Desemba 25: Je, ni siku aliyozaliwa Yesu au twaadhimisha tu kumbukumbu?

mkuu lugha ya kanisa tena???
kanisa Lipi???
maana lilikoanzia(Kanisa la Kwenye Bibilia) hakukuwa na ulatini wowote?
Ila nakuelewa maana hiyo itaingia katika makundi yale mawili unayoyatumia kama authority yako ya kidini ( mapokeo nje ya bibilia na matamko ha kikanisa lako)
 
nakutakia maandalizi mema ya kumpokea MKOMBOZI....amani ya Bwana itawale.
 
mfano wa mungu aliyetumia giza kuwapeleka watu mwangani.
Truth shall set you free, free indeed and not paganism shall set pagans free.
We jamaa kinachokupungua ni logical advocacies, Yesu mwenyewe anasema vyema kuwa hakuja kwa ajili ya watu wema bali wadhambi.

Je, giza lina nguvu kuishinda nuru..??
Kumuondoa Mungu jua (giza-spiritually) na kumweka Yesu (Nuru/mwanga-spiritually) nani amesshinda mpinga Kristo au Kristo mwenyewe..?

Mungu akili zako unahisi Mungu anaongozwa na biblia tu katika kutufundisha mambo yamhusuyo yeye. Bila shaka ni sumu ulizomezeshwa zinakusumbua na kusahau kuwa Mungu kakuumba rational/reasoning ability na zaidi anakufundisha kwa Mtakatifu.
 
tatizo ni ubwabwa wanafikiri tunaula xmas tu au tunakula ili kujaza matumbo kumbe wenzao ni zaidi ya hapo MIOYO NA ROHO ndio mwisho ukifeli hapo kwenye MOYO na ROHO. xmas hata ungekula debe zima la pilau kwako haina maana kabisa. hilo walijui na ukweli huo hawataki kuusikia
 
nakutakia maandalizi mema ya kumpokea MKOMBOZI....amani ya Bwana itawale.
amina ubarikiwe sana.
Umeandika mambo makubwa na ya kunyenyekeza mkuu.
'' Na mimi leo, katika maombi nitakuomba sio mimi tu, wewe na wengine wote wenye nia chanya ya Kumpokea Yesu Kwa Kudumu katika Kumuamini na mafundisho yake, tuokolewa akija siku isiyo na jina''
amina.
 
Kwani hi mada ni lazima ijadiliwe kila mwaka?
 
hivyo unakubaliana na mimi kuwa umwilisho ni fundisho la imani kwa sababu imani yote chanzo chake ni biblia hivyo ni la biblia pia au bado unapinga ??? na kusimamia msimamo wako kuwa sio fundisho la imani ila ni biblia ?
 
reasoning yako nzuri imeruka baadhi ya maelezo yangu na ninacjosisitiza.
Huwezi kuyumia GIZA (upagani, uzushi na uongo) kusambaza ukweli wa kuhusu kristo wa watu waliogizani.
Unatumia NENO ambalo ni taa kwa walio gizani.
Kutumia sikukuu za kipagani ili uwafurahishe na kuwavuta wapagani kutoka gizani ni kinyume na fundisho la Yesu.
TRUTH (not pagan traditions and human wisdoms) will set sinners and those who are in darkness free.
 
Sisi kwetu Yesu ni MUNGU/MTU, hivyo linakukumbukwa tukio la kuzaliwa Yesu na si kama kitoto tu, bali mfalme na mwokozi aliyekuja kutuwezesha kuishinda dambi/shetani.
 
hivyo unakubaliana na mimi kuwa umwilisho ni fundisho la imani kwa sababu imani yote chanzo chake ni biblia hivyo ni la biblia pia au bado unapinga ??? na kusimamia msimamo wako kuwa sio fundisho la imani ila ni biblia ?
kama bibilia imesema na kufundisha. Ikatokea imani flani ya kidini ikalicompile kama fundisho lao. Litabaki kuwa fundisho la Bibilia kama msingi mkuu. Ila Likichanganyana na hekima yoyote ya kibinadamu nje ya bibilia fundisho hilo linakuwa limenajisika.
huo ndio msingi wa hoja yangu mkuu.
 
