ARGAN MARA
JF-Expert Member
- Aug 2, 2016
- 1,020
- 2,716
Hakubatika kupata watoto na huyo mwanamke?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ana asili ya ujimga atafanya ujinga tu.Dawa siyo kubanana.Hakuna uhuru usio na mipaka, mpe uhuru usio na mipaka mwanamke (iwe financially au socially) ipo siku utajuta.
Mmh !!!! hilo gumu kumeza kamanda kacheck jinsia yako vizuri usije akawa una double genda.Wee wa ajabu kweli,kuchepuka kwa mke wangu Mimi hakunihusu hata kidogo,Mimi Nina miaka kumi na tano kwenye ndoa yangu,sio kijana Mimi,na hiyo ndo mifumo yangu,tatizo lenu vijana mnawaza upuuzi ,eti mke kuchepuka ,Sasa shida iko wapi,nikivumilia namsamehe ,nikishindwa tuanaachana.
Kama ana asili ya ujimga atafanya ujinga tu.Dawa siyo kubanana.
Mmh !!!! hilo gumu kumeza kamanda kacheck jinsia yako vizuri usije akawa una double genda.
Hpn kwa sas bado sijafikiria icho kitu kbs
Hatuna watot bado ila mda c mrefu tutakua nae na cn mama wala baba wote walishafarik na mdog wng sidhan kama anaweza fanya ukatili uwoWe ndo una ukichaa kidgo, hUyo dogo siku akija kukutoa kwenye nyumba yake utatia Akili Naona. Me nilifikir unamuandika hata Maza.. je hamna watoto??
Mkuu bado hatujabarikiw mtt ila mda c mrefu tutakua nae na alipokuja na wazo ilo me mwenyewe nilimwambia atafuta sehem anunue kiwanja ajenge ya kwake na sio kwamba nafanya ivo kwa kumkoa wife hapan namjua mim mke wng na namuamini sana tu ila ni ana mdomo na kiburi hatar 😂 imagine anajinunulia vitu kwa hela zake ila status anawaringishia wifi zake kuwa nimemnunulia me yaani ni ake mwezi bila ya kutukanana na wifi zake ni kitu asichoweza kbs yaaanMkuu mbona una roho hiyo kwani wewe hauna watoto husiwe na roho hiyo husiwachukie wanawake huyo umesema ni mke wako tena kajitokeza kukopa pesa kwaajili ya familia lakini we hutaki" sasa wanawake wakitumia pesa zao peke yao tuna walaumu, mfano huyo mke wako angekopa pesa akajega nyumba yake naamini ungekuja hapa kuleta mada, Huyo mdogo wako ukimuandika kwenye hati ya nyumba au mali zako humkomoi huyo mkeo bali unawakomoa watoto wako ndiyo watakuja kuteseka. Nimeanza kuwaelewa Wanzugu kwanini wanamjali sana mwanamke na watoto kuna pakujifunza hapa, Tatizo sisi wa Africa tunaamini mali ndiyo kila kitu yani tunaweza kufanya jambo baya kuwaajiri tu ya kupata mali.
kabisa nakuunga mkonoMwanaume unaoa mwanamke ili akusaidie kulea familia? Lazima una udumavu wa akili. Oa mke umpendaye ili muishi kwa mapenzi na amani. Siyo ili aje akusaidie au achangie kujenga nyumba.
Mkuu kiukwel bor mali zangu zote nitakazo miliki ziwe kweny uwangaliz wa familia yng mpk wanangu watakapokuw wakubw ndio zihamishiwe kwao na kama njia iyo kisheria ipo bora nifanye ivo tu hakuna namna nyengineDon't do this Mkuu, utaleta ugomvi mkubwa sana hapo baadae, wewe andika jina lako kwenye hiyo hati, na Kama huwezi kuandika jina lako andika jina la mtoto wako wa kuzaa wewe.
Tuna Kesi mahakamani yenye scenario Kama hii, huu Ni mwaka wa pili bado inaunguruma. Look very
Cn mtt ata 1 kwa sas nitakuja kuandikia hapo baadae nikishakua nao na wawe washajielew kdg ila kwa sas hpnAndika mdogo wako ili kesho nae aoe/ aolewe halafu mwenza wake amshawishi wachukulie mkopo au wadai mali yao. Kuandika majina ya ndugu au wazazi yamewacost wengi sana kuna visa kadhaa watu wanapoteza mali zao kisa waliandika ndugu au wazazi. Jenga nyumba andika jina lako au mwanao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa 😂Una matatizo ya AKILI.
Mkuu wana watoto watatu na huyu bibie wamachame, ila huyu mwanaume hiyo ndoa ni ya pili ya kwanza elishindikana pia.Ana watoto?Nimewaza sana uliposemaWamachame Mungu anawaona...
Huyo dogo wa kike au wakiumeHatuna watot bado ila mda c mrefu tutakua nae na cn mama wala baba wote walishafarik na mdog wng sidhan kama anaweza fanya ukatili uwo
Kama mwanamke ninjeur apambane mahakamani, Mahakama itatoa Haki Kwa wote halafu yeye anaweza mruhusu huyu mwanamke akae Nayo Kwa ajili ya watoto, Muda mwingne Mahakama inaweza toa amri kuwa nyumba ni ya watoto, afanye HiVi ilikuweka rekord saw a.Mkuu wana watoto watatu na huyu bibie wamachame, ila huyu mwanaume hiyo ndoa ni ya pili ya kwanza elishindikana pia.
Wanaume watamjaza bichwa kwenda kudai Haki kama baba wa familia ni udhaifu wakati wana mtoto.Kama ana ndoa kamili aende mahakamani.. inakuwaje na yye anakubali kutoka kirahis kwenye nyumba coz mke alijenga na yeye akiwa anatimiza majukumu mengine. Hapa ndipo atapta pumziko la nafsi, na Nina uhakika atashinda tu, na Baada ya Hapo anaweza kumuachia mwanamke aendelee kuishi ila kaheshima katakuwepo. Asisikilize maneno ya Watu??
Mwanamke mwenye guts za kukwambia utoke kwenye nyumba mliojenga kwa ajili ya familia na watoto unahisi atakuwa sio jeuri? Hadi anafikia hapo amevumilia mengi sana huyo jamaa.Kama mwanamke ninjeur apambane mahakamani, Mahakama itatoa Haki Kwa wote halafu yeye anaweza mruhusu huyu mwanamke akae Nayo Kwa ajili ya watoto, Muda mwingne Mahakama inaweza toa amri kuwa nyumba ni ya watoto, afanye HiVi ilikuweka rekord saw a.
Hana Cha kupoteza adai Haki yake! Na hukumu yake itakuwa funzo Kwa mfumo jike unaotka kujitutumua.