Dhana ya Kumuinua Mtoto wa Kike ni bomu kwa Vizazi vijavyo

Dhana ya Kumuinua Mtoto wa Kike ni bomu kwa Vizazi vijavyo

The Future is Female
Ni kweki lakini lazima hiyo future iendane sambamba na watoto wa kiume, tunapozungumza dhana ya usawa wa kijinsia ni lazima tuwakumbuke hawa wa kiume pia, jamii ya sasa inapigania usawa wa kijinsia lakini inampigania mwanamke na kumuacha mtoto wa kiume
 
Madam Abrianna,

Uko sahihi kabisa. Kampeni ya kumwinua mtoto wa kike/ mwanamke na kumshusha mwanaume ni mpango mkubwa na madhara yake ni kuharibu kizazi cha mwanadamu.

Ni mpango unaotekelezwa na wakuu wa giza watumishi wa shetani wanaoitawala dunia.

Isaya alitabiri haya yapata miaka 700 kabla ya ujio wa Kristo.

Isaya 3: 12 Katika habari za watu wangu, watoto ndio wanaowaonea, na wanawake ndio wanaowatawala. Enyi watu wangu, wakuongozao wakukosesha, waiharibu njia ya mapito yako.

Kwa hio sio jambo la bahati mbaya au linalotokea by chance. Wenye jukumu la kutatua tatizo ni wakuu wa dini lakini nao wako busy na sadaka, siasa na umaarufu.


Biblia pia iko wazi kuhusu matokeo matokeo yake. Ndoa zitavurugika, wanawake hawataolewa na wanaume ndio hivyo watakuwa mashoga nk.

Isaya 4:1 Na siku hiyo wanawake saba watamshika mtu mume mmoja wakisema, Tutakula chakula chetu, na kuvaa nguo zetu wenyewe, lakini tuitwe tu kwa jina lako; utuondolee aibu yetu.
Asante sana ndugu, hii ni changamoto kwa kweli na tunahitaji hekima ya Kimungu kukabiliana nayo
 
Ni kweki lakini lazima hiyo future iendane sambamba na watoto wa kiume, tunapozungumza dhana ya usawa wa kijinsia ni lazima tuwakumbuke hawa wa kiume pia, jamii ya sasa inapigania usawa wa kijinsia lakini inampigania mwanamke na kumuacha mtoto wa kiume
Wapiganie wenyewe Kama ambavyo mtoto wa kike amepigania kufikia hapa.
Kibao kimegeuka....wapitie yale yale aliyopitia mtoto wa kike. Wamasai wanaita Karma😀
 
Wapiganie wenyewe Kama ambavyo mtoto wa kike amepigania kufikia hapa.
Kibao kimegeuka....wapitie yale yale aliyopitia mtoto wa kike. Wamasai wanaita Karma😀
Hili ni swala la jamii nzima na madhara yake ni kwa jqmii nzima espwcially kwa mtoto wa kike, hivi unadhani kuna mtoto wa kike anapenda kubeba mzigo wa kulea familia mwenyewe? Unadhani watoto wako au wajukuu zako watafurahi kulelewa na single mother? Unadhani wanawake wanapenda kukaa bila kupata waume wa kuwaoa. Tunawainua wanawake bila kujua hawa wanawake at some points bado watamuhitaji mume bora, baba bora, kiongozi bora, au hata mpenzi bora

Ni vizuri huu usawa kwenye fursa za elimu, ajira au hata uongozi zikaangaliwa na ziwe in favour of all genders bila kubagua
 
Hili ni swala la jamii nzima na madhara yake ni kwa jqmii nzima espwcially kwa mtoto wa kike, hivi unadhani kuna mtoto wa kike anapenda kubeba mzigo wa kulea familia mwenyewe? Unadhani watoto wako au wajukuu zako watafurahi kulelewa na single mother? Unadhani wanawake wanapenda kukaa bila kupata waume wa kuwaoa. Tunawainua wanawake bila kujua hawa wanawake at some points bado watamuhitaji mume bora, baba bora, kiongozi bora, au hata mpenzi bora

