MKARASINGA
Senior Member
- Jun 9, 2018
- 135
- 222
Allah amefadhilisha mitume katika daraja tofauti na mbora katika mitume yote ni Muhammad (pbuh) kwasababu mitume yote iliyotangulia ilitumwa kwa kundi au taifa fulani ila Muhammad alitumwa kwa ajili ya ulimwengu mzima. Na pia yeye ndie atakaekubaliwa ombi la kuombea wanadamu wote siku ya mwisho wapate kuhukumiwa mara baada ya kuwa washakaa takribani ya miaka elfu hamsini wakisubiri hukumu ya Mungu ipite.
Mbona mnasemaga Issa atakaporudi atakuja kuwa Nabii wa Waislamu wote, je atawaacha ndugu zake Waisraeli ambao ni Wayahudi ?Allah amefadhilisha mitume katika daraja tofauti na mbora katika mitume yote ni Muhammad (pbuh) kwasababu mitume yote iliyotangulia ilitumwa kwa kundi au taifa fulani ila Muhammad alitumwa kwa ajili ya ulimwengu mzima. Na pia yeye ndie atakaekubaliwa ombi la kuombea wanadamu wote siku ya mwisho wapate kuhukumiwa mara baada ya kuwa washakaa takribani ya miaka elfu hamsini wakisubiri hukumu ya Mungu ipite.
Issa a.s atarudi tena kama mfuasi wa Mtume Muhammad pbuh. Yeye alishaimaliza kazi ya utume aliyotumwa na Mungu kwenda kwa wana wa israel.Mbona mnasemaga Issa atakaporudi atakuja kuwa Nabii wa Waislamu wote, je atawaacha ndugu zake Waisraeli ambao ni Wayahudi ?
Inamaana hatatumwa tena kwa Waisraeli tu ?
Na mnasema Issa alikuwa Mwislamu na alikuja kabla ya Muhammadi, unamaana Waislamu walikuwa Wayahudi tu ?
Huwezi kuielewa qurani kama utaisoma ukiwa na akili timamu
Ndio Issa huyo.Issa a.s atarudi tena kama mfuasi wa Mtume Muhammad pbuh. Yeye alishaimaliza kazi ya utume aliyotumwa na Mungu kwenda kwa wana wa israel.
Hahaaaa...unashangaa mtoto mchanga kuongea!???Ndio Issa huyo.
Atakaye rudi ili avunje misalaba.
Na kuua nguruwe wote, bila kuwagusa mbwa.
Na kupigana na Dejal mwenye jicho moja.
Na kuoa mke.
Huyo ndio Issa wa kwenye Qurani.
Ukimchunguza sana utagundua kuwa Issa sio binadamu bali ni Jinni.
Binadamu haongei akiwa mtoto mchanga wa siku moja.
Issa aliongea katika umri huo.
Acheni kuchanganya mambo kwa faida ya kuhalarisha haramu.
๐๐matendo na tabia zako zinaweza kuamua kifo chako kiwe cha aina ipi.
Yaan mwishoni ndo umeniua kabisaNgoja ukutane na matisho ushindwe kulala๐
Matendo yako na tabia zako ndo zitaamua ufe kifo cha aina ganiUmekutana na nini??๐
Yeah,sure.NeverMtu anakunywa double kick hajala halafu anaendesha pikipiki akipata ajali anasema Mungu alipanga itokee. Never