Detention Register: Jaji Tiganga yuko Majaribuni - Kiza Kinene

Detention Register: Jaji Tiganga yuko Majaribuni - Kiza Kinene

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Kesi hii inayovutia hisia za wengi, zaidi ya weledi ilihitaji uhuru stahiki wa mhimili wa mahakama na uthubutu wa Jaji katika kutoa haki tupu na kwa mujibu wa sheria.

Pungufu ya hivyo tunakoelekea mahakama haitaweza kukwepa lawama.

Mezani tulipo kuna pingamizi ambalo kigezo chake kikuu ni kuwa mshitakiwa hakuwahi kufikishwa central police Dar.

"Detention register ya mahali ambapo mshitakiwa anadai hakuwahi kufikishwa ina thamani gani mahakamani katika hatua hii?

Katika hali kama hii, inapokelewa vipi kama ushahidi?

Katika hali kama hii inapokelewa kuthibitisha nini, kabla ya Jaji kujiridhisha kwanza ukweli halisi ni upi?

Katika hali kama hii Jaji anajiridhisha vipi nani anasema kweli kuhusu central police baina ya upande wa mashtaka na upande wa washitakiwa?

Haki ikitendeka itaonekana.

Haki ikiporwa kupitia visingizio pia itaonekana ikiporwa kama Mh. Jaji ataamua iwe hivyo.

Changamoto hizi zitufungue macho zaidi kuona tunahitaji katiba ya namna gani kwa hakika ili kuepukana nazo kabisa.
 
Kesho kama kawaida Yake

Yaan niivi , Hawa MAJAJI wanajua kabisa utetezi wako sahihi toka kesi ndogo ya Mwanzo na mapingamizi yalofata..



Mama yenu Samia aliiambia Dunia, wenzake na Mbowe wameshashitakiwa kwa Ugaidi...

Kwamba haonewii. Ni gaidiii..



Sasa ndugu zangu.. MAHAKAMA gani hayo nitakuja kuwapa ushindi akina Mbowe ??


Yaan RAIS AONEKANE HAKUA NA TAARIFA SAHIHI?? ALIDANGANYWA??


Yaan Rais Mzima , Dunia ijue hilo??


Thubutuu..MBOWE NA WENZAKE WATAKUTWA NA HATUA.

NA WATAFUNGWA !!.
Ok, nimekuelewa vizuri, kumbe haya maigizo tunayoyaona yanaendelea mahakamani kila siku kwenye hii kesi ya Mbowe ni kwa ajili ya kumfichia aibu Samia, fine tuendelee kutazama maonesho yao.
 
Kesi hii inayovutia hisia za wengi, zaidi ya weledi ilihitaji uhuru stahiki wa mhimili wa mahakama na uthubutu wa Jaji katika kutoa haki tupu na kwa mujibu wa sheria.

Pungufu ya hivyo tunakoelekea mahakama haitaweza kukwepa lawama.

Mezani tulipo kuna pingamizi ambalo kigezo chake kikuu ni kuwa mshitakiwa hakuwahi kufikishwa central police Dar.

"Detention register ya mahali ambapo mshitakiwa anadai hakuwahi kufikishwa ina thamani gani mahakamani katika hatua hii?

Katika hali kama hii, inapokelewa vipi kama ushahidi?

Katika hali kama hii inapokelewa kuthibitisha nini, kabla ya Jaji kujiridhisha kwanza ukweli halisi ni upi?

Katika hali kama hii Jaji anajiridhisha vipi nani anasema kweli kuhusu central police baina ya upande wa mashtaka na upande wa washitakiwa?

Haki ikitendeka itaonekana.

Haki ikiporwa kupitia visingizio pia itaonekana ikiporwa kama Mh. Jaji ataamua iwe hivyo.

