Dhana ya kuoa mtumishi mwenzake ili wasaidiane kimaendeleo imemponza

Dhana ya kuoa mtumishi mwenzake ili wasaidiane kimaendeleo imemponza

Hao ndio wanawake chako chao na chao kinabaki kuwa chao na familia ya kwao,ila ile familia mnayo ijenga ndani haimuhusu.

Sometimes huwaga na waelewa sana wanao amua kuoa wa mama wa nyumbani, halafu kesho kwenye MaTV utawasikia haki sawa,50/50.Sasa unajiuliza hii 50/50 ipo kwenye vitu gani?Hapo ndipo unapojua wanawake hata wanavyo jifanya kuvipigania hawajui nini maana yake, hizi harakati za usawa wa kijinsia sijui 50/50 ni mipango ya hizi NGO kupiga hela za wazungu.

Ila ushauri tu kwa wanaume wenzangu, husipigie budget hela ya mwanamke mara nyingi huambatana na dharau pamoja na kejeli na siku zote hela ya mwanamke ni chungu haijawahi kuwa tamu.
Wanaamini WAO ndyo wanastahili kupewa na kupendwa .Sawa Wanaume tunatimiza wajibu wetu wa kuwapenda na kuwatimizia Haja zao lakini WAO walipaswa watupe heshima na kutusikiliza .Lakini ndyo kwanza wanataka kuwa kama Baba wa familia. Wanakuwa na kiburi kwa waume zao lakini ndyo wanaowategemea .Kiburi wanakipeleka hadi chumbani na KUTUMIA Penzi kama silaha kwa wanaume. Hawa watu ni zaidi ya mbwa.in short wanawake ni selfish.
 
Hii kanuni yakipumbavu inayotumiwa na baadhi ya wanaume wenzangu sijui itakoma lini, unampangia majukumu mkeo? Mshahara wake? We ni mwehu? Mwanaume tumia kipato chako kuhudumia familia yako, waishi kulingana na kipato chako, acha kutaka maisha ya juu kwakutegemea pesa ya mke. Kama unapata milion na mkeo anakusanya milion 5, panga ratiba na matumizi yako kulingana na milion, mkeo achana na pesa zake, akitaka kujitolea hewala ila usimpangie na jenga kibanda kwa pesa zako, u ajengewaje? Wanaume tunazidi kupungua
Kweli kabisa hizo pesa zao zinatoka kwa dharau shombo na machungu.
 
Mwanaume unaoa mwanamke ili akusaidie kulea familia?Lazima una udumavu wa akili.Oa mke umpendaye ili muishi kwa mapenzi na amani.Siyo ili aje akusaidie au achangie kujenga nyumba.
Mimi napingana na wewe!!

Hii mindset yako imejengwa na wanawake wenyewe kwamba wao wamekuja ndani ya ndoa kuzaa tu.
Labda nikuulize, nini kilichokua kina wafanya babu zetu na baadhi ya baba zetu wengi kuoa wake wengi???
Ule ndio ulikua utamaduni wetu kabla dini hazijaja kutubadilishia kanuni ya mke mmoja mume mmoja.
Kwa za a hizi, nakubaliana na wewe kwamba kama umetambua wajibu ya mwanaume ni kutafuta mkate wa kila siku kwa ajili ya familia yako, basi lazma utambue pia wajibu wa mwanamke ni upi katika familia.

Kama mimi ntahusika kuleta chakula ndani, kusomesha watoto, kuwajengea makazi familia yangu, kumvisha mke wangu, kuwavisha watoto wangu, kulipa bili zote za home including ving'amuzi nk nk, basi hata huyu mke inabidi asimame kidete kwenye nafasi yake kama mke, ikiwa ni kunihakikishia tangu nimeamka asubuhi nimeandaliwa vizuri, watoto wapo Safi, tunakula na kunywa kwa wakati, nyumba inakua Safi na hapo hata kiwi awe na msaidizi (house girl) kwasababu yupo full kwenye majukumu yake.

Sasa kwa maisha tuishiyo sasa, wanawake pia wanakwenda makazini. Muda anaotoka kazini huenda unafanana na wako. Huenda pia kazi yake ina majukumu mengi kuliko yako. Sasa kama wewe unafanya majukumu yako ya nyumbani yooote, je huoni kwamba muda wake yeye mwingi unaishi kazini kwake (ambako wewe huna faida nako)

Kwa hiyo mimi naona, kama ameajiliwa, atachangia tu maendeleo ya nyumbani atake asitake, kinyume cha hapo akae nyumbani ili kila mtu afanye wajibu wake kwenye familia.

NB kuoa wake wengi ilikua ni kukusanya nguvu kwa ajili ya kufanya kazi kujenga familia na kuleta heshima ndani.
 
