Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Umeongea kwa uchungu sana ila huo ndio ukweli wenyewe.Kinacho sababisha hayo yote ni kipato duni cha watumishi kwa mfano unapokea take home 500k unaishi Dar kweli hiyo pesa utaweza kutoboa kimaisha unalazimika kutafuta mwenzako mwenye mshahara kama huo, hamna mwanaume anae penda kusaidiwa na demu ila tu ndohivo