Detention Register: Jaji Tiganga yuko Majaribuni - Kiza Kinene

Detention Register: Jaji Tiganga yuko Majaribuni - Kiza Kinene

Mimi ni mbumbu kabisa kwenye sheria lakini kila nikiaangalia maoni kwenye nyuzi mbali mbali hapa JF nasikitika sana kwa jinsi ambavyo mpaka sasa watu wengi hawajaona nini kinaenda kutokea. Kwa sababu ukifuatilia toka mwanzo kuanzia mtiririko wake toka maamuzi ya pingamiizi la kukosewa mashtaka, trial within trial ya Adamoo na hii ya mwisho juzi ambayo ndio funga kazi ya kutumika sheria ambayo haipo kabisa Tanzania basi wenye maono tunasubiri "formalities" zikamilishwe na si vinginevyo. Ukiona timu mbili zinacheza uwanjani halafu mpira ukifika kwa refa anausogeza kila saa kwa wachezaji wa timu mojawapo badala ya kuukwepa basi tegemea timu inayosogezewa mpira kila saa na refa kushinda hata kama ni dhaifu kiasi gani itashinda tu hata kwa penalti ya mchezaji aliyekwatuliwa katikati ya uwanja refa atasema ni penalti na mpira utawekwa kwenye hatua kumi na mbili.

Kuna ngoma ngumu huwa nazikumbuka sana wakati huo nilikuwa nazisikia nikiwa mdogo na zitaishi muda mrefu sana ujao nitazitaja japo chache najua wahenga wenzangu wataongezea nilizosahau au kurekebisha nilipokosea. Waliotangulia mbele za haki RIP kwao.
Lugakingira, James Mwalusanya, Koroso, Anthony Bahati, Chipeta, Nasoro Mzavas, Nyalali na wengineo.
 
Hili jambo litakuja ibuka tu muda si punde maana hakuna namna ya judge kujua kama walikuwepo au hawakuwepo.. movement orders za radio calls haswa kwenye servers and minara ya mawasiliano. Movement za magari yaliyotumiwa kuwasafirisha sehemu mbalimbali , cctv ambazo zinaweza onesha magari ya polisi yakienda huko cetre , maadam wametaja muda , tarehe na mwaka , ushahidi uko wazi, si lazima utoke polisi (Wanaweza kuuchakachua, lakini computer itasema kama wali edit na kuchakua- wataalam wa comouter forensic wanajua nachosema), hata watu binafsi pia wanaweza leta kama wanazo hizo videos... ni lazima sasa tushirikiane ili mapolisi watuambie ni gari gani walitumia, number plates za magari hayo na , saa ngapi , walikuwa wapi , mahala gani, sehemu gani ili tuweze kukonect dots kama wanasema ukweli au la , vinginevyo hii kesi ni isidingo tu kwa mawakili wa serikali kuchukulia uzoefu wa kazi kutoka kwa wenzao wa private practice...
Mkuu, S.M.P2503, wewe unakwenda mbali sana kutaka kujua kwamba kesi hii ni Isidingo toka mwanzo, na kwa sababu hiyo, haya unayoweka hapa usitegemee kamwe kwamba kesi itafika huko, haifiki.

Toka mwanzo hawajajisumbua na kesi hii isiwaonyeshe kuwa ni majuha, pamoja na kwamba ujuha wao upo nje nje kwa anayetaka kujua anauona bila shaka yoyote.

Hii kesi imeletwa kama 'formality' tu ya kuonyesha kesi ilifika mahakamani, lakini lengo likishakuwa limeamuliwa toka mwanzo, kwamba watuhumiwa watapatikana na hatia.

Hayo unayoyaandika hapo juu hakuna yeyote wa kuwalazimisha yafanyike, na hata wakiruhusu , yatafanyika kwa taratibu zao, ambazo jibu litakuwa ni wanalolitaka wao.
 
Kesi hii inayovutia hisia za wengi, zaidi ya weledi ilihitaji uhuru stahiki wa mhimili wa mahakama na uthubutu wa Jaji katika kutoa haki tupu na kwa mujibu wa sheria.

Pungufu ya hivyo tunakoelekea mahakama haitaweza kukwepa lawama.

Mezani tulipo kuna pingamizi ambalo kigezo chake kikuu ni kuwa mshitakiwa hakuwahi kufikishwa central police Dar.

