Dhana ya "kusaidiana" maisha na mwanamke katika utafutaji ni ya wanaume dhaifu na wajinga sana

Dhana ya "kusaidiana" maisha na mwanamke katika utafutaji ni ya wanaume dhaifu na wajinga sana

Wew wasema. Kwaiyo wajua kazi ni kushinda kariakoo tu? Ndo maana mnalalamika wabunge kupiga tu makofi bungen wanakula 18M . Yan unaamin anaefny kaz ni yule asubh ad usiku yupo kariakoo hahah pole mkuu. NOTE, TUMIA AKILI ZAIDI.
ninasema hivi ukishakuwa na majukumu na unajua kwenye maisha yako unataka nini automatically kuna vitu utaanza kuvipunguza hasa ukiwa kijana wa kiume.
Hivi una familia ya mke, mtoto au hata wadogo zako tu wanakutegemea utakaa hapa unaanza kubishana na watu na kuwaambia watu watumie akili?
Mimi huwa nasemaga ukweli, hakuna mtu ambaye yupo busy na maisha na anaelewa anataka nn kwenye maish akawa anashinda kwenye mitandao, zingatia neno Anayeelewa.

Ndio maana nimesema hichi ni kijiwe cha wahuni, wengi hawana kazi na huu ndio ukweli mchungu. Mtu kuanzia jumatatu mpaka jumapili kila dakika unamkuta kajibu huku kajibu kule mpaka usiku wa manane anafanya kazi muda gani?
Na uktaka kutihibitisha hili ona vijana wanavyotongoza mtu ambaye hajui hata anafananje! Hiyo ni kazi ya kuwa idle na shetani ndio huwa anapenda akili za hivyo.

Nakutajia mifano mifupi mtazame pascal mayalla utafute ni muda gani anapata wa kubishana, au tafuta maxcence mello anabishana na watu.

Upumbavu tu umejaa eti tumia akili
 
Tatizo ni ubinafsi.
Sababu inayotolewa na mtoa mada kuwa wanawake wanasoma ili wasinyanyaswe inadhihirisha tabia mbaya ya udhalimu ya wanaume wengi wajinga.
Wanaume wengi Makatili hujisikia fahari kuwa na Mwanamke ambaye hajitambui ili iwe rahisi kwake kumnyanyasa.

Hawataki Mwanamke afanye kazi ili wawageuze hao wanawake watumwa wao. Ili wao wajigeuze miungu Watu.

Mwanamke ni mtu kamili, anahitaji kuwa huru kama ilivyo kwa mwanaume.
Ingawaje kwenye ndoa kila mmoja uhuru wake utajali heshima ya mwingine ndani ya familia
Kaka Robert,

Huwa nakufatilia sana, hakika hivi sasa umekuwa mtu mzima. Kuanzia fikra zako hata ku- respond kwa watu.

Vijana wa sasahivi wengi ni wanawake wenye miili ya kiume, hawajui wanasimamia lipi zaidi ya kulishana upepo.
 
Kuna headmaster wangu wa primary school aliwahi sema hiki kitu, yeye alioa mwalimu mwenzie.
 
Wasije wakakudanganya hawa Vijana wasiojiamini na wenye mawazo ya kijinga.

Wake wa mitume na wenye majina makubwa wote hakuna hata mmoja aliyekuwa mama wa nyumbani wa kukaa tuu wote walikuwa wanafanya kazi.

Nabii Musa, Mkewe alikuwa anachunga ng'ombe za Babaake. Na walikutana na Musa Wakati Sipora akiwa machungani.

Mtume Muhamad, mkewe Bi. Khadija alikuwa mfanyabiashara mkubwa na anapesa nyingi kuliko Muhamad mwenyewe.

Nabii Isaka, mkewe alikuwa mchungaji wa ng'ombe, Rebecca

Adamu, mkewe Eva alikuwa Mkulima.
umemaliza mkuu, sababu imeandkwa tuishi kwa neno.
 
Mwanamke kaumbwa kua msaidizi wako.Kuna tatizo kubwa sana kwa wanaume hasa tulio wengi hatutaki mwanamke ajisgughulishe ila hatujifunzi kua kuna kufa kuumwa kufukuzwa kazi je yakitokea hayo familia yako itaishi vip hata kama una miradi yako nani ataisimamia na mkeo unataka awe kama zombie ndani.Mke wangu mm nimemwezesha nimemfungulia biashara na anasimamia vizuri sana mpaka hata naona hata km Mungu akanichukua mm watoto wangu hawatapata shida.Sasa kaeni na mawazo yenu ya kizamani yakiwakuta ya kuwakuta mnakufa kwa presha maana kila kitu kinasimama bila ww.
 
