unapenda sn vyoda we ariff
mkuu, hapa sina cha kupinga utotoni hii kitu ilikuwa ndo sikuku yenyewe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unapenda sn vyoda we ariff
p.livinuu ww ni wa kule wasap kwenye grup la kina miuno ?
Hahaha kumbe kweli aisee faizafoxy kakuhonga na wewe!
Nilijua tu zile post zako a kutetea alshabab sasa umehamia huku.
Pole sana.
Hilo andiko watu wangu wanakufa kwa kukosa maarifa lipo wapi?...Inaonekana hujajipanga na huna hakika na unachokisema
Mwanamke akishazaa atakuwaje bikira?
Cha msingi ni ukweli kwamba Yesu alizaliwa na 25 dec ndio imetokea kuwa siku ya kumbukumbu.
Asiyetaka kusherekea anaweza akaacha sio kila kitu kwa ajili ya kila mtu.
uelewa wako dhidi ya maandiko ni mdogo au unataka kukufuru tu. Mariamu alizaa akiwa bado bikira ndo maana anaitwa Bikira Maria.
WAPROTEStant bana!
naomba kujuzwa kwa tafsiri hapo juu, dhambi itahusisha amri kumi mpaka taratibu za kuvuna shamba na kuwaachia wajane na masikini kiasi kidogo cha mavuno shambani?... Hapa Ningependa Kutoa Maana Za Dhambi. Kufanya Jambo Uliloambiwa Usifanye Na Kutokufanya Jambo Ululo Ambiwa Fanya.
Kuna ushahidi gani kwamba Yesu aliishi actually na siyo a fictional character kama Willy Gamba au Superman?