Kinacho sababisha hayo yote ni kipato duni cha watumishi kwa mfano unapokea take home 500k unaishi Dar kweli hiyo pesa utaweza kutoboa kimaisha unalazimika kutafuta mwenzako mwenye mshahara kama huo, hamna mwanaume anae penda kusaidiwa na demu ila tu ndohivo
Huu sio uanaume,
tafuta wa level yako,
Wanawake Ni wengi mno mkuu
 
Hamna alio jua mwanzoni kwamba it will end into tears, ila nyie mabinti wa Machame Mungu anaona.

"Kwa sababu wote tuli kua wa tumishi tuli kubaliana mshahara wake ufanya maendeleo ya familia na wa kwangu utusaidia kwa substance ya kila siku, vikoba na mikopo tulio kopa yote kununulia plot ya kujenga nyumba mpaka tuka hamia kwa miaka 7 yote ilisimamiwa na mshahara wa Mrs wangu, ndo anae julikana kwenye vikoba na saccos za kukopesha vifaa vya ujenzi"

Ndoa ni kama gari mbovu inafikia hatua unaichoka kuitegeneza una amua kuipaki ukilazimisha unaweza kupata hata ajali barabani au kutumia gharama kubwa zaidi.

Mwaka hu ndoa yao imekua beyond repairable inabidi wa tengane na wa gawane mali walizo chuma wote, ila chakushangaza Ngosha hajapewa chochote kwasbb ushahidi uliopo unaonyesha kwamba ni pesa ya mwanamke ndo iliotumika kufanya maendeleo yote na hati ya nyumba iko kwenya majina ya mwana mke.

Kiufupi ni kwamba huyu mtumishi mwenzangu iko 51yrs hana nyumba au vitu vya ndani kwasasa, itabidi aanze kutafuta upya kama fresh graduate.

Mimi ni memshauri akubaliane na matokeo aanze new mindset mambo ya mahaka itampotezea mda bure na kumpa psychological torture.

Kama hamjui sheria muulize. Is not the matter jina la nani. What matters is, Mali ilipatikana wakati Kuna ndoa halali na hapakuwepo na makubaliano ya umiliki binafsi.
 
ALIOA KAHABA, MDANGAJI!

MKE NA MUME NI KITU KIMOJA KUANZIA KUCHANGIA VIKOJOLEO, KUZAA, KUPANGA BAJETI N.K

MKE IKITOKEA HANA AJIRA MUME INABIDI UMFUNGULIE MRADI ILI KUOKOA JAHAZI HAPO NYUMBANI.

IKITOKEA UNAOA MKE MBINAFSI SIKU UKIPATA UGONJWA AU KUFUKUZWA KAZI MAJI UTAITA MMAA.
 
Hii kanuni yakipumbavu inayotumiwa na baadhi ya wanaume wenzangu sijui itakoma lini, unampangia majukumu mkeo? Mshahara wake? We ni mwehu? Mwanaume tumia kipato chako kuhudumia familia yako, waishi kulingana na kipato chako, acha kutaka maisha ya juu kwakutegemea pesa ya mke. Kama unapata milion na mkeo anakusanya milion 5, panga ratiba na matumizi yako kulingana na milion, mkeo achana na pesa zake, akitaka kujitolea hewala ila usimpangie na jenga kibanda kwa pesa zako, u ajengewaje? Wanaume tunazidi kupungua
HUYO ANAKUWA SIO MKE ILA NI MDANGAJI AU MALAYA ANAYEJIUZA

TAFUTA MTU ALIYEFUNGA NDOA KANISANI, AKAHUDHURIA HADI MAFUNZO/SEMINA ZA NDOA AKUFUNDISHE MAANA YA NDOA AU MWILI MMOJA KISHA UANDIKE HUO ....WAKO HAPA
 
Mimi napingana na wewe!!
Hii mindset yako imejengwa na wanawake wenyewe kwamba wao wamekuja ndani ya ndoa kuzaa tu.
Labda nikuulize, nini kilichokua kina wafanya babu zetu na baadhi ya baba zetu wengi kuoa wake wengi???
Ule ndio ulikua utamaduni wetu kabla dini hazijaja kutubadilishia kanuni ya mke mmoja mume mmoja.
Kwa za a hizi, nakubaliana na wewe kwamba kama umetambua wajibu ya mwanaume ni kutafuta mkate wa kila siku kwa ajili ya familia yako, basi lazma utambue pia wajibu wa mwanamke ni upi katika familia.
Kama mimi ntahusika kuleta chakula ndani, kusomesha watoto, kuwajengea makazi familia yangu, kumvisha mke wangu, kuwavisha watoto wangu, kulipa bili zote za home including ving'amuzi nk nk, basi hata huyu mke inabidi asimame kidete kwenye nafasi yake kama mke, ikiwa ni kunihakikishia tangu nimeamka asubuhi nimeandaliwa vizuri, watoto wapo Safi, tunakula na kunywa kwa wakati, nyumba inakua Safi na hapo hata kiwi awe na msaidizi (house girl) kwasababu yupo full kwenye majukumu yake.
Sasa kwa maisha tuishiyo sasa, wanawake pia wanakwenda makazini. Muda anaotoka kazini huenda unafanana na wako. Huenda pia kazi yake ina majukumu mengi kuliko yako. Sasa kama wewe unafanya majukumu yako ya nyumbani yooote, je huoni kwamba muda wake yeye mwingi unaishi kazini kwake (ambako wewe huna faida nako)
Kwa hiyo mimi naona, kama ameajiliwa, atachangia tu maendeleo ya nyumbani atake asitake, kinyume cha hapo akae nyumbani ili kila mtu afanye wajibu wake kwenye familia.