"Detention register ya mahali ambapo mshitakiwa anadai hakuwahi kufikishwa ina thamani gani mahakamani katika hatua hii?

Katika hali kama hii, inapokelewa vipi kama ushahidi?

Katika hali kama hii inapokelewa kuthibitisha nini, kabla ya Jaji kujiridhisha kwanza ukweli halisi ni upi?

Katika hali kama hii Jaji anajiridhisha vipi nani anasema kweli kuhusu central police baina ya upande wa mashtaka na upande wa washitakiwa?

Haki ikitendeka itaonekana.

Haki ikiporwa kupitia visingizio pia itaonekana ikiporwa kama Mh. Jaji ataamua iwe hivyo.

Changamoto hizi zitufungue macho zaidi kuona tunahitaji katiba ya namna gani kwa hakika ili kuepukana nazo kabisa.
Inawezekana mawakili wa utetezi wako sahihi ukilinganisha na taarifa zilizotolewa huko nyuma BBC.

Walisema wenzake na Mbowe walishahukumiwa ila Mbowe alikimbilia mafichoni, lakini mpaka Sasa hakuna mahali mahakama au hakimu wametajwa kwamba walishaipokea hi kesi na hivyo vielezo vikafanyakazi Kama BBC ilivyotangaza.

Hi kesi ingekuwa ilishaongelewa mahakama yoyote isingemsumbua jaji naona inakuwa hii.

Penye Nia ovu lazima mazingira yatajionyesha tu. Ila kwa sababu ni mambo ya sheria tuachie mahakama.
 
Samia hana ubavu wa mabavu kumfunga mbowe na haitatokea. Subiri muone mwisho wa haya maigizo hewa.
 
Haiyumkiniki wewe ni Kingai, Mahita, au japo binamu yao [emoji16][emoji16]:

View attachment 2006223

Unasomeka vyema sana kutokea kwenye uzi huu:

Makosa ya IGP Sirro akiwa ofisini yaanze kukusanywa, Hana kinga kikatiba

Cc: Superbug
Sio kila anayepingana na ujinga wenu basi ana undugu na Mahita au Siro, bali huwa hamjitambui na wala hamueleweki mnataka nini, kila jambo kwenu ni baya tu, Alipokuwa anaongoza Jakaya mlimtukana sana, alipokuja Hayati Magufuli, mkasema Jakaya alikuwa mzuri eti mkaanza na kumlilia! alipokuja Mhe Mama yetu, mkampongeza mwanzoni na kuanza kumponda hayati aliyetutoka, na mkasema mama anaupiga nwingi! mlipoona mmekubaliwa baadhi ya hoja zenu mkataka kumpandia kichwani! akawastukia na kugundua sio watu wazuri, mkaanza kumponda tena!! eti afadhali ya hayati aliyemtangulia!! sasa mmeanza ujinga wa kupinga kila kitu! hata hamjulikani huwa mnataka nini!! habari ndii hiyo, wewe kaa na dhana yako ya kushambulia mawazo ya watu hayawasaidii, badilikeni ki fikra.
 
Sio kila anayepingana na ujinga wenu basi ana undugu na Mahita au Siro, bali huwa hamjitambui na wala hamueleweki mnataka nini, kila jambo kwenu ni baya tu, Alipokuwa anaongoza Jakaya mlimtukana sana, alipokuja Hayati Magufuli, mkasema Jakaya alikuwa mzuri eti mkaanza na kumlilia! alipokuja Mhe Mama yetu, mkampongeza mwanzoni na kuanza kumponda hayati aliyetutoka, na mkasema mama anaupiga nwingi! mlipoona mmekubaliwa baadhi ya hoja zenu mkataka kumpandia kichwani! akawastukia na kugundua sio watu wazuri, mkaanza kumponda tena!! eti afadhali ya hayati aliyemtangulia!! sasa mmeanza ujinga wa kupinga kila kitu! hata hamjulikani huwa mnataka nini!! habari ndii hiyo, wewe kaa na dhana yako ya kushambulia mawazo ya watu hayawasaidii, badilikeni ki fikra.

