Dhana ya kuoa mtumishi mwenzake ili wasaidiane kimaendeleo imemponza

Dhana ya kuoa mtumishi mwenzake ili wasaidiane kimaendeleo imemponza

Acha godoro hata vyombo vya ndani hana inabidi aanze upya kibaya zaidi haruhusiwì hata kuingia ndani ya nyumba yake tena yule mama alimpiga pin kabisa
Na juzi nimemwona msela katoka ndani ya hiyo nyumba na taulo looks ametoka kunyandua huyo wife wa jamaa.
Mpe pole vijana ishini na wanawake kwa tahadhari.
 
Bora umwandike wife hata ukifa ataishi na wanao

Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona sasa ujinga huu. Kwa nini ifikiriwe "Mwanaume ukifa". Unajua mikosi mingine tu naitengeneza sisi wenyewe.
Hujui maisha baada ya kifo chako itakuaje. Unaweza ukafa na miaka 30, umeachia mke mwenye miaka 26, na watoto wawili wadogo. Umeachia nyumba moja na Gari mbili.
Hiyo nyumba yako na magari yako yanaweza kuja kutumia na mwanaume mwingine. Chumba chako itakua chumba chake hicho na kitanda chako kitatumika kuzaa watoto wengine.
Jamaa anaposema atamwandika dada yake, mi nimemuelewa. Siwezi kuandika mtoto wangu inawezekana pia sio wa kwangu. Ila dada yangu nna uhakika ni dada yangu, damu yangu. Akaishi vizur na shemeji yangu [emoji16][emoji16]
 
Mkuu mpaka watoto watakapo jielewa wewe unajua utaishi miaka mingapi mfano ukifa leo na mkeo mjamzito na mali zote umeandika jina mdogo wako unafikiri itakuwaje kwa watoto wako? We unajua Marengo ya huyo mdogo wago na yeye ana Marengo yake hizo mali ulizo mmilikisha zitaleta mgogoro mkubwa mfano unawatoto 5, na mdogo wako ana watoto 5 na mali zako umemuandikisha huyo mdogo wako kwa bahati mbaya akafariki unafikiri hizo mali zako utazipata? Kisheria hizo mali ni za mke na watoto wa mdogo wako ndiyo wakuwa wa rithi na siyo wewe na mke wake na watoto watakuona kama mdhurumaji.
Mkuu kwa sas bado sijaandika coz ndo kwanz nyumba naanza kuijenga sas ila nikimaliza nafikir kufanya ivo mali zangu zote nitakazomiliki nitaziweka kisheria chini ya usimamiz wa familia yng ujue home tumezaliwa 5 tu na me ndo peke wa kiume waliobakia wote wameshaolewa isipokua 1 tu wa mwish ambae bado anasoma bado yupo primary
 
Uwongooooo.... Huko huko uzunguni si ndipo pameshamiri ndoa za mikataba?

Unajua chanzo ni nini haswa?
Hapa tunazungumzia mwanamke waki Tanzania akiwa na kipato ndani ya ndoa au kwenye mahusiano anaficha pesa zake anatumia pesa za mume au mpenzi wake, na chingine kwenye ndoa mwanaume akiishiwa pesa au akifukuzwa kazi mke hawezi kukubali pesa zake zitumike, Tofauti na wenzetu wazungu mwanaume unaweza ukakosa kazi na ukatumia pesa za mke wako au mpenzi, na Wazungu wakiwa kwenye uchumba kila mtu anatumia pesa zake na mwanaume akiwa hana pesa atasaidiwa na mpenzi wake, tofauti na wanawake waki Tanzania mfano mwanamke waki Tanzania akimsaidia pesa au akimpa zawadi mpenzi wake lazima wanawake wenzake watamshangaa na ndugu zake watamkataza.
 
