Hapana hiyo ni rivasi hakuna kitu kama hicho, yeye ni zao la hao wawili hivyo kiroho hana nguvu hiyo sasa kinachotea ni wao kuadhibiwa na Mungu ama uhalisia lakini ni lazima mtoto awe mnyenyekevuKwaiyo mtoto anaweza kumlaani baba yake au mama yake kama wamemkosea.
Ubatizo pia ni mara tatu...NAMBA 3 INA MAMBO MENGI SANA KAMA HIVI PIA.
- Wagonjwa wengi hupewa dawa yenye dozi ya kutwa mara tatu.
- Kila mtu anatakiwa kujitambulisha kwa majina matatu.
- Waamini fulani wanaamini kuwa Mungu ana nafsi tatu.
- Wakati wa mateso ya Yesu, alianguka mara tatu.
- Yesu alisulubiwa na watu wengine wawili na hiyo kufanya idadi ya waliosulubiwa kuwa ni watatu.
- Imani hii inaendelea kwamba alifufuka siku ya tatu ilivyoandikwa.
- Jiko imara lina mawe au maegemeo matatu; angalia hata jiko la mchina na la gesi.
- Kabla ya kuanza riadha inahesabiwa moja mpaka tatu.
- Katika mashindano wanaong'ara ni mshindi wa kwanza, wapili na watatu.
- Waamini wengine kabla ya ibada lazima wajisafishe mara tatu.
- Mambo makuu kwa kila kiumbe hai ni kula, kuvaa na kulala
- Binadamu huzaliwa ,kuoa au kuolewa na kufa
Hapo kwenye 3, 4, 5 & 6 umesahau kuandika kua Hata kabla ya Kusulubiwa alikanwa mara tatu kabla jogoo halijawikaNAMBA 3 INA MAMBO MENGI SANA KAMA HIVI PIA.
- Wagonjwa wengi hupewa dawa yenye dozi ya kutwa mara tatu.
- Kila mtu anatakiwa kujitambulisha kwa majina matatu.
- Waamini fulani wanaamini kuwa Mungu ana nafsi tatu.
- Wakati wa mateso ya Yesu, alianguka mara tatu.
- Yesu alisulubiwa na watu wengine wawili na hiyo kufanya idadi ya waliosulubiwa kuwa ni watatu.
- Imani hii inaendelea kwamba alifufuka siku ya tatu ilivyoandikwa.
- Jiko imara lina mawe au maegemeo matatu; angalia hata jiko la mchina na la gesi.
- Kabla ya kuanza riadha inahesabiwa moja mpaka tatu.
- Katika mashindano wanaong'ara ni mshindi wa kwanza, wapili na watatu.
- Waamini wengine kabla ya ibada lazima wajisafishe mara tatu.
- Mambo makuu kwa kila kiumbe hai ni kula, kuvaa na kulala
- Binadamu huzaliwa ,kuoa au kuolewa na kufa
Yes laana hairudii mara 3kwakuwa yenyewe kiroho inajizidisha mara tatu lakini ni lazima anayekulaani awe na muunganiko nawe
Inajizidishaje mara 3?
Baba
Mama
Na wewe Mtoto
Kama ni mtu baki je? Uumbaji haudhihakiwi.. Hivyo kuna
Mungu katika utatu mtakatifu
Inategemea umemfanyia ubaya gani... Laana nyingine ni za ulimwengu.. Ukiutesa uumbaji na unayemtesa akaumia sana lakini akasamehe imekula kwako......Sijaelewa hapa je mtu kama girlfriend au rafiki ana uwezo wa kukulaani?
Na vipi laana ya mke na mume kutendeana mabaya kinyume na viapo vyao vya ndoa?Inategemea umemfanyia ubaya gani... Laana nyingine ni za ulimwengu.. Ukiutesa uumbaji na unayemtesa akaumia sana lakini akasamehe imekula kwako......
Hakuna kitu kibaya kama mtu kusema namwachia Mungu na akamaanisha
OkeiYeah ni mimi halisi
Mkuu nakukubali sana,[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
Thibitisha km uko kawaida[emoji1] [emoji1] [emoji1]Asante sana ila duu hapana mimi ni wa kawaida kabisa
Umezingua MshanaHali ya hewa inahamasisha [emoji23] [emoji23] [emoji23] View attachment 745261
Haina nguvu