BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Asante kwa ujumbe mzuri ila haya mafuvu ni magumu kama ya Sokwe sijui kama yatakuelewa?
Watu tuko too low, nchi kadri siku zinavyo songa mbele uwezo wetu wa kuwaza unazidi kuwa mdogo, ni hatari sana, kuna janga linatuujia mkuu. Wacha tuwe tunapigwaNi upumbavu wa kiwango cha lami kwamba aliesema lile wazo hakutaka lianzie kwenye circle yake ametaka lianzie kwa vidagaa, these motherfuckers very selfish.... Kwani i Yasianzie kwao hayo maGPS... HAYO MAJAMAA SIYAPENDI KWELI KWELI YANI