Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Amefanya jambo la busars
Enyi wanamrogoro msirudie kosa 2020, mchagueni huyu anayewakinga na kifo si huyo anayetaka mkufe ndio akupelekeni kuzika hapo ndio ionekane kakupeni msaada
Awamu hii muulizeni kwanini asitoe msaada kuokoa maisha ya wanamrogoro?
Hivi kwanini mkichangia lazima mchangie kwa hasira sana?Hii nafasi ni kwa viti maalumu upande wa CDM itaendaje NCCR?
Subiri ufe Abood atupeleke Kola bure tutakuzike punguani mkubwa wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama madiwani wabunge na rais kutoka vyama vyote wangefanya haya tangu siku za mwanzo ugonjwa ulipoingia possibly tungekua hatua moja mbele katika kukabiliana na maambukizi mapya.Ni wakati sasa kwa wabunge wengine akiwemo Mwakyembe wa jimbo la Kyela kutoa barakoa kwenye majimbo yao ili kusaidia wananchi
Katikati ya changamoto kubwa fursa kubwa hupatikana pia.
Kuelekea Oktaba, Abood yawezekana masharti ya mganga kusaidia zika watu tu na si vinginevyo.
Hata wewe unaweza toa zako uweke chapa yako man, chapa haizuii kulinda uhai wa mtu man.Uyo hajatoa kutoka moyoni. Kulikuwa na haja gani ya kuzipa chapa yake.
Unatoa msaada unayempa anaonekana kma unamyanyapaaa. Makamera kibaooo
Sent using Jamii Forums mobile app
Devota minja vs AboudKiakili..kielimu...kimaendeleo, kimikakati.... Abood haweki pua kwa Devo !
Hivi kwanini mkichangia lazima mchangie kwa hasira sana?
Ni stress au nini dada hebu niambie
Sent using Jamii Forums mobile app