Dhambi ambazo huwezi tubu peke yako bila kushirikisha watumishi wa Mungu

Dhambi ambazo huwezi tubu peke yako bila kushirikisha watumishi wa Mungu

Dhambi haifichwi lakini imani yangu inaniambia Mungu anajua kilichopo ndani ya moyo wako na anaona mwisho kabla ya mwanzo

Hivyo suala la kutubu ni wewe na Mungu kupitia upatanisho wa Kristo Yesu ambaye ndie mpatanishi mkuu

Hupaswi kwenda kwenye kitubio na kumueleza mchungaji au padri dhambi zako nae akwambie tu umesamehewa
Mchawi akitubu mwenyewe anasamehewa, Damu ya Yesu Ina samehe wote,

Ila kujitenga na maagano ya kuzimu ya shetani ya kichawi Ili yasimfuatilie tena, mtumishi lazima ahusike.

Msibishe.
 
Hebu soma Warumi 3:23 inasema wote tumefanya dhambi na kupungukiwa utukufu wa Mungu.

Hamna sehemu inayosema nyie manabiì ndio mnaotuondolea dhambi. Yesu alikufa mtini kwa ajili ya ondoleo letu la dhambi.

Wewe sema tu unataka sadaka tukupe akanywe bia na wanawake zako
Acts 9:3-6
 
Kwa hyo kutembea kinyume na maumbile napo kunasamehewa?.mi najua Kuna dhambi 2 ambazo azisameheki ata ufanyaje.1 ni kumkufuru roho mtakatifu.2 kufanya mapenzi kinyume na maumbile
Mtoa post huenda Umelewa au unataka Sadaka. Kwanza hujui tofauti ya uzinzi na uasherati. Hivi unajua kwann amri walipewa wana wa Yakobo na sio Waajemi?
 
Kwa hyo kutembea kinyume na maumbile napo kunasamehewa?.mi najua Kuna dhambi 2 ambazo azisameheki ata ufanyaje.1 ni kumkufuru roho mtakatifu.2 kufanya mapenzi kinyume na maumbile
Dhambi ya kufanya kinyume na maumbile inasameheka, lakini huwezi jifungua mwenyewe Kutoka maagano ya kiroho uliyojifunga na shetani kiroho, mtumishi wa Mungu wa Kweli lazima ahusike.
 
Dhambi ya kufanya kinyume na maumbile inasameheka, lakini huwezi jifungua mwenyewe Kutoka maagano ya kiroho uliyojifunga na shetani kiroho, mtumishi wa Mungu wa Kweli lazima ahusike.
nimekufatilia tangu mwanzo wa uzi wako nilitegemea nitaona umetoa fungu la biblia linalokusapot twende kuombewa kwa mtumishi, lakini naona porojo za kupiga sadaka tu
 
Alisema hivi, pazia la hekalu lilipasuka kuruhu hata wasio wachungaji wala makuhani kuingia Patakatifu pa Patakatifu kwenye kiti cha Rehema. Sharti uingie na damu na jina la Yesu Kristo. Acheni kutaabisha watu wa Mungu. Kinachofuta dhambi sio ombi la mchungaji, ni Damu ya Yesu tu. Wote tu makuhani Kwa Mungu wetu.
Umeandika sahihi kabisa. Damu ya Yesu inatosha.

Sadaka nilosema ni shukurani tu hutolewa baada ya kuvunja maagano.
 
nimekufatilia tangu mwanzo wa uzi wako nilitegemea nitaona umetoa fungu la biblia linalokusapot twende kuombewa kwa mtumishi, lakini naona porojo za kupiga sadaka tu
Acts 9:3-6.
 
Nimefuatilia mada kwa ukaribu mno kwa sababu nimependa kujifunza mambo mapya katika Imani and it was epic. Sasa my request kwetu wote kwenye hii thread, mi naona imetosha haya mapishano ambayo tumeyadisplay humu.

