Dhambi ya Zinaa, Ngono, Uzinzi na Uasherati

Dhambi ya Zinaa, Ngono, Uzinzi na Uasherati

Barikiwa mtumishi ila hisi pisi kali mbn zinakuwa nyingi Sana tunawafadisha Sasa ningekuwa muslamu ningeoa wanna yaani mnk Ni wengi Sana na Ni wazuri na wamaume Ni wachache Sana
Hicho ulichoongea ni sehemu ya unabii wa Biblia.

Isaya4:1
Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu.
 
Kuwa wet dreams ni jini mahaba,,, [emoji23][emoji23][emoji23] any proof??
Anakuja na story za kibaolojia,
Nimemuuliza yeye na ndugu zake wakiumwa wanaenda hospital? Au hawaendi, hajajibu!

Ukiona mkristo anaongea jini mahaba, juu huyo hata lump-sum yake ya pension, anawazia kuipeleka madhabahuni yote! Achana naye! Akili ilishatekwa na mafarisayo na masadukayo WA kizazi jipya!
 
Anakuja na story za kibaolojia,
Nimemuuliza yeye na ndugu zake wakiumwa wanaenda hospital? Au hawaendi, hajajibu!

Ukiona mkristo anaongea jini mahaba, juu huyo hata lump-sum yake ya pension, anawazia kuipeleka madhabahuni yote! Achana naye! Akili ilishatekwa na mafarisayo na masadukayo WA kizazi jipya!
Ukiona mkristo ana tabia za kusema sijui nyota,, au upuuzi kama huo wa jini anafanya hv na vile jua huyo nae ni jau
 
Ukiona mkristo ana tabia za kusema sijui nyota,, au upuuzi kama huo wa jini anafanya hv na vile jua huyo nae ni jau
Mambo ya imani ni kuamini visivyodhihirika kisayansi. Ndio maana kunawapagani.Hivyo sishangai mtu kutoamini hoja zangu.
 
Ahsante kwa taarifa...

Kwa muongozo wa haraka haraka, kaa ujue kila kitu hapa duniani ni dhambi, za kuambiwa changanya na za kwako...
 
Kuwa wet dreams ni jini mahaba,,, [emoji23][emoji23][emoji23] any proof??
Math13:24-25.Yesu akawaambia mfano huu “Ufalme wa mbinguni unafanana na mtu aliyepanda mbegu nzuri katika shamba lake. Lakini watu wakiwa wamelala, adui yake akaja, akapanda magugu kati ya ngano, akaenda zake........

YOHANA 10:10. Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu;
 
Mambo ya imani ni kuamini visivyodhihirika kisayansi. Ndio maana kunawapagani.Hivyo sishangai mtu kutoamini hoja zangu.
Wet dreams imekuwa proved scientifically,, na hata kwenye bible frm genesis to revelation hakuna sehemu wet dreams imeandikwa ni dhambi na kuna alot of claims unazotoa haziendani na bible na imani ya kikristo
Eti ili usamehewe kutoa sadaka ni lazima,, sasa ile slogan ya tunaokolewa kwa neema inaangukia wapi

Acha kusikiliza soma zaidi
 
Math13:24-25.Yesu akawaambia mfano huu “Ufalme wa mbinguni unafanana na mtu aliyepanda mbegu nzuri katika shamba lake. Lakini watu wakiwa wamelala, adui yake akaja, akapanda magugu kati ya ngano, akaenda zake........

YOHANA 10:10. Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu;
Basi myaache magugu na ngano viote pamoja,, [emoji23][emoji23][emoji23]

Inathibitisha wapi wet dreams ni jini mahaba
 
Ukiona mkristo ana tabia za kusema sijui nyota,, au upuuzi kama huo wa jini anafanya hv na vile jua huyo nae ni jau
Naungana na hoja yako na ya Bambushka sambamba na maswali ya The Monk

Pia naongezea ukiona mkristu anasisitiza sana sadaka, mara sadaka ya kusamehewa, mara sadaka ya kukombolewa mara sadaka ya kujimaliza jua tayari ameshakamatwa na mafarisayo na masadukayo

Kisaikolojia mtu mwema huwa anapenda kufanya jambo ili kufidia baya lolote alilotenda. Sasa shtuka ndugu kuna watu wameamua kukuongezea mabaya mengi zaidi ili ufidie zaidi. Kwa wanadamu unaweza kuwalipa ila kwa Mungu hana shida hizo yeye anaangalia rohoni.

Ni unyonyaji wa watu wema. Na kibaya zaidi hisia za kujihisi mwenye makosa zinakutenga zaidi na Mungu. Ndio mengine nidhambi ila sio kila ulichotaja bwana Kamgomoli
 
Math13:24-25.Yesu akawaambia mfano huu “Ufalme wa mbinguni unafanana na mtu aliyepanda mbegu nzuri katika shamba lake. Lakini watu wakiwa wamelala, adui yake akaja, akapanda magugu kati ya ngano, akaenda zake........

YOHANA 10:10. Mwivi haji ila aibe na kuchinja na kuharibu;
Hii ndiyo proof ushahidi tokea maandiko ya BIBLIA kwamba wet dreams ni jini mahaba!?
Wacha kukwepesha, lete ushahidi wa kimaandiko unaolizungumzia Hilo!

Umeanza kuhukumu humu Nani kakupa mamlaka ya kusengenya watu, wanaohitaji elimu ya BIBLIA juu ya hayo unachotaka kuwaminisha ni dhambi!?. Eti kuna magugu na ngano!?
Hapo ulipo wajiona Bora mkamilifu na mtimilifu!?

Aisee mbinguni mbali Sana, Mie huenda nisifike lakini wapo watakaokuwa kuni huko jahanamu!
 
Mengi kati ya hayo sio dhambi, eti kuangalia picha ya ngono ni dhambi? acha kupotosha watu
Mambo ya Walawi 5:17
Na kama mtu akifanya dhambi, na kutenda mambo hayo mojawapo ambayo BWANA alizuilia yasifanywe, ajapokuwa hakuyajua, ni mwenye hatia vivyo, naye atachukua uovu wake.
 
Back
Top Bottom