Ni vizuri huu usawa kwenye fursa za elimu, ajira au hata uongozi zikaangaliwa na ziwe in favour of all genders bila kubagua
Kama hawatapata mtu wa kuwaoa means ndoa hazitakuwepo. Watoto wa kiume wapambane wenyewe
 
Kama hawatapata mtu wa kuwaoa means ndoa hazitakuwepo. Watoto wa kiume wapambane wenyewe
Ndoa mi sehemu ya mzunguko wa maisha ya mwanadamu, we call it a part of human life cycle, kuzaliwa, ndoa na kufa, sio jambo unaweza kupigana nalo kwa maneno rahisi kama unavyozungumza, lets face this reality
 
Ndoa mi sehemu ya mzunguko wa maisha ya mwanadamu, we call it a part of human life cycle, kuzaliwa, ndoa na kufa, sio jambo unaweza kupigana nalo kwa maneno rahisi kama unavyozungumza, lets face this reality
Umuhimu wa ndoa upo kwa mtu binafsi. Cycle ni kuzaliwa, kuishi na kufa...suala la ndoa mmelilazimisha tu hapo. Na hii ni dhana ya muafrika sio ya binadamu wote
 
Hivi vitu haviji kwa bahati mbaya bali ni mpango wa muda mrefu wa sisi kutawaliwa, kila nchi ina tamaduni zake kwetu sisi mwanaume ndio ana sauti lakini wao wameanza mambo ya usawa sasa hivi tuna ndoa hazidumu, ushoga na vitu vingine vyote vinakuja kwa mgongo wa haki sawa. Wanafanya hivi wakati wao wenyewe yamewashinda ndio maana kuna vibabu vinakuja kuoa huku afrika na vibibi vinakuja kuolewa na vijana wadogo wa kiafrika.
 
Note: Andiko hili lilitolewa May 16, Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kiume Duniani.

Kuanzia mwaka 2018, Dr Jerome wa Trinidad and Tobago alifanikiwa kuitambulisha tarehe 16 May ya kila mwaka kama siku maalum ya kutambua mchango wa mtoto wa kiume katika jamii. Tangu mwaka 2012 UN ilipotambulisha tarehe 10 October ya kila mwaka kama siku ya mtoto wa kike Duniani, swali liliibuka kwa nini tunatenga watoto? Kwanini tuna siku ya mtoto wa kike na hatuna siku ya mtoto wa kiume?

Mercy Mchechu - Mkurugenzi Rightway Schools
Ni kweli ulichoandika Mkurugenzi. Tumeiga mambo ya magharibi yanayo mwinua sana mtoto wa kike badala ya kuwachukulia watoto wote sawa. Muda mrefu nimekuwa na shaka jinsi tunavyombagua mtoto wa kiume ( I need to declare my interest). Mimi ni mzazi na tuna mtoto mmoja wa kiume.

Lakin inashangaza kuona mtoto wa kike anaengwa sana kiasi unashindwa kuelewa kama watoto wa kiume ni watoto wanaotakiwa kwenye taifa hili au la! Ni muda umefika sasa, Taifa litilie maanani kuwajenga watoto wote bila ubaguzi, ama sivyo tutakuwa na taifa la ajabu. Mungu aliporuhusu ziwepo jinsia mbili hakufanya kwa bahati mbaya. Jinsia zote ni muhimu na zinategemeana! Mungu alinusuru taifa letu hizi sera za akina Alice Bailey.
 
Ni kweli ulichoandika Mkurugenzi. Tumeiga mambo ya magharibi yanayo mwinua sana mtoto wa kike badala ya kuwachukulia watoto wote sawa. Muda mrefu nimekuwa na shaka jinsi tunavyombagua mtoto wa kiume ( I need to declare my interest). Mimi ni mzazi na tuna mtoto mmoja wa kiume. Lakin inashangaza kuona mtoto wa kike anaengwa sana kiasi unashindwa kuelewa kama watoto wa kiume ni watoto wanaotakiwa kwenye taifa hili au la! Ni muda umefika sasa, Taifa litilie maanani kuwajenga watoto wote bila ubaguzi, ama sivyo tutakuwa na taifa la ajabu. Mungu aliporuhusu ziwepo jinsia mbili hakufanya kwa bahati mbaya. Jinsia zote ni muhimu na zinategemeana! Mungu alinusuru taifa letu hizi sera za akina Alice Bailey.
Asante ila mimi sio mwandishi wa hiyo makala, niliinukuu kutoka kwa muhusika ambar ni Mkurugenzi wa shule za rightway, niliona niielte hapa ili tujadili kwa upana
 
