Hamna aliojua mwanzoni kwamba it will end into tears, ila nyie mabinti wa Machame Mungu anaona.
"Kwa sababu wote tulikuwa wa tumishi tulikubaliana mshahara wake ufanya maendeleo ya familia na wa kwangu utusaidia kwa substance ya kila siku, vikoba na mikopo tuliokopa yote kununulia plot ya kujenga nyumba mpaka tukahamia kwa miaka 7 yote ilisimamiwa na mshahara wa Mrs wangu, ndo anaejulikana kwenye vikoba na saccos za kukopesha vifaa vya ujenzi"
Ndoa ni kama gari mbovu inafikia hatua unaichoka kuitengeneza unaamua kuipaki ukilazimisha unaweza kupata hata ajali barabani au kutumia gharama kubwa zaidi.
Mwaka huu ndoa yao imekuwa beyond repairable inabidi watengane na wagawane mali walizochuma wote, ila chakushangaza Ngosha hajapewa chochote kwasababu ushahidi uliopo unaonyesha kwamba ni pesa ya mwanamke ndo iliotumika kufanya maendeleo yote na hati ya nyumba iko kwenye majina ya mwanamke.
Kiufupi ni kwamba huyu mtumishi mwenzangu iko 51 yrs hana nyumba au vitu vya ndani kwasasa, itabidi aanze kutafuta upya kama fresh graduate.
Mimi nimemshauri akubaliane na matokeo aanze new mindset mambo ya mahakama itampotezea muda bure na kumpa psychological torture.
"Kwa sababu wote tulikuwa wa tumishi tulikubaliana mshahara wake ufanya maendeleo ya familia na wa kwangu utusaidia kwa substance ya kila siku, vikoba na mikopo tuliokopa yote kununulia plot ya kujenga nyumba mpaka tukahamia kwa miaka 7 yote ilisimamiwa na mshahara wa Mrs wangu, ndo anaejulikana kwenye vikoba na saccos za kukopesha vifaa vya ujenzi"
Ndoa ni kama gari mbovu inafikia hatua unaichoka kuitengeneza unaamua kuipaki ukilazimisha unaweza kupata hata ajali barabani au kutumia gharama kubwa zaidi.
Mwaka huu ndoa yao imekuwa beyond repairable inabidi watengane na wagawane mali walizochuma wote, ila chakushangaza Ngosha hajapewa chochote kwasababu ushahidi uliopo unaonyesha kwamba ni pesa ya mwanamke ndo iliotumika kufanya maendeleo yote na hati ya nyumba iko kwenye majina ya mwanamke.
Kiufupi ni kwamba huyu mtumishi mwenzangu iko 51 yrs hana nyumba au vitu vya ndani kwasasa, itabidi aanze kutafuta upya kama fresh graduate.
Mimi nimemshauri akubaliane na matokeo aanze new mindset mambo ya mahakama itampotezea muda bure na kumpa psychological torture.