Dhana ya Kumuinua Mtoto wa Kike ni bomu kwa Vizazi vijavyo

Dhana ya Kumuinua Mtoto wa Kike ni bomu kwa Vizazi vijavyo

This ideology of women empowerment will eventually backfire in the near future.
MUNGU hajawahi kukosea na wala hakukosea alipomuweka Mwanaume kuwa kichwa cha Mwanamke.

Kama kawaida yetu Wanadamu tumekuwa tukienda kinyume na matakwa ya MUNGU kwa kujiona tuna akili kumzidi Muumba wetu.

Sasa hivi wanawake wanathaminiwa na kupendelewa na kumsahau kabisa mtoto wa kiume ambaye literally ndiye kichwa cha mwanamke.

Bahati nzuri MUNGU aliliona hili na kutuonya kwenye kitabu cha Isaya 4:1
"na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako utuondolee aibu yetu".

Hii maana yake ni kwamba siku zinakuja wanaume wa maana watakuwa wachache sana kutokana na kubaguliwa kwa mtoto wa kiume sasa hivi.

Wanawake watakuwa na uwezo wa kula chakula chao na kuvaa mavazi yao bila kumtegemea Mwanaume lakini hawatakuwa na wanaume wa maana wa kuwaoa. Hivyo ratio itakuwa ni wanawake saba wenye kujitegemea kwa mwanaume mmoja (7:1)

Hali itakuwa mbaya sana. Tunapaswa kubadili huu mwelekeo wa kupendelea watoto wa kike.
 
Mkuu hili suala linatakiwa kuanza kwenye malezi ya watoto maana huko ndo mtoto anatengenezwa kitabia nini Cha kufanya kulingana na jinsi yake
Nakuelewa vizuri sana ndugu, lakini tunaishi kwenye ulimwengu ambao watoto wanakua exposed to the outside world, majumbani tunajaribu to our best kuhakikisha tunawapa malezi bora lakini wanapokwrnda mashuleni au sehemu zingine wanaaminishwa kwamba mtoto wa kike ni bira na anaweza kufanya kila jambo, huyu mtoto wa kike anajenga mentality ya kuwa yeye ni bora kuliko wa kiume na katika makuzi yake atakua akimdharau mtoto wa kiume, na huyu wa kiume anakosa ujasiri kwa kuona kwamba dunia nzima inasema mtoto wa kike ni bora, hiki sio jambo la kifamilia au mzazi, ni jambo la kitaifa kurudisha hadhi ya watoto wetu wa kiume na kuwajengea uweza sawa na hawa wa kike
 
This ideology of women empowerment will eventually backfire in the near future.
MUNGU hajawahi kukosea na wala hakukosea alipomuweka Mwanaume kuwa kichwa cha Mwanamke.

Kama kawaida yetu Wanadamu tumekuwa tukienda kinyume na matakwa ya MUNGU kwa kujiona tuna akili kumzidi Muumba wetu.

Sasa hivi wanawake wanathaminiwa na kupendelewa na kumsahau kabisa mtoto wa kiume ambaye literally ndiye kichwa cha mwanamke.

Bahati nzuri MUNGU aliliona hili na kutuonya kwenye kitabu cha Isaya 4:1
"na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako utuondolee aibu yetu".

Hii maana yake ni kwamba siku zinakuja wanaume wa maana watakuwa wachache sana kutokana na kubaguliwa kwa mtoto wa kiume sasa hivi.

Wanawake watakuwa na uwezo wa kula chakula chao na kuvaa mavazi yao bila kumtegemea Mwanaume lakini hawatakuwa na wanaume wa maana wa kuwaoa. Hivyo ratio itakuwa ni wanawake saba wenye kujitegemea kwa mwanaume mmoja (7:1)

Hali itakuwa mbaya sana. Tunapaswa kubadili huu mwelekeo wa kupendelea watoto wa kike.
Kwa kweli ni lazima tubadili huu mtazamo
 
Shida zao binafsi wameziamisha na kutaka kuwa agenda ya wanawake wote,ndio maana mwanamke anaye jitambua hawezi shiriki huu ujinga
Ni kweli lakini mpaka sasa jamii imeathirika kwa kiasi kikubwa, na watoto wa kiume wameathiriwa na hizi kampeni, na imeathiri pia watoto wa kike kwa sababu asilimia kubwa ya wanandoa wa sasa mzigo mkubwa wa kulea na kuhudumia familia umebaki kwa mwanamke, wengine wamebaki single mothers, vijana wetu wengi wanatumia madawa ya kulevya na hawana mwelekeo
 
Yaani hii ni mada mtambuka sana na umekuja na ufafanuzi mkubwa, moja kati ya madhara ya kuwainua wanawake yanaanza kuonekana sasa kwa kuwa na single moms wengi mitaani.

