemu akina fulani.mnashindwaje kumpiga mpaka anye mnaogopa namba za gari
Ndugu bange / bangi uliyoivuta leo ni Tanzania au ni ya Nje ya Tanzania?Makaburini hakuna chochote kilichomo zaidi ya mifupa ya wafu. Mtu hawezi kujikojolea kisa kuogopa kukojoa juu ya ardhi,. Unashauri angekojoa wapi????
JESUS IS LORD
Sawa Dereva wa STL.Inawezekana unachuki binafsi na hiyo dereva,kuna je mwiliwako ni automatic kwamba unaweza ku u tune unavyotaka?hujaona watu wakidondoka,kujisaidia bila kupenda?je amebanwa eneo hisika angefanyaje?
Hivi huwa wana wlimu gani hawa ndugu zetumaana si kwa kujisikia huko,hivi dereva pia anaweza jufikia kiwangocha phd.Nimeamini kuwa madereva wa magari ya serikali wanajiona wao ni kila kitu na ndiyo maana wamekuwa watemi kila mahali
Ama ukute ni mmoja kati ya marehemu waliowahi kuzikwa paleYawezekana ni Moja ya masharti aliyopewa