Akifukuzwa kazi mshahara wake utahamishiwa kwako mkuu, issue ya usafi wa mazingira ni pana sana inahitaji elimu, facilities na mda... by the way hamna mtu anapenda kutoa haja yake hadharani hovyo ukimuona mwenzio kajisitiri hovyo ujue kazidiwa.Kosa ni kukojoa kojoa hovyo. Uchafuzi wa mazingira. Mtumishi wa uma hatakiwi kufanya hivi.
Nadhani kwa hili na muda wa kazi ulioweka na namba ya gari unategemea rejista ikiangaliwa inawezekana ukafanikisha kumuondoa kazini. HONGERA SANA KWA KUPAMBANA.
Akifukuzwa kazi mshahara wake utahamishiwa kwako mkuu, issue ya usafi wa mazingira ni pana sana inahitaji elimu, facilities na mda... by the way hamna mtu anapenda kutoa haja yake hadharani hovyo ukimuona mwenzio kajisitiri hovyo ujue kazidiwa.
Tulitazame hili kwa jicho la pili, huyu dereva alikojolea kaburi au karibu na makaburi, je drive huyu haiwezekani anamatatizo ta kuzuia mkojo au alikwisha jibana kwa muda mrefu? Tusikuze hili jambo kwani ni la kwaida, roho ilishawatoka watu waliolala katika kifo ndio maana maeneo haya yana muda wa kuyatunza kisheria. Kuna watu wanachomwa au wanaungua na hata hayo makaburi hayapo. Kuna watu wanazikwa baharini. Tusipote muda kuwajadili hao waliolala katika umauti kwani muda wao umepita haya ni maandiko matakatifu. Hakuna atakaefufuka na mwili ule wa awali kwani roho ndio itakayohukumiwa sio mwili.Ujumbe ukufikie popote ulipo, waliolala makaburini hawakujitakia, ni mapenzi ya Mungu, kitendo ulichofanya Kola makaburini leo tarehe 19.4.2022 saa 12:26 jioni siyo cha uungwana.
Umesimamisha gari lenye namba tajwa na kuchepuka kukojoa kwenye eneo la makaburi bila hata haya, tumekupiga picha kwa kila ulilofanya pale, wengi tumeshindwa kukuelewa kama una akili timamu au ulikwenda kufanya ushirikina.
Mtu mwenye akili timamu hawezi kuthubutu hata kutema mate katika eneo kama lile, lakini huenda kwasababu ya kibri, dharau, majivuno ya uhai ulio nao ukaona waliolala makaburini ni wa kuwakojolea, mbaya sana, mbaya sana, mbaya saaaana!!!
Mkojo mrefu au mfupi,hahaha
Tena wanashikilia na misalaba ile duu,ila hakuna raha kama kukojoa banakuna wale wa kino makaburini pale, wanakunjana saba juu ya makaburi na kupeana raha bila wasiwasi...
Nisamehe mkuu nilikuwa nimebanwa mbaya sana.Ujumbe ukufikie popote ulipo, waliolala makaburini hawakujitakia, ni mapenzi ya Mungu, kitendo ulichofanya Kola makaburini leo tarehe 19.4.2022 saa 12:26 jioni siyo cha uungwana.
Umesimamisha gari lenye namba tajwa na kuchepuka kukojoa kwenye eneo la makaburi bila hata haya, tumekupiga picha kwa kila ulilofanya pale, wengi tumeshindwa kukuelewa kama una akili timamu au ulikwenda kufanya ushirikina.
Mtu mwenye akili timamu hawezi kuthubutu hata kutema mate katika eneo kama lile, lakini huenda kwasababu ya kibri, dharau, majivuno ya uhai ulio nao ukaona waliolala makaburini ni wa kuwakojolea, mbaya sana, mbaya sana, mbaya saaaana!!!
Sema kwa sababu sijataja sehemu husika.ukiona udi unachomwa ujue wanavuta bangi kupoteza harufu ya bangi
Mchawi na jua kaliMchawi uyo