Neno la Mungu linatuasa kujiepusha na mazungumzo yasiyokuwa na faida, maneno yote yanatakiwa yawe munyu...so, naona huu mjadala uishie hapa. Kwa maana, kila mmoja ameokolewa kwa Neema wala si kwa matendo, tusije tukajisifu.

Kwako Rabbon , umepewa ujumbe na Roho wa Bwana, well and good... as long as umeshapreach, jikung'ute mavumbi endelea na mengine. Maana apandae ni wewe na wengine wote kama Mfalme Sulemani , Proved and so forth, lakini akuzae ni Mungu pekee. Kama ujumbe ulikua wa kweli basi Roho Mtakatifu atashuhudiza ukweli individually mioyoni mwetu juu ya jambo hili, tena tumezidi kujichallenge juu ya uelewa wetu wa mambo ya sadaka, maagano, toba ya kweli, vifungo vya kiroho na mambo kama hayo.

Mi naona wote tuna aim ya kufika mbinguni, tumuache Bwana akachochee ukweli halisi mioyoni mwetu maana yeye anajua kilicho cha kweli na incase kuna corrections katika knowledge tulizosoma humu basi yeye atatufundisha yote. Ilimradi, mwisho wa siku..Utukufu uende kwa Yesu pekee, maana ndani yake yeye tunaishi, tunakwenda na kuwa na uhai wetu, Yeye ni Yote katika Yote.

Kila mmoja wetu azidi kujiimerse katika Kristo ili mambo haya yazidi kufunuliwa kwa ukubwa. Shalom!!
 
Kutubu ni kati yako na Mungu, binadamu hahusiki
 
Nimefuatilia mada kwa ukaribu mno kwa sababu nimependa kujifunza mambo mapya katika Imani and it was epic. Sasa my request kwetu wote kwenye hii thread, mi naona imetosha haya mapishano ambayo tumeyadisplay humu.

Neno la Mungu linatuasa kujiepusha na mazungumzo yasiyokuwa na faida, maneno yote yanatakiwa yawe munyu...so, naona huu mjadala uishie hapa. Kwa maana, kila mmoja ameokolewa kwa Neema wala si kwa matendo, tusije tukajisifu.

Kwako Rabbon , umepewa ujumbe na Roho wa Bwana, well and good... as long as umeshapreach, jikung'ute mavumbi endelea na mengine. Maana apandae ni wewe na wengine wote kama Mfalme Sulemani , Proved and so forth, lakini akuzae ni Mungu pekee. Kama ujumbe ulikua wa kweli basi Roho Mtakatifu atashuhudiza ukweli individually mioyoni mwetu juu ya jambo hili, tena tumezidi kujichallenge juu ya uelewa wetu wa mambo ya sadaka, maagano, toba ya kweli, vifungo vya kiroho na mambo kama hayo.

Mi naona wote tuna aim ya kufika mbinguni, tumuache Bwana akachochee ukweli halisi mioyoni mwetu maana yeye anajua kilicho cha kweli na incase kuna corrections katika knowledge tulizosoma humu basi yeye atatufundisha yote. Ilimradi, mwisho wa siku..Utukufu uende kwa Yesu pekee, maana ndani yake yeye tunaishi, tunakwenda na kuwa na uhai wetu, Yeye ni Yote katika Yote.

Kila mmoja wetu azidi kujiimerse katika Kristo ili mambo haya yazidi kufunuliwa kwa ukubwa. Shalom!!
Amen.

Nami Kuna baadhi ya members wasiitaka kuelewa, nimeacha kuwajibu.

Bt Kwa wenye kuhitaji ufafanuzi Kwa Nia njema, nitaendelea kuwajibu in good faith.

Mungu akubariki Kwa ushauri mzuri.

