antanarivo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2018
- 450
- 883
- Thread starter
- #61
Boss UHAKIKA ya kwangu unakuja kuchukulia homeSio ya mbio?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Boss UHAKIKA ya kwangu unakuja kuchukulia homeSio ya mbio?
Shida nimeshatatua bei imerudi 400kChukua 200 ipo hapa
Thanks for your reply"When the deal is too nice think twice"
NitakuchekiWakuu habari ya jioni !
Hii desktop nimeitangaza hapa kama mara mbili au tatu na Kila nikitangaza nashusha bei , hapa Nina order za watu kama 8 lakini wanaishia kuahidi tu na hawaji kuichukua
SPECIFICATIONS:
1. RAM 4GB (unaweza ongeza Hadi 16GB)
2. HDD 750GB (ziko mbili ya 500gb na 250gb)
3. CPU 3.2GHz
4. Core i5(Intel)
5. Dell ya kusimama
Location tabata-dar
Bei ni 250k na wanaojua desktop hii bei NIMESHUSHA sana lengo iweze kuuzika[emoji120] nyuzi za nyuma nilitangaza 400k
Kuna watu kwenye post za nyuma walikuwa wanahofia kuwa huenda ya wizi naomba muondoe shaka hii PC nimenunua dukani so mdau akitaka kuandikishana ni vyema na uzuri nipo jirani na kituo Cha polsi kata
Simu 0747456177
Poa kaka 0747456177Nitakucheki
Jingine kupeana namba za simu humu au pm ni kuchoreshana tu."When the deal is too nice think twice"
Nimekwambia tabata - barakuda mkuuJingine kupena namba za simu humu au pm ni kuchoreshsns tu. Ataje location vi,Uri tutafika Manualy mambo ya simu huku hapana.
Kuna akina Sisi watukana serikali hatuna Imani na mtu
Hapo barracuda kuna kituo cha polisi. Mi nakafikiri upoTábata shule kule.Nimekwambia tabata - barakuda mkuu
Sijasema kituo Cha polisi, nimesema kituo Cha polsi kata , hivi vinavyopangishwa kwenye fremu, hapa jirani na msikiti wa liwitiHapo barracuda kuna kituo cha polisi. Mi nakafikiri upoTábata shule kule.
Bado IpoWakuu habari ya jioni !
Hii desktop nimeitangaza hapa kama mara mbili au tatu na Kila nikitangaza nashusha bei , hapa Nina order za watu kama 8 lakini wanaishia kuahidi tu na hawaji kuichukua
SPECIFICATIONS:
1. RAM 4GB (unaweza ongeza Hadi 16GB)
2. HDD 750GB (ziko mbili ya 500gb na 250gb)
3. CPU 3.2GHz
4. Core i5(Intel)
5. Dell ya kusimama
Location tabata-dar
Bei ni 250k na wanaojua desktop hii bei NIMESHUSHA sana lengo iweze kuuzika[emoji120] nyuzi za nyuma nilitangaza 400k
Kuna watu kwenye post za nyuma walikuwa wanahofia kuwa huenda ya wizi naomba muondoe shaka hii PC nimenunua dukani so mdau akitaka kuandikishana ni vyema na uzuri nipo jirani na kituo Cha polsi kata
Simu 0747456177
Ilete mkuu200 unakula?
Tabata hip hupo?Ilete mkuu