NB kuoa wake wengi ilikua ni kukusanya nguvu kwa ajili ya kufanya kazi kujenga familia na kuleta heshima ndani.
Mtazamo wako si mbaya.Ingawa umejikita kwamba kama mke anafanya kazi achangie maendeleo.Sawa ila mimi simlazimishi atoe hela.Akitoa sawa na akinunulia vipodozi haina neno.
 
Ishu ya kushare na mke siitaki ata kdg kuna kiwanja changu nishakianza foundation naona wife anajitiatia kwamba anichukulie mkopo bank tunyanyue yote nimemwabia ukwel kwamb sitaki ata 100 yake 😂 na nyumba yng nikimaliza namuandikia mdog wng
Mmefunga NDOA kabisa na watoto juu ndio kiwanja na hela ziwatoe imani? Mtakuja kuuana nyie kiss hela na kiwanja
 
Ishu ya kushare na mke siitaki ata kdg kuna kiwanja changu nishakianza foundation naona wife anajitiatia kwamba anichukulie mkopo bank tunyanyue yote nimemwabia ukwel kwamb sitaki ata 100 yake [emoji23] na nyumba yng nikimaliza namuandikia mdog wng
Bora umwandike wife hata ukifa ataishi na wanao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
H
Hamna alio jua mwanzoni kwamba it will end into tears, ila nyie mabinti wa Machame Mungu anaona.

"Kwa sababu wote tuli kua wa tumishi tuli kubaliana mshahara wake ufanya maendeleo ya familia na wa kwangu utusaidia kwa substance ya kila siku, vikoba na mikopo tulio kopa yote kununulia plot ya kujenga nyumba mpaka tuka hamia kwa miaka 7 yote ilisimamiwa na mshahara wa Mrs wangu, ndo anae julikana kwenye vikoba na saccos za kukopesha vifaa vya ujenzi"

Ndoa ni kama gari mbovu inafikia hatua unaichoka kuitegeneza una amua kuipaki ukilazimisha unaweza kupata hata ajali barabani au kutumia gharama kubwa zaidi.

Mwaka hu ndoa yao imekua beyond repairable inabidi wa tengane na wa gawane mali walizo chuma wote, ila chakushangaza Ngosha hajapewa chochote kwasbb ushahidi uliopo unaonyesha kwamba ni pesa ya mwanamke ndo iliotumika kufanya maendeleo yote na hati ya nyumba iko kwenya majina ya mwana mke.

Kiufupi ni kwamba huyu mtumishi mwenzangu iko 51yrs hana nyumba au vitu vya ndani kwasasa, itabidi aanze kutafuta upya kama fresh graduate.

Mimi ni memshauri akubaliane na matokeo aanze new mindset mambo ya mahaka itampotezea mda bure na kumpa psychological torture.
Hawana watoto? Na Kama wana watoto nyumba sio Kitu kikubwa sana. Aache watoto waendelee kuishi.
 
Ishu ya kushare na mke siitaki ata kdg kuna kiwanja changu nishakianza foundation naona wife anajitiatia kwamba anichukulie mkopo bank tunyanyue yote nimemwabia ukwel kwamb sitaki ata 100 yake 😂 na nyumba yng nikimaliza namuandikia mdog wng
We ndo una ukichaa kidgo, hUyo dogo siku akija kukutoa kwenye nyumba yake utatia Akili Naona. Me nilifikir unamuandika hata Maza.. je hamna watoto??
 
Hamna alio jua mwanzoni kwamba it will end into tears, ila nyie mabinti wa Machame Mungu anaona.

"Kwa sababu wote tuli kua wa tumishi tuli kubaliana mshahara wake ufanya maendeleo ya familia na wa kwangu utusaidia kwa substance ya kila siku, vikoba na mikopo tulio kopa yote kununulia plot ya kujenga nyumba mpaka tuka hamia kwa miaka 7 yote ilisimamiwa na mshahara wa Mrs wangu, ndo anae julikana kwenye vikoba na saccos za kukopesha vifaa vya ujenzi"

Ndoa ni kama gari mbovu inafikia hatua unaichoka kuitegeneza una amua kuipaki ukilazimisha unaweza kupata hata ajali barabani au kutumia gharama kubwa zaidi.