Amen
 
Elewa basi ndugu,

Dhambi zote zinasamehewa ukiomba msamaha, tunachoongelea ni Kwa dhambi tajwa mfano mwenye mume au mke wa kiroho, jini mahaba au Pepo, mchawi au mganga mwenye maagano ya kuzimu,

Yale maagano Kuna Utaratibu wa kuyaondoa, ndomana mtumishi lazima ahusike.
Maana ya YESU kuishi ndani yako unaielewa? Hizi habari za kuondoa maagano ndiyo mwishowe watu wanaoga chumvi na kujipaka mafuta ya upako.

Yesu anatosha, wanachoogopa watumishi uchwara ni kuwaambia waumini ukweli kwamba kazi wanazozifanya kila muamini anaweza kuzifanya
 
Acts 9:3-6
Matendo ya Mitume 9:3-6
[3]Hata alipokuwa akisafiri, ikawa anakaribia Dameski; ghafula ikamwangaza kote kote nuru kutoka mbinguni.
And as he journeyed, he came near Damascus: and suddenly there shined round about him a light from heaven:
[4]Akaanguka chini, akasikia sauti ikimwambia, Sauli, Sauli, mbona waniudhi?
And he fell to the earth, and heard a voice saying unto him, Saul, Saul, why persecutest thou me?
[5]Akasema, U nani wewe, Bwana? Naye akasema, Mimi ndimi Yesu unayeniudhi wewe.
And he said, Who art thou, Lord? And the Lord said, I am Jesus whom thou persecutest: it is hard for thee to kick against the pricks.
[6]Lakini simama, uingie mjini, nawe utaambiwa yakupasayo kutenda.
And he trembling and astonished said, Lord, what wilt thou have me to do? And the Lord said unto him, Arise, and go into the city, and it shall be told thee what thou must do.
 
Salaam shalom.

INTRODUCTON.

Imeandikwa, Tukiziungama dhambi zetu, Yeye ni mwaminifu na haki, hata atuondolee dhambi zetu na kutusafisha na udhalimu wote.( 1 Yoh 1:9).

Dhambi ni kutotii, kwenda kinyume na maelekezo ya Mungu. Na Roho mtakatifu yupo kutukumbusha dhambi zetu Ili tuzitibie Ili tuendelee kuwa WATAKATIFU.

DHAMBI AMBAZO KAMWE HATIA YAKE HAITAKUONDOKA HADI USHIRIKISHE WATUMISHI WA MUNGU ILI UOMBEWE UKIAMBATISHA NA SADAKA YA UKOMBOZI NI ZIFUATAZO:


1. ZINAA NA UASHERATI.

UASHERATI ni kufanya Tendo la zinaa na mtu nje ya NDOA asiye mkeo au mumeo.

UZINZI ni kufanya tendo la uchafu, zinaa kabla ya Kuoa au Kuolewa.

Ukizini na mke wa mtu au mume wa Mtu, usijidanganye kuwa ukitubu sirini utasamehewa, HATIA itaendelea kuwepo Hadi uwatafute watumishi wa Mungu wa Kweli Ukiwa na sadaka ya Ukombozi. Watumishi Wana BUSARA ya kusuluhisha dhambi hiyo pande zote mbili Ili ufunguliwe.

2. USHOGA.

Ikiwa uliwahi kuwa shoga, ukaamua kuacha, kamwe usitubu sirini na kuishiwa hapo, USHOGA huambatana na mapepo na kufungwa NAFSI, mfungwa kamwe hawezi jifunguanpingu mwenyewe, unawahutaji watumishi wa Kweli Ili UOMBEWE na kuwekwa huru, sadaka ni LAZIMA Ili itolewe huko.

3. USAGAJI.

Mwanamke pia aliyewa kufanya dhambi hiyo, huwezi kufunguliwa na Utumwa na HATIA hiyo pekeako Kwa kutubu sirini, nenda Kwa watumishi wa Kweli, Ukiwa na sadaka ya Ukombozi.

