Dereva wa STL 9898 Landcruiser Uwe Muungwana

Bila Shaka wewe ulikuwa hayo maeneo ya hiyo Dispensary au hapo night club barabara ya Bigwa. Mungu anamuona huyo dereva.
 
Makaburini hakuna chochote kilichomo zaidi ya mifupa ya wafu. Mtu hawezi kujikojolea kisa kuogopa kukojoa juu ya ardhi,. Unashauri angekojoa wapi????


JESUS IS LORD
Miji yetu, hata hapo alipotaja mleta mada pamejaa mabaa kila hatua 50, si angeenda huko?
 
Inawezekana unachuki binafsi na hiyo dereva,kuna je mwiliwako ni automatic kwamba unaweza ku u tune unavyotaka?hujaona watu wakidondoka,kujisaidia bila kupenda?je amebanwa eneo hisika angefanyaje?
Binafsi huwa nakojoa kwenye tairi, nafungua mlango wa gari nakojolea tairi. Hii kukojolea kaburi sio poa.
 
Kama kweli alikojoa kwenye Kaburi Aisee Alichofanya Ni kitu Cha ovyo Binafsi Naheshimu Sana Makaburi ya Wafu Nashangaaga Sana Watu Huwa Wanayakalia na Kukanyaga Wakienda Kuzika
 
Kama kweli alikojoa kwenye Kaburi Aisee Alichofanya Ni kitu Cha ovyo Binafsi Naheshimu Sana Makaburi ya Wafu Nashangaaga Sana Watu Huwa Wanayakalia na Kukanyaga Wakienda Kuzika
Yeye ndiyo aliyezikwa Apo naskia
 
Mods napendekeza kuwe na uzi sticky kwa ajili ya watu kama hawa na uitwe "tuwaumbue" au "aibu yako" maana huko mitaani tunakuta na watu waio na ustaarabu kabisa.
Mimi viusafiri vyangu viwili vina camera mbele na nyuma,zinarekodi muda wote gari ikiwa imewashwa,hivyo matukio yote yanayotukia barabarani huwa yanarekodiwa,na ni mengi ya hovyo sana nakutana nayo na naamini ni wengi pia wanakutana nayo,hivyo tukiwa na uzi unaozungumzia hilo naamini utasaidia kuwawajibisha watu na kubadili tabia za hovyo.
 
picha
 
Sioni ajabu na hio huwa ni unconscious, labda useme kilichofanyika ni ushirikina ila kama kukojoa tu, ni mistakes za unconsciousness among us.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…