Hiki ni kitu kinaelewa kiujanjaujanja na misemo mingi ili kuchanganya watu. Mnatumia maneno kama vile fumbo la Imani. Hii ni tarehe ya kipagani tangu zamani sana, ndio tarehe kalizaliwa kale kajamaa kanatokoonekana kwenye sanamu kamebebwa kwenye sanamu na kudanganywa kuwa ni mtoto Yesu, Yule siyo Yesu ni hako katoto ka siku nyingi huko nyuma, kalikuwa kana abudiwa na warumi wa kipagani. Sasa ili kaendelee kuabudiwa mnasema ni Yesu. Ni Uongo. Xmas siyo jambo la kiblia ni mojawapo ya sherehe za kipagani kabisa.Kwenye Biblia ni wapagani waliokuwa wakisherehekea siku zao za kuzaliwa
 

unaniuliza kuhusu lugha ya kanisa ??
nilidhani huo ujuaji wako juu ya kanisa katoliki hasa historia ungekusaidia kujua walau kuwa kanisa kama TAIFA LA MUNGU lina lugha yake rasmi.

endelea kufukua ivoivo utaelewa mengi tu

nafikiri sasa umeanza kunielewa
 
Sisi kwetu Yesu ni MUNGU/MTU, hivyo linakukumbukwa tukio la kuzaliwa Yesu na si kama kitoto tu, bali mfalme na mwokozi aliyekuja kutuwezesha kuishinda dambi/shetani.
Yesu sio Mungu/Mtu weka maelezo vizuri.
Alikuwa Mungu.
akawa Mungu katika ubinadamu, baada ya Kumaliza mission yake leo tunapoongea ni MUNGU 100% hakuna cha Mungu mtu.
Kumsherekea kama ameanzia pale kwenye banda la ng'ombe ni mtazamo mfinyu wa Mungu. Maana Bibilia inasema alichinjwa kabla ya kuwekwa misingi ya ulimwengu, maana yake maamuzi ha kifo chake ni ya kitambo tu hata kabla ya dunia kuumbwa.
Mitume kwa kujua hilo hawakuanzisha sikukuu kama hizo, bali walijikita daily kuwa naye moyoni. Hiki ndicho kinachosisitizwa na bibilia, walikuwa nanuwezo wa kucopypaste hekima na sikukuu za kipagani maana wazee wa kiyahudi waliwahi kufanya hayo ila walidumu katika hekima walizopewa na Yesu. Ila sisi mitume wa baadae naona tumekuja na ubunifu mpya.
 
Hahahh..! Nacheka si kwa kukucheka bali kwa namna ambayo unajilazimisha kutoelewa, na aulewi kwasababi labda hujasoma maana hekima/maarifa/elimu ya Mungu anawapa wenye kinyenyekea.

Labda ni nikuulize ni tukio gani ambalo linatajwa na biblia kuhusu kuzaliwa Yesu linapindishwa kwa kuachwa na kufuata huyo Mungu jua, kilichofanyika ni kufuta upagani na kutangaza wokovu/Ukristo sasa logic ya kuwa kutamadunisha upagani ni ipi??
 
2 peter 2: 2 Many will follow their depraved conduct and will bring the way of truth into disrepute. 3 In their greedthese teachers will exploit you with fabricated stories. Their condemnation has long been hanging over them, and their destruction has not been sleeping.
 
tatizo watu wanaojiita Bigmind huwa wanadhani wanaelewa mapema lkn mara nyingi wanasumbua.
zile ni sikukuu za kipagani zilizovalishwa koti zuri la ukristo.
maneno mazuri yakifilosofia uliyoyaleta ni kupiga pasi koti hilo hakuna jipya
 
Ninacho zungumza uelewi maana akili yako umeiset kufanya league/mabishano kwangu sijawahi na sitawahi kubishana au kujifanya kumwelezea Mungu. Ninachojua Yesu ni mtu katika hali ya kusema yeye ni njia na atakayetaka kwenda kwa baba lazima amfuate kwa maana Yesu katika fumbo la umiilisho/kuuvaa mwili hapa nikiwa na Yesu nayaweza magumu ya ubinadamu. Yesu ni kielelezo cha utu wa binadamu ukifikiria uzima wa milele na si kama unavyodhani na kutafsiri kama Mungu/mtu wewe na mimi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…