Ulongupanjala
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 8,273
- 13,567
Na juzi nimemwona msela katoka ndani ya hiyo nyumba na taulo looks ametoka kunyandua huyo wife wa jamaa.Acha godoro hata vyombo vya ndani hana inabidi aanze upya kibaya zaidi haruhusiwì hata kuingia ndani ya nyumba yake tena yule mama alimpiga pin kabisa
Mpe pole vijana ishini na wanawake kwa tahadhari.