Devota Minja amwaga maelfu ya barakoa Morogoro ili kuwakinga Wananchi na Corona

Kuna maendeleo bila siasa? if yes..

How?!

Siasa ndio inayoleta wabunge, wabunge wanapitisha bajeti inayopeleka maendeleo kwa wananchi, wewe hayo maendeleo yako ya "kusafirisha misiba" ndio yamekudumaza akili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu wanaojali maendeleo na kuna watu wanaowaza maslahi ya chama tu. Hawa kazi yao ni kupinga chochote anachofanya chama tofauti nayeye. mfano Joseph Mbilinyi ni mbunge wa CHADEMA na anafanya yaliyo mazuri mengi tu lakini kwavile yeye ni mwana ccm umekunywa maji ya bendera ya chama anajenga chuki moyoni mwake dhidi ya mbunge Joseph Mbilinyi kwavile tu yupo chama tofauti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Pole sana, alitaka tv yake imnadi hahaa
Hivi ulemchanga unaofagiliwa ktk mabasi yake na kubebwa na ndoo huupelekwa wapi na anaufanyia nini?!
Nikama anachukua nyayo za abiria wa bus zake.
 
Mkuu funguka vizuri tukuelewe , una kitu hujakimalizia hapa

Haha nimemaliza wafunguke na wengine.
Yaani kila bus lake la abiria likitoka ssfari awanafagia mchanga na kuubeba ktk ndoo so sijui huwa unafanyiwa kazi gani. Kama usafi wa kawaida si wafagia tu.
 
Haha nimemaliza wafunguke na wengine.
Yaani kila bus lake la abiria likitoka ssfari awanafagia mchanga na kuubeba ktk ndoo so sijui huwa unafanyiwa kazi gani. Kama usafi wa kawaida si wafagia tu.
Aiseeee !!
 
Huyu mwanamama anafanya siasa kupitia Corona. Mbona Mbunge wa hapo Morogoro mjini, mzee Abood alitangulia kutoa msaada wa hizo barakoa, ambulance, ndoo za maji na sanitizers mji mzima bila kelele wala kutaka sifa za kujitangaza hivi.
 
Huyu mwanamama anafanya siasa kupitia Corona. Mbona Mbunge wa hapo Morogoro mjini, mzee Abood alitangulia kutoa msaada wa hizo barakoa, ambulance, ndoo za maji na sanitizers mji mzima bila kelele wala kutaka sifa za kujitangaza hivi.
Kama Abood kafanya hivyo hofu yako inatoka wapi ?
 
Dawa ya uongo na uzushi ni kuweka ukweli wake tu. Huyu mama amefanya jambo jema kusaidia wananchi kwa barakoa chache alizogawa, lakini kubeza kwamba Mbunge Abood hajafanya lolote sio sawa.

Kwa wasiofahamu tu, Mbunge huyu wa Morogoro Mjini ametoa misaada lukuki kuwasaidia wananchi wake kujikinga na maambukizi ya Corona pale tu ilipotangazwa kuwa Corona imetua Moro.

Picha zinajieleza...

 

Attachments

  • Ndoo.jpg
    60.2 KB · Views: 1
Hiyo gari ndio ile ya kubebea maiti kwenda kuzikia ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…