4. PUNYETO/ KUJICHUA.

Ikiwa uliwahi kujichua, ukaamua kuacha, unahitaji kwenda Kwa mtumishi wa Mungu wa Kweli Ukiwa na sadaka ya Ukombozi Ili ufunguliwe, Mpiga PUNYETO ni mfungwa, ni mke au mume wa Roho chafu katika Ulimwengu wa Roho, hivyo kufunguliwa ni LAZIMA utoe sadaka, uvunje NDOA chafu hiyo ya kiroho na hati ya NDOA chafu ya kiroho iondolewe, usipofanya hivyo, unajidanganya. Mbinguni huingii ng'o!! (Mwanzo 38:1-25) Mungu alimwua Onani Kwa kumwaga shahawa nje ya uke Ili asizae na mke wa marehemu kaka yake.
Neno Hilo hapo juu ni ROHO. Amen.

5.MWANAMKE KUOA MWANAMKE/MWANAUME KUOA MWANAUME MWENZIE.

Kutubu dhambi hii sirini bila watumishi wa Mungu ni kujidanganya. Chukua sadaka, nenda Kwa mtumishi, Sema Kweli Ili UOMBEWE na kufunguliwa, NDOA haramu ivunjwe na ufungwa wako kiroho uondolewe. Amen.

6. ORAL SEX.

Ikiwa uliwahi kushiriki oral sex, kunyonya au kuramba Kwa mdomo sehemu za Siri za mwanamke au Mwanaume na ukatambua ni DHAMBI, ukaacha, Bado u kifungoni.

Chukua sadaka, mwone mtumishi wa Kweli wa Mungu ufunguliwe na Mungu.

7. ABORTION./ UTOAJI MIMBA/ KUFUNGA UZAZI/ KUTUMIA VIDONGE VYA KUPANGA UZAZI.

Kimbia haraka Kwa mtumishi wa Mungu wa Kweli ,beba sadaka kulingana na uwezo wako, UOMBEWE ufunguliwe.

Ukipuuza Utakataliwa GETI la Mbinguni.

9. IKIWA ULIWAHI TUMIA DAWA ZA KUONGEZA NGUVU ZA KIUME/ KIKE.

Chukua sadaka, mwone mtumishi wa Kweli UOMBEWE na kufunguliwa.

10. MAUAJI.

Ikiwa uliwahi kuua bila kukusudia ,ukahukumiwa JELA ukatoka, ikiwa uliua Kwa Siri na hukubainika, ikiwa ulishiriki kuua, usijidanganye kuwa unaweza kutubu sirini, HATIA Ili ikuondoke uwe na Amani, Tafuta kiongozi wa Mungu wa Kweli mwenye BUSARA za Mungu, akuongoze Cha kufanya, utoe pia sadaka ya Ukombozi. ( Acts 9:3-6) Sauli alikuwa mwuaji, Yesu alimwelekeza aende Kwa mtumishi.

11. IBADA ZA SANAMU, KUSHIRIKI IBADA ZA WAFU NA KUTOA SADAKA KWA MIZIMU KIMILA NK NK.

Kushiriki Ibada za KIMILA na Kutoa sadaka Kwa Roho za kishetani za Mababu, ni DHAMBI pia, ni kufungwa ni Utumwa ambao huwezi kujifungua pekeako.

Ukiamua kuacha na kuokoka, hatua inayofuata ni kushirikisha watumishi kukusaidia kukutenga na madhabahu hizo.

Sadaka ni LAZIMA, sababu, Ulimwengu wa Nuru na Giza sadaka ni inevitable. Amen

HITIMISHO.

Dhambi nilizotaja hapo juu, ni baadhi tu ya dhambi ambazo huwezi tubu pekeako, zimetajwa sawasawa na Ruhusa ya Roho mtakatifu Kwa mtumishi wake sawasawa na ufunuo wake apendavyo.