😁😁

IMG_20211110_210936_544.jpg
 
Mkuu huyo Jaji wa Kitengo yuko kazini na hukumu yake mfukoni sisi tunaonyeshwa sinema tu lakini mchezo ulishachezwa siku nyingi sana. Mbowe SI GAIDI!


E92808A0-B9DF-4E50-BC0B-A3AFC6D9DD35.jpeg

Kesi hii inayovutia hisia za wengi, zaidi ya weledi ilihitaji uhuru stahiki wa mhimili wa mahakama na uthubutu wa Jaji katika kutoa haki tupu na kwa mujibu wa sheria.

Pungufu ya hivyo tunakoelekea mahakama haitaweza kukwepa lawama.

Mezani tulipo kuna pingamizi ambalo kigezo chake kikuu ni kuwa mshitakiwa hakuwahi kufikishwa central police Dar.

"Detention register ya mahali ambapo mshitakiwa anadai hakuwahi kufikishwa ina thamani gani mahakamani katika hatua hii?

Katika hali kama hii, inapokelewa vipi kama ushahidi?

Katika hali kama hii inapokelewa kuthibitisha nini, kabla ya Jaji kujiridhisha kwanza ukweli halisi ni upi?

Katika hali kama hii Jaji anajiridhisha vipi nani anasema kweli kuhusu central police baina ya upande wa mashtaka na upande wa washitakiwa?

Haki ikitendeka itaonekana.

Haki ikiporwa kupitia visingizio pia itaonekana ikiporwa kama Mh. Jaji ataamua iwe hivyo.

Changamoto hizi zitufungue macho zaidi kuona tunahitaji katiba ya namna gani kwa hakika ili kuepukana nazo kabisa.
 
Kilichoharibu hiyo kesi ni yale maneno ya wanene wa nchi na idara zake nyeti kabla ya kesi kuanza kutajwa na kusikilizwa...
 
Walishaaminishwa Mkuu na vikaragosi visema uongo vinavyopenda kujipendekeza kwamba ushahidi tulionao Mbowe HACHOMOKI!! Sasa imekula kwao nyuso ZIMEWASHUKA!!! AIBUUU!!!

Kilichoharibu hiyo kesi ni yale maneno ya wanene wa nchi na idara zake nyeti kabla ya kesi kuanza kutajwa na kusikilizwa...
 
Uzi unaongelea kesi wewe unaongelea majungu.
Sio kila anayepingana na ujinga wenu basi ana undugu na Mahita au Siro, bali huwa hamjitambui na wala hamueleweki mnataka nini, kila jambo kwenu ni baya tu, Alipokuwa anaongoza Jakaya mlimtukana sana, alipokuja Hayati Magufuli, mkasema Jakaya alikuwa mzuri eti mkaanza na kumlilia! alipokuja Mhe Mama yetu, mkampongeza mwanzoni na kuanza kumponda hayati aliyetutoka, na mkasema mama anaupiga nwingi! mlipoona mmekubaliwa baadhi ya hoja zenu mkataka kumpandia kichwani! akawastukia na kugundua sio watu wazuri, mkaanza kumponda tena!! eti afadhali ya hayati aliyemtangulia!! sasa mmeanza ujinga wa kupinga kila kitu! hata hamjulikani huwa mnataka nini!! habari ndii hiyo, wewe kaa na dhana yako ya kushambulia mawazo ya watu hayawasaidii, badilikeni ki fikra.
 
Kesi hii inayovutia hisia za wengi, zaidi ya weledi ilihitaji uhuru stahiki wa mhimili wa mahakama na uthubutu wa Jaji katika kutoa haki tupu na kwa mujibu wa sheria.

Pungufu ya hivyo tunakoelekea mahakama haitaweza kukwepa lawama.

Mezani tulipo kuna pingamizi ambalo kigezo chake kikuu ni kuwa mshitakiwa hakuwahi kufikishwa central police Dar.

"Detention register ya mahali ambapo mshitakiwa anadai hakuwahi kufikishwa ina thamani gani mahakamani katika hatua hii?

Katika hali kama hii, inapokelewa vipi kama ushahidi?

Katika hali kama hii inapokelewa kuthibitisha nini, kabla ya Jaji kujiridhisha kwanza ukweli halisi ni upi?

Katika hali kama hii Jaji anajiridhisha vipi nani anasema kweli kuhusu central police baina ya upande wa mashtaka na upande wa washitakiwa?