Muda wote nasoma nikadhani aliyeandika ni Mwanaume kumbe mwanamke? Daa mwanamke huyu anajitambua kweli
 
Harakati zozote zile za maendeleo zisipokuwa sawia, na nature focused huwa janga baadae.
Mifano hii :
1. Ugunduzi wa petrol ulileta shangwe nyingi mno, watu wote wakaona wametusua, na changamoto zote za kinishati watakuwa wanazikumbuka tu. Je hali ipoje kwa sasa?
2. Katikati mwa karne ya 20 binadamu alieendelea alishangilia kweli baada ya ugunduzi wa synthetic fibre na baadaye plastic. Je hali ipoje kwa sasa?
3. Kuelekea mwisho wa karne ya 20 (1980's) lilianza vuguvugu la Femism huko U. S wakataka hata kuwa na mitaa ya wanawake pekee. Takribani miaka 40 baadaye, sasa tunashuhudia kushamiri kwa kasi watetezi wa mambo ya ajabu kuwahi kutokea.
Bado hatujajifunza, tunawajengea mabinti shule zao kwa mbwembwe, muwe tayari kushangilia kufumuka kwa wimbi la wasagaji, single mothers n.k., tena sayansi imwezesha mbegu zinanunuliwa kana kwamba ni mbegu za mahindi.
 
Harakati zozote zile za maendeleo zisipokuwa sawia, na nature focused huwa janga baadae.
Mifano hii :
1. Ugunduzi wa petrol ulileta shangwe nyingi mno, watu wote wakaona wametusua, na changamoto zote za kinishati watakuwa wanazikumbuka tu. Je hali ipoje kwa sasa?
2. Katikati mwa karne ya 20 binadamu alieendelea alishangilia kweli baada ya ugunduzi wa synthetic fibre na baadaye plastic. Je hali ipoje kwa sasa?
3. Kuelekea mwisho wa karne ya 20 (1980's) lilianza vuguvugu la Femism huko U. S wakataka hata kuwa na mitaa ya wanawake pekee. Takribani miaka 40 baadaye, sasa tunashuhudia kushamiri kwa kasi watetezi wa mambo ya ajabu kuwahi kutokea.
Bado hatujajifunza, tunawajengea mabinti shule zao kwa mbwembwe, muwe tayari kushangilia kufumuka kwa wimbi la wasagaji, single mothers n.k., tena sayansi imwezesha mbegu zinanunuliwa kana kwamba ni mbegu za mahindi.
Hili jambo ukiliwaza kwa undani linasikitisha sana
 
Ni kweli hili suala ukiwa na watoto js teach them common sense

suala la haki makes sense kwa watu wanaopitia magumu kweli na kunyimwa haki
Humu mijini smtimes it doesnt make sense mana mazingira si yale ya zamani...na hakuna kitu binti anakosa.,
 
Wewe kwa mfano utakubali mwanao wa kike aongozwe na mwanaume badala ya kujiongoza mwenyewe? Hapa naongelea kwa mtizamo wa kujenga mtoto wa kike ujasiri na kujiamini.
Ujasiri ni suala zuri..
Shida ni mitazamo ya feminists its smtimes taken to the extremes...

and kijamii kuna binti ananyimwa shule ama fursa siku hizi?.
Wanawake wanatafuta haki zipi?.

Mtoto wa Kiume kweli naye aangaliwe aendelee kujengewa ujasiri na kujiamini zaidi pia
Isiwe mtoto wa kike tu
 
Back
Top Bottom