Kikubwa nafikiri ni familia na jamii kwa ujumla hasa kupitia taasisi za kidini ambazo zina ushawishi mkubwa kwenye jamii kutumia nafasi kuwafundisha watoto majukumu yao, bila kupendelea au kuegemea upande wowote ule.

Na kitu kingine nafikiri serikali inatakiwa iwe na sera ambazo zinamfanya mtu mwenye vigezo fulani achaguliwe mahali kwa qualifications, sio gender favour, hii kidogo ita-stimulate wototo wote kufanya vizuri kupata qualifications.
 
Yaani hii ni mada mtambuka sana na umekuja na ufafanuzi mkubwa, moja kati ya madhara ya kuwainua wanawake yanaanza kuonekana sasa kwa kuwa na single moms wengi mitaani.

Kikubwa nafikiri ni familia na jamii kwa ujumla hasa kupitia taasisi za kidini ambazo zina ushawishi mkubwa kwenye jamii kutumia nafasi kuwafundisha watoto majukumu yao, bila kupendelea au kuegemea upande wowote ule.

Na kitu kingine nafikiri serikali inatakiwa iwe na sera ambazo zinamfanya mtu mwenye vigezo fulani achaguliwe mahali kwa qualifications, sio gender favour, hii kidogo ita-stimulate wototo wote kufanya vizuri kupata qualifications.
Well said
 
Note: Andiko hili lilitolewa May 16, Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kiume Duniani.

Kuanzia mwaka 2018, Dr Jerome wa Trinidad and Tobago alifanikiwa kuitambulisha tarehe 16 May ya kila mwaka kama siku
Sijui ni kwanini imekua kama kumpandisha juu mwanamke ndio imeonekana njia bora ya utawala,
 
Mtoto wa kiume asiposoma anaambiwa wewe unaweza kuwa bodaboda, kuchimba mtaro, n.k.
Huwa nasikia "haki ya mtoto wa kike ", huwa nawaza kweli.
Vijana wa kiume wanafanya kazi za hatari ili jamii isonge mbele, na ndio msingi wa mafanikio yanayoobekana kwa sasa.
Najua kuna jamii watoto wa kiume wanaachishwa shule wakachunge ng'ombe, n.k, hayo hayasemwi kwenye media platforms yoyote.
Huu mziki wa femism tunaucheza kichwachwa, tukisahau hali halisi.
 
Leo mkifanya interview mnaweza kuwa wanaume 5 na mwanamke mmoja tu. Na nyinyi wanaume wote mkafaulu vizuri kuliko huyo mwanamke, lakini kazi anakuja kupewa huyo mwanamke. Hii kitu inauma sana na kiukweli inajenga chuki kubwa Sana kwa sisi wanaume kuelekea wanawake na unafikiria kama ukija Kupata nafasi za juu lazima utawakandamiza wanawake.

Ilitakiwa mtu anayefaulu vizuri ndiyo apewe kazi kuliko kuangalia jinsia.
 
Kwa kweli ni lazima tubadili huu mtazamo
Walisema wanawajengea shule zao kila wilaya walale huko

Hii tabia imefanya wasichana wengi wawe na jeuri viburi ukorofi ubabe ushenz mwingi

Mwanaume gan atakuoa?
Labda anaetaka kulelewa lkn atakukimbia tuu
 
Na pia kwa miaka hii ya karibuni limeibuka wimbi la watoto wa kiume ambao ni tegemezi au wanapenda kulelewa, hii ni moja ya impact ya hii kampeni ya kumwinua mtoto wa kike ambayo ilianza miaka mingi nyuma

Tusipoangalia hili jambo kwa jicho la tatu tutapoteza kizazi cha watoto wa kiume
Nime iscreenshot na nimeituma kwa waziri wa afya na maendeleo ya jamii waichongee flame ikae kariakoo na dodoma
 
Back
Top Bottom