Ngoj nianze mazoez ya kukaa tu nyumbani ili nije kudumu kwenye ndoa 😌
Wrong, nyumbani haukai tu you have graspd the point na ndio mafeminist walivyo. NYUMBANI "HAUKAI TU" kuna majukumu ya kufanya mengi sana kulea, kutunza familia, kupika, nk

sasa nikurekebishe usiseme uanze mazoezi ya "kukaa tu nyumbani" sema uanze mazoezi ya kutekeleza MAJUKUMU HALISI YA MKE ili udumu kwenye ndoa
 
Ahsante sana mkuu.🙏🏻
Mungu akubariki
Akuongeze
Atunze familia yako
Akuweke juu juu juu siku zote

Nb ili mtu aelewe umeandika nini ni hadi awe mwanaume.
nashukuru mkuu, Muweza wa yote Mungu baba akubariki pia
 
Wrong, nyumbani haukai tu you have graspd the point na ndio mafeminist walivyo. NYUMBANI "HAUKAI TU" kuna majukumu ya kufanya mengi sana kulea, kutunza familia, kupika, nk

sasa nikurekebishe usiseme uanze mazoezi ya "kukaa tu nyumbani" sema uanze mazoezi ya kutekeleza MAJUKUMU HALISI YA MKE ili udumu kwenye ndoa
Asante,,ila ukweli ila wanawake tumekua na dharau kisa tunajiingizia pesa kias mzee akikuzngua unajua huwezi hangaika.

ivo inapelekea tunajisahau sana yani.
 
Na Mungu akaona si vyema mtu aliyemuumba akae peke yake.. Hivyo akamfanyia msaidizi. Unapingana na Mungu wewe..
Msaidizi wa kuendeleza uzao wake maana Adam asingeweza kuzaa mwenyewe. Sio msaidizi wa kwenda nae kulima.

kumbuka mwanaume ndio aliambiwa atakula kwa jasho hapo hapo katika kitabu cha MWANZO na mwanamke atazaa kma uchungu. Unaweza kuona "usaidizi" wa mwanamke ni kuendeleza uzao wa Adam sio kulima na kuwinda.
 
Anyway oeni wanawake wasiosoma ili muepukane na haya yote na hakikisheni mnahudumia hadi wazazi wao, siyo unachukua mtoto wa watu wazazi wake wamehangaika kumsomesha ili aje kuwasaidia halafu wewe unataka akawe mama wa nyumbani akihitaji pesa mpaka asubiri wewe mambo yakae sawa, bila shaka hata wewe hutasomesha mabinti zako na pia utawaasa kwamba wakiolewa wakawe wamama wa nyumbani tu si ndio
unasomesha watoto ili waje wakusaidie?, you are a fool
 
Asante,,ila ukweli ila wanawake tumekua na dharau kisa tunajiingizia pesa kias mzee akikuzngua unajua huwezi hangaika.

ivo inapelekea tunajisahau sana yani.
ndio madame ni kweli na ikifika hapo amani hutoweka
 
Wasije wakakudanganya hawa Vijana wasiojiamini na wenye mawazo ya kijinga.

Wake wa mitume na wenye majina makubwa wote hakuna hata mmoja aliyekuwa mama wa nyumbani wa kukaa tuu wote walikuwa wanafanya kazi.

Nabii Musa, Mkewe alikuwa anachunga ng'ombe za Babaake. Na walikutana na Musa Wakati Sipora akiwa machungani.

Mtume Muhamad, mkewe Bi. Khadija alikuwa mfanyabiashara mkubwa na anapesa nyingi kuliko Muhamad mwenyewe.

Nabii Isaka, mkewe alikuwa mchungaji wa ng'ombe, Rebecca

Adamu, mkewe Eva alikuwa Mkulima.
Eva mke wa Adam alikua mkulma ?! Aise !! Naona kuna toleo la biblia mpya huko mitaani. Huyu huyu Eva aliepewa jukumu la kuza kwa uchungu ndio alikua mkulima ?! Kumbe Mungu alimwambia Eva atakula kwa jasho na sio Adam aliyeambiwa maagizo haya.
 
Wanaume tumeumbiwa kuhangaika kuwa watafutaji... Ukianza kuomba for back up kwa mwenza wako unaanza kuwa dhaifu na lege lege na familia kuyumba
 
Haya maelezo uliyoyatoa yamebainishwa kwenye Biblia..??
nini maana ya mwanaume atakula kwa jasho na mwananke atazaa kwa uchungu katika kitabu cha MWANZO 2 ?! Hauoni mgawanyo huo wa majukumu kutoka kwa MUNGU mwenyewe.

ni wapi mwanamke ameambima atakula kwa jasho ?
 
ninasema hivi ukishakuwa na majukumu na unajua kwenye maisha yako unataka nini automatically kuna vitu utaanza kuvipunguza hasa ukiwa kijana wa kiume.
Hivi una familia ya mke, mtoto au hata wadogo zako tu wanakutegemea utakaa hapa unaanza kubishana na watu na kuwaambia watu watumie akili?
Mimi huwa nasemaga ukweli, hakuna mtu ambaye yupo busy na maisha na anaelewa anataka nn kwenye maish akawa anashinda kwenye mitandao, zingatia neno Anayeelewa.

Ndio maana nimesema hichi ni kijiwe cha wahuni, wengi hawana kazi na huu ndio ukweli mchungu. Mtu kuanzia jumatatu mpaka jumapili kila dakika unamkuta kajibu huku kajibu kule mpaka usiku wa manane anafanya kazi muda gani?
Na uktaka kutihibitisha hili ona vijana wanavyotongoza mtu ambaye hajui hata anafananje! Hiyo ni kazi ya kuwa idle na shetani ndio huwa anapenda akili za hivyo.

Nakutajia mifano mifupi mtazame pascal mayalla utafute ni muda gani anapata wa kubishana, au tafuta maxcence mello anabishana na watu.

Upumbavu tu umejaa eti tumia akili
Bravo mkuu umeogea point.
 
Back
Top Bottom