Kunguru wa Manzese
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 12,729
- 18,119
NdioDah Kawaka nn?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdioDah Kawaka nn?
Gridi ya TaifaOops, mkuu ni kitu gani hiki?
Lord have mercy!
Kuwa na wapenzi/wake wengi.
Hicho ulichoongea ni sehemu ya unabii wa Biblia.Barikiwa mtumishi ila hisi pisi kali mbn zinakuwa nyingi Sana tunawafadisha Sasa ningekuwa muslamu ningeoa wanna yaani mnk Ni wengi Sana na Ni wazuri na wamaume Ni wachache Sana
Kuwa wet dreams ni jini mahaba,,, [emoji23][emoji23][emoji23] any proof??What you don't know is beyond your knowledge.Ipo siku utajua.
Anakuja na story za kibaolojia,Kuwa wet dreams ni jini mahaba,,, [emoji23][emoji23][emoji23] any proof??
Ukiona mkristo ana tabia za kusema sijui nyota,, au upuuzi kama huo wa jini anafanya hv na vile jua huyo nae ni jauAnakuja na story za kibaolojia,
Nimemuuliza yeye na ndugu zake wakiumwa wanaenda hospital? Au hawaendi, hajajibu!
Ukiona mkristo anaongea jini mahaba, juu huyo hata lump-sum yake ya pension, anawazia kuipeleka madhabahuni yote! Achana naye! Akili ilishatekwa na mafarisayo na masadukayo WA kizazi jipya!
Mambo ya imani ni kuamini visivyodhihirika kisayansi. Ndio maana kunawapagani.Hivyo sishangai mtu kutoamini hoja zangu.Ukiona mkristo ana tabia za kusema sijui nyota,, au upuuzi kama huo wa jini anafanya hv na vile jua huyo nae ni jau
Math13:24-25.Yesu akawaambia mfano huu “Ufalme wa mbinguni unafanana na mtu aliyepanda mbegu nzuri katika shamba lake. Lakini watu wakiwa wamelala, adui yake akaja, akapanda magugu kati ya ngano, akaenda zake........Kuwa wet dreams ni jini mahaba,,, [emoji23][emoji23][emoji23] any proof??
Wet dreams imekuwa proved scientifically,, na hata kwenye bible frm genesis to revelation hakuna sehemu wet dreams imeandikwa ni dhambi na kuna alot of claims unazotoa haziendani na bible na imani ya kikristoMambo ya imani ni kuamini visivyodhihirika kisayansi. Ndio maana kunawapagani.Hivyo sishangai mtu kutoamini hoja zangu.
Basi myaache magugu na ngano viote pamoja,, [emoji23][emoji23][emoji23]Math13:24-25.Yesu akawaambia mfano huu “Ufalme wa mbinguni unafanana na mtu aliyepanda mbegu nzuri katika shamba lake. Lakini watu wakiwa wamelala, adui yake akaja, akapanda magugu kati ya ngano, akaenda zake........
YOHANA 10:10. Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu;
Naungana na hoja yako na ya Bambushka sambamba na maswali ya The MonkUkiona mkristo ana tabia za kusema sijui nyota,, au upuuzi kama huo wa jini anafanya hv na vile jua huyo nae ni jau
Hii ndiyo proof ushahidi tokea maandiko ya BIBLIA kwamba wet dreams ni jini mahaba!?Math13:24-25.Yesu akawaambia mfano huu “Ufalme wa mbinguni unafanana na mtu aliyepanda mbegu nzuri katika shamba lake. Lakini watu wakiwa wamelala, adui yake akaja, akapanda magugu kati ya ngano, akaenda zake........
YOHANA 10:10. Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu;
Mwambie shemej asiwe unakunyonya ni dhambi.Bas tumekwisha
Sawa,ngoja nimwambiemwambie shemej asiwe unakunyonya ni dhambi.
Mambo ya Walawi 5:17Mengi kati ya hayo sio dhambi, eti kuangalia picha ya ngono ni dhambi? acha kupotosha watu
Hahahaha babe Kwa hiyo ww hutaki kuaminishwa kabisa na upuuzi huo?.Ukiona mkristo ana tabia za kusema sijui nyota,, au upuuzi kama huo wa jini anafanya hv na vile jua huyo nae ni jau