Dhana ya kurudia kitu mara tatu na uumbaji wa roho


In physics, the most equilibrium state of an object occurs when three forces are concurrent and also this is how we perceive our natural world (3D).
 
Huwa nasoma nyuzi zako na kuzitafakari vyema sana,
Nataka nikuulize swali flani, Hivi we Mshana Jr :,
-mchawi
-mganga wa kienyeji
-muhenga
-jini
-mchungaji/shehe
-alien
-msukule
Ni hayo tu
Nimejaribu kumfatilia [HASHTAG]#mshana j.r[/HASHTAG] nimegundua yeye ni hivyo vyote ulivyo taja ila bado naendelea na uchunguzi
 
Nimejaribu kumfatilia [HASHTAG]#mshana j.r[/HASHTAG] nimegundua yeye ni hivyo vyote ulivyo taja ila bado naendelea na uchunguzi
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
kuzaliwa
kuishi
na kufa


ni mambo ya namba 3katika kuzaliwa ukixaliwa mwezi 3 or 6 kuna uhusiano wa namba hapo katika roho? na je ukifa kati ya miezi hiyo kuna uashira wowote utakuwa wa Allah au motoni?
 
kuzaliwa
kuishi
na kufa


ni mambo ya namba 3katika kuzaliwa ukixaliwa mwezi 3 or 6 kuna uhusiano wa namba hapo katika roho? na je ukifa kati ya miezi hiyo kuna uashira wowote utakuwa wa Allah au motoni?
Inategemea na kiasili chako
 
Hongera kwa kufuatilia na kuyajua mambo mengi.

Nina swali dogo kwako, umeokoka? Je kama hujaokoka unawaza nini juu ya maisha baada ya kufa?

not but pray.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…