Mwaka hu ndoa yao imekua beyond repairable inabidi wa tengane na wa gawane mali walizo chuma wote, ila chakushangaza Ngosha hajapewa chochote kwasbb ushahidi uliopo unaonyesha kwamba ni pesa ya mwanamke ndo iliotumika kufanya maendeleo yote na hati ya nyumba iko kwenya majina ya mwana mke.

Kiufupi ni kwamba huyu mtumishi mwenzangu iko 51yrs hana nyumba au vitu vya ndani kwasasa, itabidi aanze kutafuta upya kama fresh graduate.

Mimi ni memshauri akubaliane na matokeo aanze new mindset mambo ya mahaka itampotezea mda bure na kumpa psychological torture.
Tangu lini pesa ya mwanamke ikajengea? Mwanamke ilitakiwa aachiwe majukumu ya ndani na yeye ndio asimamie ujenzi, pumbavu kabisa alikana majukumu yake kama Baba. Wacha avune anachostahili
 
Hamna alio jua mwanzoni kwamba it will end into tears, ila nyie mabinti wa Machame Mungu anaona.

"Kwa sababu wote tuli kua wa tumishi tuli kubaliana mshahara wake ufanya maendeleo ya familia na wa kwangu utusaidia kwa substance ya kila siku, vikoba na mikopo tulio kopa yote kununulia plot ya kujenga nyumba mpaka tuka hamia kwa miaka 7 yote ilisimamiwa na mshahara wa Mrs wangu, ndo anae julikana kwenye vikoba na saccos za kukopesha vifaa vya ujenzi"

Ndoa ni kama gari mbovu inafikia hatua unaichoka kuitegeneza una amua kuipaki ukilazimisha unaweza kupata hata ajali barabani au kutumia gharama kubwa zaidi.

Mwaka hu ndoa yao imekua beyond repairable inabidi wa tengane na wa gawane mali walizo chuma wote, ila chakushangaza Ngosha hajapewa chochote kwasbb ushahidi uliopo unaonyesha kwamba ni pesa ya mwanamke ndo iliotumika kufanya maendeleo yote na hati ya nyumba iko kwenya majina ya mwana mke.

Kiufupi ni kwamba huyu mtumishi mwenzangu iko 51yrs hana nyumba au vitu vya ndani kwasasa, itabidi aanze kutafuta upya kama fresh graduate.

Mimi ni memshauri akubaliane na matokeo aanze new mindset mambo ya mahaka itampotezea mda bure na kumpa psychological torture.
Kama ana ndoa kamili aende mahakamani.. inakuwaje na yye anakubali kutoka kirahis kwenye nyumba coz mke alijenga na yeye akiwa anatimiza majukumu mengine. Hapa ndipo atapta pumziko la nafsi, na Nina uhakika atashinda tu, na Baada ya Hapo anaweza kumuachia mwanamke aendelee kuishi ila kaheshima katakuwepo. Asisikilize maneno ya Watu??
 
Ishu ya kushare na mke siitaki ata kdg kuna kiwanja changu nishakianza foundation naona wife anajitiatia kwamba anichukulie mkopo bank tunyanyue yote nimemwabia ukwel kwamb sitaki ata 100 yake [emoji23] na nyumba yng nikimaliza namuandikia mdog wng
Mkuu mbona una roho hiyo kwani wewe hauna watoto husiwe na roho hiyo husiwachukie wanawake huyo umesema ni mke wako tena kajitokeza kukopa pesa kwaajili ya familia lakini we hutaki" sasa wanawake wakitumia pesa zao peke yao tuna walaumu, mfano huyo mke wako angekopa pesa akajega nyumba yake naamini ungekuja hapa kuleta mada, Huyo mdogo wako ukimuandika kwenye hati ya nyumba au mali zako humkomoi huyo mkeo bali unawakomoa watoto wako ndiyo watakuja kuteseka. Nimeanza kuwaelewa Wanzugu kwanini wanamjali sana mwanamke na watoto kuna pakujifunza hapa, Tatizo sisi wa Africa tunaamini mali ndiyo kila kitu yani tunaweza kufanya jambo baya kuwaajiri tu ya kupata mali.
 
Na wanakuwaga na uchungu na Hela zao unakuta amekuzidi mshahara lakini anakodolea sana za kwako kidogo
Wanawake waki Tanzania mkuu, Mimi kuna marafiki zangu wameoa wazungu lakini wanatumia pesa za wake zao na wamejengewa Nyumba za kuishi na wamefunguliwa biashara kubwa, Tatizo dada zetu bado washamba wakumiliki pesa
 
Back
Top Bottom