NB: Si DHAMBI zote zinahitaji kuona mtumishi wa Kweli kukusaidia kufunguliwa pingu za dhambi, ni baadhi ya dhambi ambazo Zina vifungo na attachment na maagano ya kipepo na kishetani.

ANGALIZO: Sadaka tutoazo Si Kwa ajili ya kununua Muujiza, au kununua Msamaha wa Mungu, Yesu msalabani alikwisha maliza yote Kwa Damu yake msalabani. Sadaka tunatoa kama shukrani tu na kuonyesha Upendo Kwa Yale Mungu alikwisha tutendea.

Mungu awabariki.

Source: Nabii Justine Ibrahim, U-Tube., Promover Tv channel U-Tube.

Ikiwa hujampokea Yesu kuwa BWANA na Mwokozi wako, fuatisha Sala hii,

EE YESU, NINAKIRI KWAKO KUWA MIMI NI MWENYE DHAMBI, NINAOMBA UNISAMEHE, ULIFUTE JINA LANGU KATIKA KITABU CHA HUKUMU,ULIANDIKE KATIKA KITABU CHA UZIMA, NINAOMBA UWEZO WA KUSHINDA DHAMBI, NIWEZESHE NIISHI MAISHA MATAKATIFU.

Ameen
Sawa Mwamposa. Tutakuletea sadaka jumapili hii
 
Nimefuatilia mada kwa ukaribu mno kwa sababu nimependa kujifunza mambo mapya katika Imani and it was epic. Sasa my request kwetu wote kwenye hii thread, mi naona imetosha haya mapishano ambayo tumeyadisplay humu.

Neno la Mungu linatuasa kujiepusha na mazungumzo yasiyokuwa na faida, maneno yote yanatakiwa yawe munyu...so, naona huu mjadala uishie hapa. Kwa maana, kila mmoja ameokolewa kwa Neema wala si kwa matendo, tusije tukajisifu.

Kwako Rabbon , umepewa ujumbe na Roho wa Bwana, well and good... as long as umeshapreach, jikung'ute mavumbi endelea na mengine. Maana apandae ni wewe na wengine wote kama Mfalme Sulemani , Proved and so forth, lakini akuzae ni Mungu pekee. Kama ujumbe ulikua wa kweli basi Roho Mtakatifu atashuhudiza ukweli individually mioyoni mwetu juu ya jambo hili, tena tumezidi kujichallenge juu ya uelewa wetu wa mambo ya sadaka, maagano, toba ya kweli, vifungo vya kiroho na mambo kama hayo.

Mi naona wote tuna aim ya kufika mbinguni, tumuache Bwana akachochee ukweli halisi mioyoni mwetu maana yeye anajua kilicho cha kweli na incase kuna corrections katika knowledge tulizosoma humu basi yeye atatufundisha yote. Ilimradi, mwisho wa siku..Utukufu uende kwa Yesu pekee, maana ndani yake yeye tunaishi, tunakwenda na kuwa na uhai wetu, Yeye ni Yote katika Yote.

Kila mmoja wetu azidi kujiimerse katika Kristo ili mambo haya yazidi kufunuliwa kwa ukubwa. Shalom!!
Huyo anaongea maneno yake tu wala hayajatoka huko unakosema
 
Yaani uzini na mke wa Jirani Yako sirini halafu utubu sirini?

Mwombee Mungu Roho mtakatifu akufunulie aloyasema mwenyewe kabla ya kupinga.
Si uende tu kwa ulie mzinia umuombe msamaha?
Utakacho kutana nacho uwe tayari kukipokea
 
Waebrania 4:16
Haijasema ulichosema wewe.Hebu soma ilivyoandikwa[emoji116][emoji116]

Waebrania 4
16 Basi na tukikaribie kiti cha neema kwa ujasiri, ili tupewe rehema, na kupata neema ya kutusaidia wakati wa mahitaji.


Kwa hiyo Chumvi hizo zingine umejiongezea wewe.Shame upon you.

Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom