Wazo zuri sana najazia uzi uitwe caught on cameraMods napendekeza kuwe na uzi sticky kwa ajili ya watu kama hawa na uitwe "tuwaumbue" au "aibu yako" maana huko mitaani tunakuta na watu waio na ustaarabu kabisa.
Mimi viusafiri vyangu viwili vina camera mbele na nyuma,zinarekodi muda wote gari ikiwa imewashwa,hivyo matukio yote yanayotukia barabarani huwa yanarekodiwa,na ni mengi ya hovyo sana nakutana nayo na naamini ni wengi pia wanakutana nayo,hivyo tukiwa na uzi unaozungumzia hilo naamini utasaidia kuwawajibisha watu na kubadili tabia za hovyo.
Wewe unadhani kila mtu yuko JamiiforumsNasubiri akanushe
PichaUjumbe ukufikie popote ulipo, waliolala makaburini hawakujitakia, ni mapenzi ya Mungu, kitendo ulichofanya Kola makaburini leo tarehe 19.4.2022 saa 12:26 jioni siyo cha uungwana.
Umesimamisha gari lenye namba tajwa na kuchepuka kukojoa kwenye eneo la makaburi bila hata haya, tumekupiga picha kwa kila ulilofanya pale, wengi tumeshindwa kukuelewa kama una akili timamu au ulikwenda kufanya ushirikina.
Mtu mwenye akili timamu hawezi kuthubutu hata kutema mate katika eneo kama lile, lakini huenda kwasababu ya kibri, dharau, majivuno ya uhai ulio nao ukaona waliolala makaburini ni wa kuwakojolea, mbaya sana, mbaya sana, mbaya saaaana!!!
[emoji23][emoji23][emoji23]Mleta mada ana umbea wa kike na dio tabia ya watu wa morogoro maeneo ya kilakala mti mkubwa kola bigwa nk acha ukuda.
Huwenda ana maradhi ya Sukari,ukiwa na maradhi ya usukari,kuzuia mkojo ni tabu sana.Ukichelewa kidogo,unaweza kujikojolea,na huwa mkojo una una sana.Na ni hivyo hivyo kwa mwenye U.T.I,hushindwa kujizuia kwa mkojo.Na wazee wenye umri mkubwa,hasa wanaume.Inawezekana unachuki binafsi na hiyo dereva,kuna je mwiliwako ni automatic kwamba unaweza ku u tune unavyotaka?hujaona watu wakidondoka,kujisaidia bila kupenda?je amebanwa eneo hisika angefanyaje?
Hata kukojolea tairi sio poa pia!!Binafsi huwa nakojoa kwenye tairi, nafungua mlango wa gari nakojolea tairi. Hii kukojolea kaburi sio poa.
Mleta uzi ni fala sana nilijua jamaa kafaya kosa la ajabu kumbe kakojoa tuu tumbafuSasa mtu afe na kojo lake eti kisa makaburini mbona watu wananyanduana makaburini kwa sana Kwanza siogopi ata boss akijua Haina shida
Yani mtu akukazie demu wako mtaani halafu chuki uje kutuletea JF?Ujumbe ukufikie popote ulipo, waliolala makaburini hawakujitakia, ni mapenzi ya Mungu, kitendo ulichofanya Kola makaburini leo tarehe 19.4.2022 saa 12:26 jioni siyo cha uungwana.
Umesimamisha gari lenye namba tajwa na kuchepuka kukojoa kwenye eneo la makaburi bila hata haya, tumekupiga picha kwa kila ulilofanya pale, wengi tumeshindwa kukuelewa kama una akili timamu au ulikwenda kufanya ushirikina.
Mtu mwenye akili timamu hawezi kuthubutu hata kutema mate katika eneo kama lile, lakini huenda kwasababu ya kibri, dharau, majivuno ya uhai ulio nao ukaona waliolala makaburini ni wa kuwakojolea, mbaya sana, mbaya sana, mbaya saaaana!!!
Agrrrr, mi nikajua kuna kitu cha maana kumbe, mwee.Ujumbe ukufikie popote ulipo, waliolala makaburini hawakujitakia, ni mapenzi ya Mungu, kitendo ulichofanya Kola makaburini leo tarehe 19.4.2022 saa 12:26 jioni siyo cha uungwana.
Umesimamisha gari lenye namba tajwa na kuchepuka kukojoa kwenye eneo la makaburi bila hata haya, tumekupiga picha kwa kila ulilofanya pale, wengi tumeshindwa kukuelewa kama una akili timamu au ulikwenda kufanya ushirikina.
Mtu mwenye akili timamu hawezi kuthubutu hata kutema mate katika eneo kama lile, lakini huenda kwasababu ya kibri, dharau, majivuno ya uhai ulio nao ukaona waliolala makaburini ni wa kuwakojolea, mbaya sana, mbaya sana, mbaya saaaana!!!
Hata kama huumwi chochote ukibana mkojo muda mrefu unaharibu figo.Huwenda ana maradhi ya Sukari,ukiwa na maradhi ya usukari,kuzuia mkojo ni tabu sana.Ukichelewa kidogo,unaweza kujikojolea,na huwa mkojo una una sana.Na ni hivyo hivyo kwa mwenye U.T.I,hushindwa kujizuia kwa mkojo.Na wazee wenye umri mkubwa,hasa wanaume.
Halafu ni MACHAWI na MALAYA kama MBWA.Nimeamini kuwa madereva wa magari ya serikali wanajiona wao ni kila kitu na ndiyo maana wamekuwa watemi kila mahali