Umeona sasa ujinga huu. Kwa nini ifikiriwe "Mwanaume ukifa". Unajua mikosi mingine tu naitengeneza sisi wenyewe.
Hujui maisha baada ya kifo chako itakuaje. Unaweza ukafa na miaka 30, umeachia mke mwenye miaka 26, na watoto wawili wadogo. Umeachia nyumba moja na Gari mbili.
Hiyo nyumba yako na magari yako yanaweza kuja kutumia na mwanaume mwingine. Chumba chako itakua chumba chake hicho na kitanda chako kitatumika kuzaa watoto wengine.
Jamaa anaposema atamwandika dada yake, mi nimemuelewa. Siwezi kuandika mtoto wangu inawezekana pia sio wa kwangu. Ila dada yangu nna uhakika ni dada yangu, damu yangu. Akaishi vizur na shemeji yangu [emoji16][emoji16]
Hawajui hela ya mwanamke ilivo na masimango hawa 😂 yaani mwanamke akikupa hela yake itakutokea puani me nipo tyr nimsaidie wife kujenga kweny kiwanja chake kuliko kuchukua hela yake na kuitia kweny kiwanja changu
 
Na juzi nimemwona msela katoka ndani ya hiyo nyumba na taulo looks ametoka kunyandua huyo wife wa jamaa.
Mpe pole vijana ishini na wanawake kwa tahadhari.
Hilo liko pale pale hamna mwanamke anae pata kibri bila kua na mwanaumme mgine mbadala ni suala la mda wanawake ni shetani kubwa sanaa sio watu wa kuchekea chekea anaweza kuchangia kifo chako mapema tu.
 
Mwanaume anaejitambua na mtafutaji haogopi na kukataa support ya mkewe eti kisa kesho mwanamke atagawana nae mali wakaichanaa.. wewe mkeo anasema chukua hii hela uongezee tununue tofali unakataa eti unataka ujenge peke ako alafu uandike jina la MDOGO WAKO yani wewe ni mafiiiii. Mfundishe mkeo kubeba majukumu ya kifamilia na mshirikishe juu ya biashara kama unazo kesho UKIFARIKI maana wanaume tunatangulia sana mkeo asipate shida na familia unaacha miradi kibao mkeo hajui hata aanzie wapi mwisho wa siku unafanya hayo yote sababu ya WANAO sio mtu mwingine yoyote maana hao ukiwa haupo ndio watakaopata shida kuliko hata hao ndugu zako wao watakuwa huko na familia zao haya yote naongea tokana na expirience NDUGU HAWANA FADHILA MWANAUME MJALI MKEO NA WANAO. Mkeo ndo anauchungu na wanao unaandika jina la mdogo wako kesho haupo wanao na mkeo wanafukuzwa kwenye nyumba uliyojenga sababu ya ubinafsi wako hata ukiandika jina la wazazi wako hizo mali ipo siku ndugu zako watawadhurumu wanao.
 
Ni sheria za kiuwendawazimu tu zinafuatwa.
Je, hiyo nyumba ingekuwa ina majina ya mume unadhani mke angekubali kuiacha kirahisi?
Je, mahakama ingempa mume hiyo nyumba 100% kwakuwa ina majina yake?
Aamke aache ujinga.
Sifanyi ujinga wa kuoa mke anayepokea mshahara.
 
Umeona sasa ujinga huu. Kwa nini ifikiriwe "Mwanaume ukifa". Unajua mikosi mingine tu naitengeneza sisi wenyewe.
Hujui maisha baada ya kifo chako itakuaje. Unaweza ukafa na miaka 30, umeachia mke mwenye miaka 26, na watoto wawili wadogo. Umeachia nyumba moja na Gari mbili.
Hiyo nyumba yako na magari yako yanaweza kuja kutumia na mwanaume mwingine. Chumba chako itakua chumba chake hicho na kitanda chako kitatumika kuzaa watoto wengine.
Jamaa anaposema atamwandika dada yake, mi nimemuelewa. Siwezi kuandika mtoto wangu inawezekana pia sio wa kwangu. Ila dada yangu nna uhakika ni dada yangu, damu yangu. Akaishi vizur na shemeji yangu [emoji16][emoji16]
Mkuu na huyo dada yake si atakuja kuzitumia na mpenzi wake na hasiolewe nae akazalishwa na akaja kuolewa na mtu mwingine unadhani huyo mwanaume akija kujua mali anazo tumiani ni za marehemu shemeji yake na kaacha watoto watoto huyo mwanaume si atafanya jitihada za kuhamisha mali kwa kutumia kuchukulia mkopo
 