Changamoto hizi zitufungue macho zaidi kuona tunahitaji katiba ya namna gani kwa hakika ili kuepukana nazo kabisa.
Kuthibitisha kama alikuwepo au hakuwepo ni kazi rahisi sana, waombe cctv za wahusika wote waliokuwepo siku hiyo hapo central police, waangalie metadata za minara ya simu kama kweli hao polisi walikuwepo, walinganishe na cctv za mahali ambapo mtuhumiwa alikuwepo na mwisho waangaalie minara ya simu kuelekea mahali ambapo mtuhumiwa alipelekwa, medadata zitasema tu kweli kama hao askari walimpeleka huko central au kwingine maana radio call zao au simu zao za mikononi zitaonesha minara waliyokuwa wanapitia.
 
Kesho kama kawaida Yake

Yaan niivi , Hawa MAJAJI wanajua kabisa utetezi wako sahihi toka kesi ndogo ya Mwanzo na mapingamizi yalofata..



Mama yenu Samia aliiambia Dunia, wenzake na Mbowe wameshashitakiwa kwa Ugaidi...

Kwamba haonewii. Ni gaidiii..



Sasa ndugu zangu.. MAHAKAMA gani hayo nitakuja kuwapa ushindi akina Mbowe ??


Yaan RAIS AONEKANE HAKUA NA TAARIFA SAHIHI?? ALIDANGANYWA??


Yaan Rais Mzima , Dunia ijue hilo??


Thubutuu..MBOWE NA WENZAKE WATAKUTWA NA HATUA.

NA WATAFUNGWA !!.
Rais siyo kitu bali binadamu, kama alidanganywa hana budi kutumia machenery zake kupata taarifa kamili na kuwajibisha wale waliomdanganya. Dunia haitomshangaa bali itampongeza. Asipofanya hivo, yeye ni shehemu ya yanayoendelea. Rais anautashi atumie utashi wake tutoke hapa kama nchi
 
Kesi hii inayovutia hisia za wengi, zaidi ya weledi ilihitaji uhuru stahiki wa mhimili wa mahakama na uthubutu wa Jaji katika kutoa haki tupu na kwa mujibu wa sheria.

Pungufu ya hivyo tunakoelekea mahakama haitaweza kukwepa lawama.

Mezani tulipo kuna pingamizi ambalo kigezo chake kikuu ni kuwa mshitakiwa hakuwahi kufikishwa central police Dar.

"Detention register ya mahali ambapo mshitakiwa anadai hakuwahi kufikishwa ina thamani gani mahakamani katika hatua hii?

Katika hali kama hii, inapokelewa vipi kama ushahidi?

Katika hali kama hii inapokelewa kuthibitisha nini, kabla ya Jaji kujiridhisha kwanza ukweli halisi ni upi?

Katika hali kama hii Jaji anajiridhisha vipi nani anasema kweli kuhusu central police baina ya upande wa mashtaka na upande wa washitakiwa?

Haki ikitendeka itaonekana.

Haki ikiporwa kupitia visingizio pia itaonekana ikiporwa kama Mh. Jaji ataamua iwe hivyo.

Changamoto hizi zitufungue macho zaidi kuona tunahitaji katiba ya namna gani kwa hakika ili kuepukana nazo kabisa.
Pale Rais anapoteua majaji hapo Ndipo utagundua watanzania wamelogwa na nani. Prof Kabudi. Zoezi la uteuzi wa majaji litudishwe tume huru ya mahakama. Hadi CDF achukie ndipo muanze kupiga kelele?
 
Kesho kama kawaida Yake

Yaan niivi , Hawa MAJAJI wanajua kabisa utetezi wako sahihi toka kesi ndogo ya Mwanzo na mapingamizi yalofata..



Mama yenu Samia aliiambia Dunia, wenzake na Mbowe wameshashitakiwa kwa Ugaidi...

Kwamba haonewii. Ni gaidiii..



Sasa ndugu zangu.. MAHAKAMA gani hayo nitakuja kuwapa ushindi akina Mbowe ??


Yaan RAIS AONEKANE HAKUA NA TAARIFA SAHIHI?? ALIDANGANYWA??


Yaan Rais Mzima , Dunia ijue hilo??


Thubutuu..MBOWE NA WENZAKE WATAKUTWA NA HATUA.

NA WATAFUNGWA !!.
Kwani Rais kudanganywa ndo kupinduliwa au kuondolewa kwake madarakani!?