Haki ikitendeka itaonekana.

Haki ikiporwa kupitia visingizio pia itaonekana ikiporwa kama Mh. Jaji ataamua iwe hivyo.

Changamoto hizi zitufungue macho zaidi kuona tunahitaji katiba ya namna gani kwa hakika ili kuepukana nazo kabisa.
Such happenings should have be expected for something that is "Pre-meditated".
 
Inawezekana mawakili wa utetezi wako sahihi ukilinganisha na taarifa zilizotolewa huko nyuma BBC.

Walisema wenzake na Mbowe walishahukumiwa ila Mbowe alikimbilia mafichoni, lakini mpaka Sasa hakuna mahali mahakama au hakimu wametajwa kwamba walishaipokea hi kesi na hivyo vielezo vikafanyakazi Kama BBC ilivyotangaza.

Hi kesi ingekuwa ilishaongelewa mahakama yoyote isingemsumbua jaji naona inakuwa hii.

Penye Nia ovu lazima mazingira yatajionyesha tu. Ila kwa sababu ni mambo ya sheria tuachie mahakama.
Kuna siku itafika ambayo hatuijui Siro na kikosi chake mmoja wao atakiri kwa kinywa chake kwamba walimbambikia Mbowe kesi ya ugaidi. Nani kati yetu akiwahi kufikiri kwamba Maalim Seif aliporwa ushindi Zanzibar kwa maguvu? Juzi kiongozi mwandamizi wa Ccm kwa kinywa chake kakiri mbele ya hadhara huo wizi.
Mungu ana njia nyingi za kufumbua watu macho.
 
Kuna siku itafika ambayo hatuijui Siro na kikosi chake mmoja wao atakiri kwa kinywa chake kwamba walimbambikia Mbowe kesi ya ugaidi. Nani kati yetu akiwahi kufikiri kwamba Maalim Seif aliporwa ushindi Zanzibar kwa maguvu? Juzi kiongozi mwandamizi wa Ccm kwa kinywa chake kakiri mbele ya hadhara huo wizi.
Mungu ana njia nyingi za kufumbua watu macho.
Huwa najiuliza Hawa vijana tunawafundisha Nini ili kesho wawe viongozi wanaoipenda nchi yao.

Badala tuwajenge kupambana na hoja tunawafundisha mambo ya mitaani kwenye serikali na mahakama. Madhara yake linazaliwa taifa la waongo, chuki na wababe.

Hivi viongozi wa dini hawawezi kumshauri rais kwa sababu wao wanapata shida kutangaza mema, ukweli lakini watu wengine wanaharibu kwa kulinda vyeo vyao.

Tunamsikia mama anasema mahakama zitende haki lakini wengine ni Kama wameweka pomba masikioni. I'll kulinda heshima ya mahakama mawakili na majaji waungane pamoja wazitengeneze hizi sheria zikae vizuri.
 
Utetezi wasikae kusubiria mtoto kuzaliwa.

Wanaweza kutoka wenyewe kutafuta taarifa hizo. Sympasizers kwenye makampuni haya wapo.

Anne Waiguru Kenya amewahi kunusuriwa na taarifa kama hizo alizozipata unilaterally.

Mbinu zetu za mapambano ni lazima zibadilike.

Mbinu nyingine ni kuitaka mahakama iamuru taarifa hizo zipatikane for the sake of justice.

Kila jiwe ni muhimu likakaguliwa chini yake.
Ni wazi mahakama haitakuwa tayari kufanya uchunguzi wa kina.
 
Kuthibitisha kama alikuwepo au hakuwepo ni kazi rahisi sana, waombe cctv za wahusika wote waliokuwepo siku hiyo hapo central police, waangalie metadata za minara ya simu kama kweli hao polisi walikuwepo, walinganishe na cctv za mahali ambapo mtuhumiwa alikuwepo na mwisho waangaalie minara ya simu kuelekea mahali ambapo mtuhumiwa alipelekwa, medadata zitasema tu kweli kama hao askari walimpeleka huko central au kwingine maana radio call zao au simu zao za mikononi zitaonesha minara waliyokuwa wanapitia.
Central pana CCTV camera pale??? Bombay la maji hamna itakuwa CCTV camera??
 
Back
Top Bottom