Umeona sasa ujinga huu. Kwa nini ifikiriwe "Mwanaume ukifa". Unajua mikosi mingine tu naitengeneza sisi wenyewe.
Hujui maisha baada ya kifo chako itakuaje. Unaweza ukafa na miaka 30, umeachia mke mwenye miaka 26, na watoto wawili wadogo. Umeachia nyumba moja na Gari mbili.
Hiyo nyumba yako na magari yako yanaweza kuja kutumia na mwanaume mwingine. Chumba chako itakua chumba chake hicho na kitanda chako kitatumika kuzaa watoto wengine.
Jamaa anaposema atamwandika dada yake, mi nimemuelewa. Siwezi kuandika mtoto wangu inawezekana pia sio wa kwangu. Ila dada yangu nna uhakika ni dada yangu, damu yangu. Akaishi vizur na shemeji yangu [emoji16][emoji16]
dada yako akipata mwanaume ujue hizo mali sio zaw dada yakooo ni mali za mwanaume mwingine ambae hata hakutoa jasho ila anazila sababu ya ujinga wako.. yani huoni hata aibu kusema watoto sio wako kweli kizazi cha ovyoo sanaa.
 
Mwanaume anaejitambua na mtafutaji haogopi na kukataa support ya mkewe eti kisa kesho mwanamke atagawana nae mali wakaichanaa.. wewe mkeo anasema chukua hii hela uongezee tununue tofali unakataa eti unataka ujenge peke ako alafu uandike jina la MDOGO WAKO yani wewe ni mafiiiii. Mfundishe mkeo kubeba majukumu ya kifamilia na mshirikishe juu ya biashara kama unazo kesho UKIFARIKI maana wanaume tunatangulia sana mkeo asipate shida na familia unaacha miradi kibao mkeo hajui hata aanzie wapi mwisho wa siku unafanya hayo yote sababu ya WANAO sio mtu mwingine yoyote maana hao ukiwa haupo ndio watakaopata shida kuliko hata hao ndugu zako wao watakuwa huko na familia zao haya yote naongea tokana na expirience NDUGU HAWANA FADHILA MWANAUME MJALI MKEO NA WANAO.
Mkuu nadhan huijui hela mwanamke ww unaisikia tu
 
Umeona sasa ujinga huu. Kwa nini ifikiriwe "Mwanaume ukifa". Unajua mikosi mingine tu naitengeneza sisi wenyewe.
Hujui maisha baada ya kifo chako itakuaje. Unaweza ukafa na miaka 30, umeachia mke mwenye miaka 26, na watoto wawili wadogo. Umeachia nyumba moja na Gari mbili.
Hiyo nyumba yako na magari yako yanaweza kuja kutumia na mwanaume mwingine. Chumba chako itakua chumba chake hicho na kitanda chako kitatumika kuzaa watoto wengine.
Jamaa anaposema atamwandika dada yake, mi nimemuelewa. Siwezi kuandika mtoto wangu inawezekana pia sio wa kwangu. Ila dada yangu nna uhakika ni dada yangu, damu yangu. Akaishi vizur na shemeji yangu
emoji16.png
emoji16.png
dada yako akipata mwanaume ujue hizo mali sio zaw dada yakooo ni mali za mwanaume mwingine ambae hata hakutoa jasho ila anazila sababu ya ujinga wako.. yani huoni hata aibu kusema watoto sio wako kweli kizazi cha ovyoo sanaa.
 
Hao wazungu ni wa wapi mnao semea hizo ni isolated stories sie ambao tulishawahi kuishi kwao hususani Western Europe hao watu mna exagulate sana wanacho tuzidi ni kua honest na kua wa kweli tu, lakini kwenye pesa their worse na kuua wanaweza acha tu.
Hao wazungu ulioishi nao ni wazungu njaa njaa. Wazungu wa kweli wapo
 
Mwanamke ukitoka mshahara anaweza akakugeia laki bila ya ata kumuomba ila baada ya siku 2 unapigwa kirungu cha laki 2 😂😂😂 hao ndo wanawake bhn
 
Back
Top Bottom