hashilulaya
JF-Expert Member
- Feb 23, 2017
- 373
- 246
Tunaisoma sayansi ni tofauti na mnavyoamini ushoga ni maumbile kama mtu anavyozaliwa albino ni kilema kile hakupenda Ila hormones ni za kike umbile la kiume
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
But he never admitted this! You can't find him guilty because he is always directing n redirecting ...he is always not up for actionsKwa kuongezea
Satan is the promoter of homosexuality.
Because those angel that came in sodoma hawakuwa was munguu.
My take Satan is the father of homosexuality
[emoji23] [emoji23] [emoji15] [emoji15]Nitarudi baadae kusoma maoni ya wazibua vyoo
Rudi halooo[emoji23] [emoji23] [emoji15] [emoji15]
Inategemea ni kwa muktadha wa imani ipi
[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji779] [emoji779]Tunaisoma sayansi ni tofauti na mnavyoamini ushoga ni maumbile kama mtu anavyozaliwa albino ni kilema kile hakupenda Ila hormones ni za kike umbile la kiume
ThanksShetani ukifatilia vizuri unakuta alikua kerubi and malaika mkuu alie kua anointed ... Ukifatilia vizuri somo la malaika kwa undani, unakuta malaika alie kua anointed ni yeye peke yake, kwasababu alikua ana offisi mbili moja mbinguni na moja duniani
Vipi mkuu umeguswa nini? Ila yeye hajamlazimisha mtu kuacha ameshauri tu, usitoe povu kihivyo.Hakuna mada za kipuuzi humu JF za mshana Jr.
Mwanzoni, nilikuwa interested kuzifatilia, kuona kama kuna cha maana cha kujifunza, but I'm sorry, they are typicaly silly topics in all aspects
[emoji3] [emoji2] Cjawahi sikia hii kitu mara.Ila nilipofika karibia na pwani tu nikasikia wajanja hao Tarime wanaogopa panga.Kweli aisee. Inavuma sana maeneo ya pwani
Kabla ya kuasi shetani alikuwa malaika mkuu wa Mungu yani ni kama kiranja mkuu ama waziri mkuu.... Kwahiyo zile chembe chembe za uungu bado anazo mpaka Leo hii....
Chooni panachukuliwa kama mlango wa kuzimu na kuna mengi ya giza hufanyika chooni na kufanikiwa sana...... Ni jambo la kushangaza mno kama ukimkuta mtu ameinama chooni anachungulia bila sababu maalum... Huyo hakosi kuwa mchawi
Mungu aliipiga dunia na mapigo mawili la moto na la maji (gharika) maji hutengeneza uhai kwahiyo hili halikuwa pigo baya sana kwakuwa pia aliandaa safina kwa wateule wake wale watakaotii sauti ya mlawi wake NUHU
Pigo la pili lilikuwa kwenye miji ya SODOMA NA GOMORA.... hapa watu waliishi kwa anasa kubwa na wakafanya yaliyo CHUKIZO KUBWA mbele zake ...Mtumishi aliyepokea maono na kuamriwa aondoke SODOMA ni Lutu na mke wake na mabinti wao wawili, kabla moto haujashuka kuangamiza wadhambi
Sharti lilikuwa moja watakapoondoka asiwepo wa kugeuka nyuma LA sivyo atageuka jiwe LA chumvi.. Mke wa Lutu "aligeuka nyuma" na neno likatimia
Mwili wa binadamu una namna yake ya kujisafisha na kutoa uchafu.. Lakini uchafu unaoheshimika sana ni kinyesi.. Uchafu huu hujengewa sehemu maalum na kuhifadhiwa vema
Iweje Leo wewe kiumbe lile tundu linalochungulia mlango wa kuzimu unataka kulitumia? Unapochutama uchi ukiwa umechanua miguu chooni unajua linaona nini huko ulikolielekeza?
Kweli watu mna guts za ajabu LAKINI Mmh haya ila msisahau nini kiliiangamiza kwa moto SODOMA na GOMORA [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji144]
Hakuna mada za kipuuzi humu JF za mshana Jr.
Mwanzoni, nilikuwa interested kuzifatilia, kuona kama kuna cha maana cha kujifunza, but I'm sorry, they are typicaly silly topics in all aspects
[emoji3] [emoji3] [emoji3] sawa mkuuMkuu;
May be this topic touched yu and caused some irritations in yu. Pole sana, ila na mimi nadhani mshana jr acha kuwasema watu kama hawa. Angalia, wasije kukuchukia maana ukirusha jiwe gizani ukasikia Paaa! Ujue ushaumiza mtu.
Weshakuona weye kuwa; typicaly silly. Pole mshana jr lakini usiogope kuwaogofisha hao wazibua na wazibuliwa mitaro kuwa hata shetwani huonji hayo makitu. Iweje mtu tena msomi unayeijua lugha ya malkia uutetee ujinga? Nimechoka
Hakuna mada za kipuuzi humu JF za mshana Jr.
Mwanzoni, nilikuwa interested kuzifatilia, kuona kama kuna cha maana cha kujifunza, but I'm sorry, they are typicaly silly topics in all aspects
Tunaisoma sayansi ni tofauti na mnavyoamini ushoga ni maumbile kama mtu anavyozaliwa albino ni kilema kile hakupenda Ila hormones ni za kike umbile la kiume
Hata kama hayo mambo ya mungu nilijitenga kitambo,ila hayo ****** hakika hayapo ktk akili timamu,
MTU mwenyeva akili timamu huwez kuwa shoga
Inategemea ni kwa muktadha wa imani ipi