Kwani yeye ni Rais wa kwanza kudanganywa?

Rais kudanganywa hutokea mara kadhaa na anachotakiwa kufanya ni kuwafukuza kazi waliompa taarifa za uongo na sio kuumiza raia wasio na hatia, ni ujinga.

Magufuli aliwahi kudanganywa tena hadharani pale airport kwenye mashine ya ukaguzi na alifukuza wahusika kazi,alidanganywa mara kadhaa na alichukua hatua.

Asiedanganywa ni Mungu pekee.
 
Kuthibitisha kama alikuwepo au hakuwepo ni kazi rahisi sana, waombe cctv za wahusika wote waliokuwepo siku hiyo hapo central police, waangalie metadata za minara ya simu kama kweli hao polisi walikuwepo, walinganishe na cctv za mahali ambapo mtuhumiwa alikuwepo na mwisho waangaalie minara ya simu kuelekea mahali ambapo mtuhumiwa alipelekwa, medadata zitasema tu kweli kama hao askari walimpeleka huko central au kwingine maana radio call zao au simu zao za mikononi zitaonesha minara waliyokuwa wanapitia.

Hicho ndicho Jaji alipaswa kufanya. Ni muhimu haki kuonekana ikitendeka.

Mawakili wa utetezi wangeweza kupata ushahidi huo Tigo, Airtel, Vodacom, au Halotel for the sake of justice.
 
Kuthibitisha kama alikuwepo au hakuwepo ni kazi rahisi sana, waombe cctv za wahusika wote waliokuwepo siku hiyo hapo central police, waangalie metadata za minara ya simu kama kweli hao polisi walikuwepo, walinganishe na cctv za mahali ambapo mtuhumiwa alikuwepo na mwisho waangaalie minara ya simu kuelekea mahali ambapo mtuhumiwa alipelekwa, medadata zitasema tu kweli kama hao askari walimpeleka huko central au kwingine maana radio call zao au simu zao za mikononi zitaonesha minara waliyokuwa wanapitia.
Mkuu itoshe tu kusema kule Dodoma, wakati Tundu Lisu anamiminiwa risasi, cctv zilikuwepo na zilikuwa zinafanya kazi!
 
Kesho kama kawaida Yake

Yaan niivi , Hawa MAJAJI wanajua kabisa utetezi wako sahihi toka kesi ndogo ya Mwanzo na mapingamizi yalofata..



Mama yenu Samia aliiambia Dunia, wenzake na Mbowe wameshashitakiwa kwa Ugaidi...

Kwamba haonewii. Ni gaidiii..



Sasa ndugu zangu.. MAHAKAMA gani hayo nitakuja kuwapa ushindi akina Mbowe ??


Yaan RAIS AONEKANE HAKUA NA TAARIFA SAHIHI?? ALIDANGANYWA??


Yaan Rais Mzima , Dunia ijue hilo??


Thubutuu..MBOWE NA WENZAKE WATAKUTWA NA HATUA.

NA WATAFUNGWA !!.

Inafahamika kuwa imekuwa desturi:

1. Mapingamizi yasiyo athiri hukumu ya mwisho, yanahukumiwa in favor ya utetezi.
2. Mapingamizi yenye kuathiri hukumu ya mwisho yanahukumiwa in favor ya mashtaka.

Iko kama vile hukumu ya mwisho iko tayari na kinachofanyika ni kuipatia uhalali mahakamani.

Hii ni hatari sana.
 
Haki kwa mahakama gani?? Hizi za kuhongwa vyeo??

Nakazia, mawakili wa utetezi wachukue hatua ya kuthibitisha pasi na shaka kuwa timu ya Kingai, Jumanne, Mahita, Goodluck na dereva wao hawakuwapo central mida wanayosema.

Hili kinawezekana.

Hilo halina cha kufanya na mahakama kama mahakama. Ila ina la kufanya kama jitihada zao binafsi za mapambano ikiwemo kufungua shauri jingine ndani ya shauri la msingi kushughulikia uongo wa mashahidi ndani ya kiapo.
 
Back
Top Bottom